Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,842
- 6,087
MAMA SAMIA AWAPE SIMBA HATA AFU TATU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikitokea haikwepeki Rafiki. Teh tehRafiki kesho nasi siamini kama hawatatucheka
🤣🤣🤣Mwalimu wa hesabu la 3BBado,tutamfunga Horoya na vipers tumpige home and away na Raja tutoe draw kwako ,hapo tukifikisha point 10 tunasonga
Acha apigwe mashabiki vichaa wa simba wakae sawa🤣Kwa mkapa Simba hatoki leo mpaka maji ataita Mma dadadek 😂
laBado,tutamfunga Horoya na vipers tumpige home and away na Raja tutoe draw kwako ,hapo tukifikisha point 10 tunasonga
Bila Simba kuwaleta mngewaona wapi, nyie level zenu Mazembe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndugu zangu hawa jamaa wamewekeza kwenye mpira tuache siasa za kina Mangungo kuleta mchezaji siku za uchaguzi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hao utawafunga wakiwa wamesimama? Hahaaa sana sanaBado,tutamfunga Horoya na vipers tumpige home and away na Raja tutoe draw kwao ,hapo tukifikisha point 10 tunasonga
Uganda [emoji1254] hautapata matokeo Acha kujidanganyaNo, kama Vipers alikufa kwake, Simba leo kafa kwake, mwenye faida hapa labda ni Horoya kama atawakazia waarabu nyumbani kwake apate hata suluhu..
Lakini ikitokea Horoya akapoteza pointi kwa Vipers, then Simba ashinde zote mbili za Vipers, bado nafasi ipo, sema hawa jamaa ndio wataongoza kundi kwa pointi nyingi sana.
Kajadili mkataba wa Fei Toto sasa..Aisee kumbe wale Vipers hawakuonewa [emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322]