Suley unaitendea haki taaluma yako ya Habari.....hongera sana
 
Hii historia imeeshaandikwa..... Tulizoea kuona huko mambele, now ni kwa Mkapa....

Ndio maana ya #NguvuMoja....
 
Wajitahidi tu kupunguza idadi ya magoli, maana hakuna wakina Tatu Malogo wa kuwasaidia leo.
 
Na mwandishi wetu
 

Attachments

  • Screenshot_20231020_175308_Chrome.jpg
    35.4 KB · Views: 1
  • Screenshot_20231020_175350_Chrome.jpg
    28.2 KB · Views: 1
Hii club ikiamua kuwa serious kuanzia sasa (Management mpaka uwanjani) itafika mbali sana, ni moja kati ya Club ambayo fursa huzifuata, huu ndio muda wa kuikamata hii fursa na kupaa kimichezo Africa.


Nguvu moja [emoji91][emoji91]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…