FT: Simba 0-3 Raja Casablanca | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.02.2023
Ohooop nawaza semaji la caf kwa kule kutamba before game and after game hakika yametukuta kukuche haraka na ule muda ufike haraka
 
Wana Uto tulieni kesho yaja
Ni heri kesho ingetoweshwa katika kalenda
 

Attachments

  • Screenshot_2023-02-18-22-02-07-94_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
    Screenshot_2023-02-18-22-02-07-94_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
    56.8 KB · Views: 1
SIMBA 1-3 RAJA CASABLANCA

YANGA 2-0 TP MAZEMBE

Tofauti na matokeo hayo niiteni ZUWENA, all the way from CAPE TOWN.

Jina langu la huku ni NHLANHLA MEBO.
Matokeo ya Simba leo ni ngapi ngapi wadau??
 
Bado tuna nafasi ...ni kupambana
Nafas ya ngapi mkuu, labda ya 3. Maana nafasi pekee iliyopo ni kufikisha point 6 timu hii mbovu ikijitahidi akaifunga Horoya na Vipers.

Horoya ana point 4 anahitaji point 3 pekee toka kwa Vipers nyumbani afikishe 7.

Safari hii mkiani mwa kundi panaifaa hii timu inayoongozwa kisanii. Vipers lazima ashinde game yake nyumbani dhidi ya Simba.
 
Ilikuwa ni suala la muda tu.

Simba imejitahidi kadiri ya uwezo wa wachezaji wake.

Ukilinganisha Raja ni wepesi na wakishambulia hawatoi pasi chonganishi kama Simba.

Hata hivyo, kwa kufanya maboresho ya madhaifu bado Simba ina nafasi ya kupata nafasi ya pili iwapo itashinda mechi 3 na sare 1.
Kwann wamelirudisha bas nyuma nyuma

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo penati hata sijaiona nilikuwa katika harakati za kutoka uwanjani

Ila nilichojifunza mashabiki inabidi tubadilike sana

Wakati natoka nje hapa kwenye hizi ngazi uwanjani nimestuka na kelele za watu waliokuwa wanamkinbiza mtu wakimuita mwiz

Alikuwa ni dogo tu maskini watu wamemzinga wamepiga kipigo kikali watu wakijua ni mwizi

Lakini mwisho wa siku kumbe dogo alikuwa anashangilia penati ya Raja

Wamemuumiza sana dogo anavuja damu hata nguvu ya kusimama amekosa

Dear friends timu yako kama haichezi kwa Mkapa sio sehemu salama wewe kwenda ukifikiri utakuwa huru kushangilia wapinzani wako wakifungwa kama ukiwa mtaani au humu jukwaani
Dah!.. hasira za kufungwa wamemshushia dogo....
 
Back
Top Bottom