Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Bila shaka umemuona alivyokosa penaltyKwahiyo akina Achraf Hakimi watakuwepo ndani ya nyumba leo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka umemuona alivyokosa penaltyKwahiyo akina Achraf Hakimi watakuwepo ndani ya nyumba leo?
Kwa lipi?Wakuu Tuliombee Taifa
bora uangalie hizo picha za pilau kuliko kushuhudia stars watakavyofungwaKuna links nyingine ni za kiwaki sana yaani Kila baada ya dk 5 wananiletea picha za ngono ukisema uondoe ndio inafunguka full screen Niko na wife pembeni mpaka anahisi naangalia pirau badala ya mechi nimeamua kuzima laptop mazima.
Unatafuta nini hapa?Mi nisiwe muongo natamani CCM mfungwe 😂😂😂
Msema kweli mpenzi wa Mungu
Kuna nini mkuuWakuu Tuliombee Taifa
Naunga mkono hoja tena wapigwe hata 5Mi nisiwe muongo natamani CCM mfungwe [emoji23][emoji23][emoji23]
Msema kweli mpenzi wa Mungu
Vipi mkuu? Kuna picha la kutisha?Hapa tutulie ndugu zangu
Hii, yaani spana zote kaweka benchi?! Huyo kocha anavuta bangi nini?!Tuwafunge kwa kikosi hiki?
View attachment 2821163
Nawatafuta CCM 😂😂😂Unatafuta nini hapa?
na wakifungwa hapa waposti pia picha ya SSH na kauwanja cha BWMTaifa gani ambalo kila kitu wanatanguliza siasa hata pasipotakiwa?.
Nchi hii wapo wafuasi wa CCM, ACT, CUF, CHADEMA et al na wale wenzangu na mimi tusiopenda kitu kinaitwa siasa, sasa ikicheza Taifa stars inageuka CCM Stars jinsi wana CCM na viranja wao wanavyofanya.
Hali hii ndio imechangia matabaka, wengine wanaiunga mkono timu huku wengine tukiwa tunasema lolote baya liwakute CCM B.
Una makengeza captain ni himid mao watanzania IQ zetu ndogo sana ndiyo maana CCM inatutawalaBwana mdogo kababatiza goli la kimazabe juzi tayari kapewa u captain na wakongwe wapo nje? Naogopa kitakachotokea kipindi Cha kwanza , Hawa madude sio ya kuwafanyia majaribio. Ndio mabingwa watetezi wa Kombe la dunia ukanfa wa Africa kwa fainali zilizofanyika Qatar
😂😂😂Naunga mkono hoja tena wapigwe hata 5
DahMorroco 5+ CCM na nyumbu wake 0
Oyoooooooooo👏👏👏😅
Hata ulaya waga kuna underdog hatuwezi kupishana na MoroccoNusu uwanja halafu upo nyumbani it's kinda shame