Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Unprofessional...... mpira hauko ivyoAcha uongo bwana mdogo
Yanga A vs Yanga B
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unprofessional...... mpira hauko ivyoAcha uongo bwana mdogo
Yanga A vs Yanga B
Ukikua utaacha ujingaKama mkeo hakuvutii nenda kwa Riberthno akuvutie😅😅
Hilo sio la kuuliza hata mwenyekiti Mangungu katika kampeni zake aliahidi mambo mawili kumfunga Yanga na la pili kumleta Manzoki. Na vyote vikatekelezwa kisha akawaambia wana Simba hawamdai katimiza malengo ya msimu.Ndio ubingwa wenu huo msimu uliopita
Tupo msimu huu....Ndio ubingwa wenu huo msimu uliopita
Pira gimbi utaliona kesho
Bila shaka Bwana Hersi naye hamumdai maana malengo yenu ya kuingia makundi klabu bingwa msimu huu yameshatimiaHilo sio la kuuliza hata mwenyekiti Mangungu katika kampeni zake aliahidi mambo mawili kumfunga Yanga na la pili kumleta Manzoki. Na vyote vikatekelezwa kisha akawaambia wana Simba hawamdai katimiza malengo ya msimu.
Ulivyoleta habari za kibu,huyo Kibu aliifunga Yanga goal msimu gani?Tupo msimu huu....
Hata sisi tuna ubingwa kibao kabla yenu....
Yanga bhana kama mgumba....Mimba miezi miwili tu anatema mate mtaa mzima..
Kodi zenu si munazinywea pombe, Mzee mbonde akijifanya kudai munamtia makonde, sasa kodi ipi tena?Tunatakaa kod zetu swainiiiiiiii
Hivi unafahamu kuwa kati ya Yanga na Simba nani alieshinda Ubingwa mara nyingi,na pia nani kafungwa na mwenzake matches nyingi na magoli mengi?Tupo msimu huu....
Hata sisi tuna ubingwa kibao kabla yenu....
Yanga bhana kama mgumba....Mimba miezi miwili tu anatema mate mtaa mzima..
SanaBila shaka Bwana Hersi naye hamumdai maana malengo yenu ya kuingia makundi klabu bingwa msimu huu yameshatimia
Vipi Mzee, anasumbua leo ama vipi?Huyu konkon huyu[emoji848][emoji848] ngoja nikae kwanza kimya
Kwenye Comment yangu nilizungumzia Ubingwa? Si ni wewe umeleta hizo hadithi....Ulivyoleta habari za kibu,huyo Kibu aliifunga Yanga goal msimu gani?
Anazingua sana, clear chances anashindwa kutumiaVipi Mzee, anasumbua leo ama vipi?
maana niko mbali na runinga.