FT | Yanga SC 2-0 Singida Fountain Gate | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 27.10.2023

FT | Yanga SC 2-0 Singida Fountain Gate | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 27.10.2023

Mm ni YANGA damu ila kwa mpira huu Ndyo maana simba wanashiriki Africa football league
Pira maelekezo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
 
Kwasasa anajuta, hata hao wenzake aliowakuta hapo Azam wanamshangaa, anatoka kwenye timu yenye uhakika wa kuingia fainali clab bingwa, anaingia kwenye timu isiyo na uhakika hata wa kufika nafasi ya pili kwenye ligi kuu NBC.
Analipwa sh ngapi Azam
Yanga alikuwa analipwa sh ngapi
Hicho ndio cha muhimu zaidi
 
Likipaaa la singidaaaa lishakulaaa elaaa sasa linaenda bar saivi anaingia mwingine naye awekwe mbili akale ela yake dadekiiii.....

Kodi zetu zinaendaesha timu ya yangaaa kwa kununua magoli ya mchongooooooo
 
Kwa mpira huu wa Singida Sasa naammini kweli Hawa watu wanaachiana mechi kipuuz Sana.
Singida inayokutana na namungo ,Azam ,Simba na timu zingine sio hii inayokutana na Yanga .
Mpira wa bongo mgumu Sana ,Yale Yale ya Simba na Coast Union ingawa kwasasa huo upuuz coastal waliukataa miaka ya karibu.
Mwigulu unaharibu ligi braza ,najua unaipenda Sana yanga Ila iache yanga ipate ubingwa clear maana uwezo huo wanao Sana tu.
Maelekezo ni ujinga pia tunaua lig yetu kwa mapenz ya kitoto.
Leo hii kila mtu anajua Waz matokeo ya Singida na Yanga yatakuaje.
Sema nimembetia yanga na nilijua atashinda tu hata iweje .kwangu faida Ila kwa mpira wa bongo huu ni upuuz
 
Kwasasa anajuta, hata hao wenzake aliowakuta hapo Azam wanamshangaa, anatoka kwenye timu yenye uhakika wa kuingia fainali clab bingwa, anaingia kwenye timu isiyo na uhakika hata wa kufika nafasi ya pili kwenye ligi kuu NBC.
Sure Jombaa, yule dogo fala sana kwa umri wake ilipaswa kama unaondoka Yanga ndani ya bara la Afrika basi iwe Al Ahly au uende ulaya nchi kama Ubelgiji.

Kiwango chake cha kipindi kile akiwa na akili timamu asingeweza kukosa ofa kubwa, sasa alivyokuwa mjinga pale Azam kaenda kuua platform ya kuonekana kimataifa.
 
Singida, Azam na Coastal matawi haya. Soka janjajanja ligi janjajanja ya nyani
 
Kwa mpira huu wa Singida Sasa naammini kweli Hawa watu wanaachiana mechi kipuuz Sana.
Singida inayokutana na namungo ,Azam ,Simba na timu zingine sio hii inayokutana na Yanga .
Mpira wa bongo mgumu Sana ,Yale Yale ya Simba na Coast Union ingawa kwasasa huo upuuz coastal waliukataa miaka ya karibu.
Mwigulu unaharibu ligi braza ,najua unaipenda Sana yanga Ila iache yanga ipate ubingwa clear maana uwezo huo wanao Sana tu.
Maelekezo ni ujinga pia tunaua lig yetu kwa mapenz ya kitoto.
Leo hii kila mtu anajua Waz matokeo ya Singida na Yanga yatakuaje.
Sema nimembetia yanga na nilijua atashinda tu hata iweje .kwangu faida Ila kwa mpira wa bongo huu ni upuuz
Kusanya ushahidi kapeleke katika Mamlaka washughulikie ,mamamiko yako hayatosaidia chochote.
 
Kwa mpira huu wa Singida Sasa naammini kweli Hawa watu wanaachiana mechi kipuuz Sana.
Singida inayokutana na namungo ,Azam ,Simba na timu zingine sio hii inayokutana na Yanga .
Mpira wa bongo mgumu Sana ,Yale Yale ya Simba na Coast Union ingawa kwasasa huo upuuz coastal waliukataa miaka ya karibu.
Mwigulu unaharibu ligi braza ,najua unaipenda Sana yanga Ila iache yanga ipate ubingwa clear maana uwezo huo wanao Sana tu.
Maelekezo ni ujinga pia tunaua lig yetu kwa mapenz ya kitoto.
Leo hii kila mtu anajua Waz matokeo ya Singida na Yanga yatakuaje.
Sema nimembetia yanga na nilijua atashinda tu hata iweje .kwangu faida Ila kwa mpira wa bongo huu ni upuuz
Mkuu kunywa maji mengi
 
Kwa mpira huu wa Singida Sasa naammini kweli Hawa watu wanaachiana mechi kipuuz Sana.
Singida inayokutana na namungo ,Azam ,Simba na timu zingine sio hii inayokutana na Yanga .
Mpira wa bongo mgumu Sana ,Yale Yale ya Simba na Coast Union ingawa kwasasa huo upuuz coastal waliukataa miaka ya karibu.
Mwigulu unaharibu ligi braza ,najua unaipenda Sana yanga Ila iache yanga ipate ubingwa clear maana uwezo huo wanao Sana tu.
Maelekezo ni ujinga pia tunaua lig yetu kwa mapenz ya kitoto.
Leo hii kila mtu anajua Waz matokeo ya Singida na Yanga yatakuaje.
Sema nimembetia yanga na nilijua atashinda tu hata iweje .kwangu faida Ila kwa mpira wa bongo huu ni upuuz
Hv walivyopigwa 7 coastal ilikuwa mwaka gani?
 
Back
Top Bottom