Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kalale wewe usijisumbue...🤣Wakuu niliangalia live online wakati wa penati internet ilistuck,hivi ile penati kipa alitoa au ilipigwa nje
NAKAZIA KAMA NYERERE ALIVYOMKAZIA MZUNGUMorocco piga hao Vimada wa Ccm
Hawa stars ni kama makolo tu.ccm sio star
si hata kwa yanga ilikuwa hivo walipopata bahati ya kuuona mweziTunasema ....Too much of everything is harmful. Siyo hicho ulichoandika hapo!
Siyo weupe mkuu, wanapiga mpira balaa,hawana vurugu ni mpira unapigwaHawa waarabu ni weupee kocha akifanya sub vizuri tunatoboa
Kipindi cha pili namfunga huyu mwarabuThubutuuuu 😂😂😂
Na WapigweeeNaona kamtoa kwa wajomba zake huko!! Si unaona rangi yake ni kama ya mama!!
Stars wamejitahid san bhn ni tofaut na tulivyotarajia.
Sijatumia tukio moja tu la goli kuingia kirahisi, lakini movement za kipa hazoneshi kujiamini!!Huwezi kumtathmini kipa kwa goli Moja tena la kushtukiza. Kipa yoyote hufungwa kwa magoli kama hayo , maana akili ya kipa huwa anatarajia shbulizi lisogee golini
Kipindi cha pili namfunga huyu mwarabu
Aliye kuzaa ndo huyo uliye mtajaOna kenge hii.
Sawa ngoja utaonaPole sana, tunaongeza goli 2 tena
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwa taarifa niliyoipata hivi punde, huyu kipa ni mwenyekiti wa uvccm mkoa wa Iringa
Zambia watafanya comeback ya nguvu usishangae wakashinda,hata kwa congo walifanya comebackNiko na mzambia anamlalamikia Chama anacheza kama "slow motion". Tunaitazama game ya Niger na Zambia. Zambia ashapasuka 2 half time. Kibonde wa Taifa stars anamkamua mzambia barabara.