Labda leo Timu ibadilike kujituma zaidi ila mkicheza kama mlivyocheza mechi mbili na Power mtapotea sana hakuna Timu pale ila wakijituma na kujua majukumu yao watafanya vizuri...
 


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante modes kwa kufanyia kazi Ushauri wangu
 
kUNA KUSHINDA NA KUNA KUFUZU KWENDA ROUND YA PILI(NUSU FAINALI)

MNYAMA ANAWEZA KUPATA MATOKEO KWA MKAPA MAY BE 1-0 AU 2-1 AU 2-0

LAKINI SIONI AKITOBOA ATAKAPOENDA MISRI MAANA KULE MISRI NAONA KABISA AKICHAPWA +4 KWA BILA
 
Simba Sc haina self-confidence inapocheza na team kubwa.? Ahly sio mara ya kwanza kucheza nayo, tena katika miaka hiihii ambayo yuko on fire, achana na nyinyi mnaotembelea historia za miaka 10 huko.

Tumecheza na Ahly mechi 3, Wydad mechi 2, Raja mechi mbili nk. Kipi kinakufanya uione Simba Sc kama wageni sana wa mechi kubwa.?
 
Kila la kheri Al ahly timu Bora zaidi barani Afrika [emoji2957] Sisi Wananchiiiiiiiiiiiiiiiii Mabingwa wa TANZANIA tupo pamoja nanyi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…