Bado,tutamfunga Horoya na vipers tumpige home and away na Raja tutoe draw kwao ,hapo tukifikisha point 10 tunasonga
Wanamlia timing PASAKA.Kesho robertinho anafungashiwa virago
Nimecheka sanahii team hata mashabiki wake akili zimebonyea kidogo kila siku wanapumuliwa tu
gooal papaa bareke anachomoa goli la tatu hapa
Swali zuriLeo saidoo na chama walicheza?
Dawa haifanyi kazi bila kuwepo mazingira ya COVIDKwani ile dawa ya kupulizia vyumbani imeisha?
Hatutaki ushari. Tutakunadia mwizi upigwe kama yule dogo alieshangilia PENALTI.Leo saidoo na chama walicheza?
hukuelewa walimaanisha hatoki mtu wao kugawa utamu huoni mwarabu kapiga vitatu?Kwahyo tumekubaliana Kwa mkapa hatoki mtu
Hivi kweli basi limerudi kinyume nyume toka bunju?Ooh kwa Mkapa hatoki mtu, spell ya basi kurudi kinyumenyume still wametandikwa vitatu kamili.
Je bila hiyo spell ilikuwa wabamizwe vingapi?
Mdomo ulimponza Marehemu paka.
Unanikosha sana wewe mdada.Ooh kwa Mkapa hatoki mtu, spell ya basi kurudi kinyumenyume still wametandikwa vitatu kamili.
Je bila hiyo spell ilikuwa wabamizwe vingapi?
Mdomo ulimponza Marehemu paka.