Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakizubaa wanapigwa hamsa [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23] hapa unawapoteza wengi sanaMimi Shadeeya binti Mohamed Zrida Harkass naitakia kila la kheri Timu ya nyumbani kwa babu yangu mzee zrida..
#Ushindilazima.
Nilisema kwa aina ya kikosi cha simba, wakijitahidi ni sare! Kuna watu walichukia. Hata kesho kwa Yanga; wasipokuwa makini, mambo yatajirudia.
Uwekezaji wetu bado uko chini ukilinganisha na wenzetu. Ni hamasa pekee ndiyo itakayo zisaidia timu zetu. Ila siyo kwa kupitia wachezaji aina ya John Rafael Bocco.
Simba Sijui tatizo nini ni kocha mpya mfumo wake wachezaji hawauelewi au ni wachezaji ndio hatuna.
Wamezoea mpira wa fitinaTeam inanunua waganga
Bahati mbaya hautokei TBS taasisi iliyodhaminiwa kwa ajili ya kutoa takwimu za QualityQuality ya wachezaji ni ndogo mno
Kama kuishabikia Simba mbovu kunahitaji moyo wa Chuma (nadhani ulimaanisha chuma chakavu!), basi kuishabikia Yanga mbovu kunahitaji kuwa na moyo wa Chuma cha pua.Inahitaji moyo wa chuma kuishabikia timu mbovu kama Simba
Mimi naona aingie Kibu ,Kibu ni mkombozi wetu pekee katika benchi aliyebaki..Mpira mbovu huoni Simba tukisaka goli,wachezaji wanakimbia utadhani wamefungwa vyuma kwenye miguu.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app