Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mrudi imara mkienda wapi?Aisee tumepigika hakika.
Tutarudi imara.
Haya ndio maneno, sio kisingizio cha Mgunda[emoji1787][emoji1787]Ila yote kwa yote.l Raja ni wazuri, na walikuja wamejipanga... Inaonekana waliisoma vizuri sana Simba.
Hana timu ya kumfunga vipers home and away [emoji853]No, kama Vipers alikufa kwake, Simba leo kafa kwake, mwenye faida hapa labda ni Horoya kama atawakazia waarabu nyumbani kwake apate hata suluhu..
Lakini ikitokea Horoya akapoteza pointi kwa Vipers, then Simba ashinde zote mbili za Vipers, bado nafasi ipo, sema hawa jamaa ndio wataongoza kundi kwa pointi nyingi sana.
Dah inafikirisha saaanaNiliwaambia mashabiki wenzangu wa Simba sioni sababu ya kuletwa huyu kocha mpya katikati ya msimu wakati Mgunda anafanya vizuri na alishapata combination nzuri ya Boko Chama na Ntibanzonkiza. Walibinishukia kama mwewe. Leo hii toka huyu kocha aje Simba imekuwa ikishinda kwa tabu huku ikicheza mpira mbovu na Boko hafungi tena.
Mmevuliwa nguo mbele ya mamaenu...🤣🤣🤣Ndio hivyo sitaki kusikia Teena habari za mpira Kama ndio hivi.
Umelowa sana leoNdio hivyo sitaki kusikia Teena habari za mpira Kama ndio hivi.
Huu hapaWapi msimamo. [emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
Ndo unatambua sasa. Mbwembwe za mwanzoni ziko wapi?
Hapana, tuseme ukweliHivi uneuona ubora wa hawa waarabu au unaandika tu?
Huyo Mgunda aliyekuwa anasumbuliwa na Mbeya City ndio awafunge hawa waarabu, hizi ndoto zenu za ajabu kweli..
Muda utaongea, nxt week tu.Hana timu ya kumfunga vipers home and away [emoji853]
Zimetimia Dua duaKila lakheri Raja Casablanca piga hao makolo goli 3
Simba katafunwaMnyama mkali Simba Sc tafuna huyo Raja Casablanca.
SIMBA NGUVU MOJA
Haya maisha hayana usawa kabisa mkuu hiyo milion tano kuna mtu anaivunja pale kidimbwi au wavuvi kempu kwa usiku mmoja tuMimi mlinzi mwaka mzima hio sifikishi.