Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani Sakho alifanya kosa kupaka breach
Amekuwa kama Kisinda
Breach ilivyoanza kupakwa na kina Kisinda imekuwa ni kama laana kwa wengine wanaofata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani Sakho alifanya kosa kupaka breach
Amekuwa kama Kisinda
Breach ilivyoanza kupakwa na kina Kisinda imekuwa ni kama laana kwa wengine wanaofata
Huu ni unabii gani? Kwamba Simba wanazalishwa mtoto 1?Hongera BarbaraView attachment 2521785
Kwa wachezaji ganiHawa mambwiga tuwatafutie namna ya kuwazuia wasiwe wanafika fika kizembe golini kwetu
Wakizubaa wanapigwa hamsa [emoji16][emoji16][emoji16]Kwa mkaaaapaaa hatoki mtuuuu
Kila mwaka tumekuwa tunaambiwa tumesajiri watu wa maana tena kwa pesa mingi, hao wa maana wengine wa kuja kuwasajiri mwakani ni kina nani?View attachment 2521925
Mwaka Jana, horoya alimpiga raja 2-1 alafu bado tunaamini kwamba tutavuka mbele ya horoya...tujipange mwakani tusajili watu wa maana.
Hamasa za vispikaNilisema kwa aina ya kikosi cha simba, wakijitahidi ni sare! Kuna watu walichukia. Hata kesho kwa Yanga; wasipokuwa makini, mambo yatajirudia.
Uwekezaji wetu bado uko chini ukilinganisha na wenzetu. Ni hamasa pekee ndiyo itakayo zisaidia timu zetu. Ila siyo kwa kupitia wachezaji aina ya John Rafael Bocco.
Bocco yupo vizuriIla the fact that bocco ni namba tisa yenu first choice huwa inanifurahisha sanaa makolo[emoji23]
Achana na NBC, yani club bingwa[emoji1787]
ina maana huwa unahamahama timu?Inahitaji moyo wa chuma kuishabikia timu mbovu kama Simba
Mkiambiwa mnunue wachezaji hamtaki mnakaria kuroga
Quality ya wachezaji ni ndogo mnoSimba kwa game hii inapaswa icheze mpira wenye kasi wachezaji wakimbie haswa
Hizi mambo ya mtu kukaa na mpira kwa sekunde kadhaa kuangalia ampasie nani naona haziwezi kutufikisha tunapopataka.
Mchezaji hapaswi kukaa na mpira ukishakuwa na mpira tafuta wa kumpa kisha funguka uuombe kwa mbele.