FT: Tanzania 0-2 Morocco Kufuzu Kombe la Dunia, Novemba 21, 2023
hii mechi ikiingia inauma ikitoka inauma pira taabu na mahangaiko hii mech nngekua mfanyakaz ningechukua mkopo nmb milion 20 naibetia yote kwa moroco kisha nakojoa nalala asbh nawalipa nmb ela yao yote
 
Kwenye mkeka nimeiua stars, kihasibu ntakuwa nafuraha mara 2, moja mkeka kutiki pili ushindi wa Morocco dhidi ya timu mbovu inayopoteza pesa za umma.
.
JamiiForums2071048328.jpg
 
Back
Top Bottom