Von Bismarck
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 3,890
- 8,647
Umekwama mzeee na utasema hujasema bado this is thimbaaaMimi nasburia tu kipyenga cha mwisho cha mwamuzi, ili zile kelele zetu za kumkataa kocha na baadhi ya wachezaji, zianze upya.
Saido na Miqson wanini uwanjani kocha mpuuzi.
Umekwama mzeee na utasema hujasema bado this is thimbaaaMimi nasburia tu kipyenga cha mwisho cha mwamuzi, ili zile kelele zetu za kumkataa kocha na baadhi ya wachezaji, zianze upya.
Jamaa kaona cha kufia nini. 😅[emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2787384
Ngoja tuone kama kitakuwepo hicho cha kujifunza.Angalieni kwa makini ili mjifunze kuzifunga timu kubwa.
Hujasema mpaka usemeAah! Lolote baya liwakute.
Tulivyo pamoja kwenye vitu vingine inatosha. Hili la leo ni lenu pambaneni nalo wenyewe. 😀
#PercyTau.
Mh!! Ngoja tuone.Kocha Anataka Tumiliki mpira na Kujilinda As If Tumejihakikishia Kushinda Misri [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyu Kocha Mashindano ya AFL yanaweza kuwa ya Mwisho Kwake
Ulitaka wewe uwe wa kwanza kuandika..?, kama jamaa amewahi ni vizuri piaUzi umeanzishwa kichovu sana!! Hauna nyama. Mambo ya kuwahi kuandika ili uwe wa kwanza afu hujui chochote.
Simba 2-1 Al Ahly