Hakuna kitu,Simba hakuna wachezaji pale wakupambana katika haya mashindano Wala ligi ,we unamchezaji kama kibu anajituma mazoezini apate namba wanjani analeta ushuzi tuh
Usimsingizie kibu D
 
Yani Simba sijui atafanyaje leo ili ashinde jamani? Atafanyaje kuiondoa aibu inayojengeka kuwa Simba now ni ya hovyo!


Simba walikosea sn kutopata matokeo ya ushindi kwa Horoya timu ya kawaida kabisa ile,daaaah!
Mbona leo skuoni hapa kijiwe c
Hetu cha kahawa mbagala
 
Imfunge nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…