FT: Tanzania 0-2 Morocco Kufuzu Kombe la Dunia, Novemba 21, 2023
Hamna kipa hapo
Huyu kipa ni kama yule Ayubu wa Simba!! Hamna kitu hapo!! Shuti toka katikati ya uwanja linamkuta kipa kajisahau na kushangaa mpira anauona ndani ya nyavu!!

Unaweza kukuta mlango umefungwa kumbe kitasa hakijafungwa na ufunguo wala komeo haipo!! ukisema ngoja nijaribu kuufungua unashangaa unafunguka vizurti tu!! Ndivyo alivyojaribu yule mfungaji wa morocco toka katikati ya uwanja!! HAMNA KIPA HAPO!!
 
Duh ! Wamejitahidi Sana kupambana na Hawa HEAVY WEIGHT OLD SCHOOL
 
Watanzania tuna tabia ya kudharauliana yaani mtu akicheza nje hata kama anakaa benchi as long as anatoka nje basi tunamshobokea ila yule kipa anazidiwa na makocha wetu wa Tanzania pakubwa sana.
Shuti limepigwa mbali hatua za robo heka inamponyoka
 
Wanasemaga too much is harmful, ndivyo ilivyo kwa ushiriki wa mama ktk michezo.

Mwanzoni ilikuwa nzuri, kwa kuonekana mama anapenda michezo na anatoa support.

Ila sasa hivi limekaa kisiasa zaidi, halivutii tena!

Tunasema ....Too much of everything is harmful. Siyo hicho ulichoandika hapo!
 
Huyu kipa ni kama yule Ayubu wa Simba!! Hamna kitu hapo!! Shuti toka katikati ya uwanja linamkuta kipa kajisahau na kushangaa mpira anauona ndani ya nyavu!!

Unaweza kukuta mlango umefungwa kumbe kitasa hakijafungwa na ufunguo wala komeo haipo!! ukisema ngoja nijaribu kuufungua unashangaa unafunguka vizurti tu!! Ndivyo alivyojaribu yule mfungaji wa morocco toka katikati ya uwanja!! HAMNA KIPA HAPO!!
Huwezi kumtathmini kipa kwa goli Moja tena la kushtukiza. Kipa yoyote hufungwa kwa magoli kama hayo , maana akili ya kipa huwa anatarajia shbulizi lisogee golini
 
Mnawaonea tu wachezaji [emoji2][emoji2][emoji2] ivi yani mnataka imid mau acheze na Amrabat katikat alafu ang'ae [emoji2][emoji2] achen utan basi...yan apa stars wanacheza na team yenye quality prayers waliwatoa ad Portugal World Cup... ebu tuwen serious basi
Amrabat leo hana kiwango cha kutisha, labda kama unazungumzia jina.
 
Mi naona wamecheza tu vizuri siyo kama ile mechi ya Niger, ila Morocco ni wazuri aise mtu akipata tu mpira unakuta karibia wote wameshatafuta nafasi na wapo wenyewe
Ni kweli stars wanacheza vizuri japo Morocco wapo vizuri zaidi
 
Mwamba Achraf Hakimi Mzee wa mipaisho hatari sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Ila kwa huyu kipa wq Morocco tunaweza tusitoboe.
All in all, Morocco ni bora sana zaidi yetu.
 
Mnawaonea tu wachezaji [emoji2][emoji2][emoji2] ivi yani mnataka imid mau acheze na Amrabat katikat alafu ang'ae [emoji2][emoji2] achen utan basi...yan apa stars wanacheza na team yenye quality prayers waliwatoa ad Portugal World Cup... ebu tuwen serious basi
Amrabat yupi mbona kapuganga leo
 
Back
Top Bottom