FT: Simba 0-3 Raja Casablanca | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.02.2023
Nilisema kwa aina ya kikosi cha simba, wakijitahidi ni sare! Kuna watu walichukia. Hata kesho kwa Yanga; wasipokuwa makini, mambo yatajirudia.

Uwekezaji wetu bado uko chini ukilinganisha na wenzetu. Ni hamasa pekee ndiyo itakayo zisaidia timu zetu. Ila siyo kwa kupitia wachezaji aina ya John Rafael Bocco.
 
View attachment 2521925
Mwaka Jana, horoya alimpiga raja 2-1 alafu bado tunaamini kwamba tutavuka mbele ya horoya...tujipange mwakani tusajili watu wa maana.
Kila mwaka tumekuwa tunaambiwa tumesajiri watu wa maana tena kwa pesa mingi, hao wa maana wengine wa kuja kuwasajiri mwakani ni kina nani?
 
Nilisema kwa aina ya kikosi cha simba, wakijitahidi ni sare! Kuna watu walichukia. Hata kesho kwa Yanga; wasipokuwa makini, mambo yatajirudia.

Uwekezaji wetu bado uko chini ukilinganisha na wenzetu. Ni hamasa pekee ndiyo itakayo zisaidia timu zetu. Ila siyo kwa kupitia wachezaji aina ya John Rafael Bocco.
Hamasa za vispika
 
Simba kwa game hii inapaswa icheze mpira wenye kasi wachezaji wakimbie haswa

Hizi mambo ya mtu kukaa na mpira kwa sekunde kadhaa kuangalia ampasie nani naona haziwezi kutufikisha tunapopataka.

Mchezaji hapaswi kukaa na mpira ukishakuwa na mpira tafuta wa kumpa kisha funguka uuombe kwa mbele.
Quality ya wachezaji ni ndogo mno
 
Back
Top Bottom