Gucci gang
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,682
- 5,277
Kumbe wewe ni mnyama ndo maana nlikua naona huyu dada mbona ana IQ kubwaπππKwanini uni'quote mara mbili sasa?
Anyways....Nakuelewa
Haya Ingekuwa mimi Uto inawezekana ningekuwa na machungu kuliko haya....
Enjoy mpira bhana
Kumbe mnafahamiana!!Mataahira ni mengi humu
Azizi KiNani huyo aliwaweka?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kumbe wewe ni mnyama ndo maana nlikua naona huyu dada mbona ana IQ kubwa[emoji2][emoji2][emoji2]
Dakika ya ngapi mkuu, mbona kama unafukuza mwizi kimya kimya?Duh!! refa bana
Ahsante kwa taarifa mkuu.Azizi Ki
Tuonyeshe mkia kama we ni mnyama.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ahsante Gucci....
Mnyama halisi kabisa.....
Onyesha huo wako inatosha...Tuonyeshe mkia kama we ni mnyama.
Tupo pamoja endelea kuwapa elimu hawa chura humu jukwaani kwaoπ[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ahsante Gucci....
Mnyama halisi kabisa.....
Ndio kombe lenu hilo jipya?Tupo pamoja endelea kuwapa elimu hawa chura humu jukwaani kwao[emoji23]
Wakumbushe hela ya msimu mzima ligi kuu tumeichukua mechi mbili tu na al-ahly[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tupo pamoja endelea kuwapa elimu hawa chura humu jukwaani kwao[emoji23]
Wakumbushe hela ya msimu mzima ligi kuu tumeichukua mechi mbili tu na al-ahly[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Kwahiyo we ni mnyama usie na mkia?Onyesha huo wako inatosha...
Mungu jaalia asiikose game na Mikia fc.Hii ya Pacome inaweza kuwa Pancha aisee
Kwani wewe una kombe gani msimu huuNdio kombe lenu hilo jipya?