Kuna links nyingine ni za kiwaki sana yaani Kila baada ya dk 5 wananiletea picha za ngono ukisema uondoe ndio inafunguka full screen Niko na wife pembeni mpaka anahisi naangalia pirau badala ya mechi nimeamua kuzima laptop mazima.
bora uangalie hizo picha za pilau kuliko kushuhudia stars watakavyofungwa
ni ushauri tu bro
 
Kazi yetu hapa Taifa sisi wabongo ni kushangilia matukio.
Wakitoa tunashangilia mtu wetu akipiga tunashangilia.
Hivyo yaani...
 
na wakifungwa hapa waposti pia picha ya SSH na kauwanja cha BWM
sio kusubiri tu timu ishinde ndo ajizolee maujiko
huyo mama akubali matokeo ya mpira
 
Reactions: K11
Una makengeza captain ni himid mao watanzania IQ zetu ndogo sana ndiyo maana CCM inatutawala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…