Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wivu tu..😂Kwa mpira huu wa Singida Sasa naammini kweli Hawa watu wanaachiana mechi kipuuz Sana.
Singida inayokutana na namungo ,Azam ,Simba na timu zingine sio hii inayokutana na Yanga .
Mpira wa bongo mgumu Sana ,Yale Yale ya Simba na Coast Union ingawa kwasasa huo upuuz coastal waliukataa miaka ya karibu.
Mwigulu unaharibu ligi braza ,najua unaipenda Sana yanga Ila iache yanga ipate ubingwa clear maana uwezo huo wanao Sana tu.
Maelekezo ni ujinga pia tunaua lig yetu kwa mapenz ya kitoto.
Leo hii kila mtu anajua Waz matokeo ya Singida na Yanga yatakuaje.
Sema nimembetia yanga na nilijua atashinda tu hata iweje .kwangu faida Ila kwa mpira wa bongo huu ni upuuz
Hakika ujinga wa uzeeni lazima utakufa nao tuMechi Kali sana hii....yenye ushindani halisi hapa Tanzania
Mimi kama mchambuzi nimeshindwa kutabiri mshindi ni nani coz itakuwa ni mechi ngumu sana na ya visasi
Lkn tuwaombee wananchi
Tatizo unaangalia mpira huku kichwani una imani yako. Kila kitu utalalamika ni maelekezo wakati mpira ni mchezo wa makosa. Hao hao Singida walimuacha Kibonge akafunge ila walipoona ana spidi ya konokono akaona ngoja wakauchukue mpira wao maana anatia aibu. Hao Singida kwa uzuri walilokuwa nao wameshinda mechi ngapi msimu huu? Juzi Azam na ubora wake kafungwa hat trick na Aziz Ki sembuse Singida?Hapa tunaona mabek waksindikiza max kwenda sokoni daaah rushwaaaa mbayaaaa sana hata muvi za bongo zina viwango sio kwa maigizo ayaaaaaaaa
Leta timu yako tuichokonoe kweny kwapa 😅😅
Timu yangu ya Ihefu mlishacheza nayo.Leta timu yako tuichokonoe kweny kwapa 😅😅
Hatakuwa yupo mkuu adhabu itakuwa ishaishaAhsante kwa taarifa mkuu.
Vipi kwenye game yetu na mtani, hatakuepo ama?
Acha uhuniTimu yangu ya Ihefu mlishacheza nayo.
Si unaona hata wewe umekubali kuwa yanga inacheza na katawi kakeHT: Yanga Afrika 2- 0 Yanga Fountain Gates
Singida kafungwa naMechi ya ndugu wa Damu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kodi yako anakula baba mwenye nyumba yako, tuondolee kelele hapa.Likipaaa la singidaaaa lishakulaaa elaaa sasa linaenda bar saivi anaingia mwingine naye awekwe mbili akale ela yake dadekiiii.....
Kodi zetu zinaendaesha timu ya yangaaa kwa kununua magoli ya mchongooooooo
Sio Balama Mapinduzi [emoji28]Bado kidogo angemkaribia kama lile alipiga Kibu D Mkandaji[emoji1787]
Ujinga mwingine bana... Yanga akifungwa mnainua madomo yenu.. yanga akishinda mnakuja na umavii huu!, Mbona hukusema kuwa matokeo Kati ya coast na Simba yalipangwa?. Unataka yanga afungwe ndio uje na ajenda gani?Kwa mpira huu wa Singida Sasa naammini kweli Hawa watu wanaachiana mechi kipuuz Sana.
Singida inayokutana na namungo ,Azam ,Simba na timu zingine sio hii inayokutana na Yanga .
Mpira wa bongo mgumu Sana ,Yale Yale ya Simba na Coast Union ingawa kwasasa huo upuuz coastal waliukataa miaka ya karibu.
Mwigulu unaharibu ligi braza ,najua unaipenda Sana yanga Ila iache yanga ipate ubingwa clear maana uwezo huo wanao Sana tu.
Maelekezo ni ujinga pia tunaua lig yetu kwa mapenz ya kitoto.
Leo hii kila mtu anajua Waz matokeo ya Singida na Yanga yatakuaje.
Sema nimembetia yanga na nilijua atashinda tu hata iweje .kwangu faida Ila kwa mpira wa bongo huu ni upuuz