Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,677
- 11,768
Anafungwa Singida, chaajabu anaumia mtu mwengine kabisa.Kinawauma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anafungwa Singida, chaajabu anaumia mtu mwengine kabisa.Kinawauma
Analipwa sh ngapi AzamKwasasa anajuta, hata hao wenzake aliowakuta hapo Azam wanamshangaa, anatoka kwenye timu yenye uhakika wa kuingia fainali clab bingwa, anaingia kwenye timu isiyo na uhakika hata wa kufika nafasi ya pili kwenye ligi kuu NBC.
kabisa na anatolewa mapema sana sijui shida n niniMm ni YANGA damu ila kwa mpira huu Ndyo maana simba wanashiriki Africa football league
Pira maelekezo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
Bado haujaongea.Mechi ya ndugu wa Damu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Nilie nini sasa,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Andika bila kulia
Bado kidogo angemkaribia kama lile alipiga Kibu D Mkandaji[emoji1787]Hili Kiki Max alitaka kumuua kipa. Nakumbuka wakati nacheza mpira nilikuwa napiga Kiki kama hili huku namtukana kipa pia natamka "Nakuuuuuaaaaaaaaaa"
Sure Jombaa, yule dogo fala sana kwa umri wake ilipaswa kama unaondoka Yanga ndani ya bara la Afrika basi iwe Al Ahly au uende ulaya nchi kama Ubelgiji.Kwasasa anajuta, hata hao wenzake aliowakuta hapo Azam wanamshangaa, anatoka kwenye timu yenye uhakika wa kuingia fainali clab bingwa, anaingia kwenye timu isiyo na uhakika hata wa kufika nafasi ya pili kwenye ligi kuu NBC.
Alibahatisha siku ile.Bado kidogo angemkaribia kama lile alipiga Kibu D Mkandaji[emoji1787]
Bado hamjasema...Alibahatisha siku ile.
Watalala uchi leoAnafungwa Singida, chaajabu anaumia mtu mwengine kabisa.
Kusanya ushahidi kapeleke katika Mamlaka washughulikie ,mamamiko yako hayatosaidia chochote.Kwa mpira huu wa Singida Sasa naammini kweli Hawa watu wanaachiana mechi kipuuz Sana.
Singida inayokutana na namungo ,Azam ,Simba na timu zingine sio hii inayokutana na Yanga .
Mpira wa bongo mgumu Sana ,Yale Yale ya Simba na Coast Union ingawa kwasasa huo upuuz coastal waliukataa miaka ya karibu.
Mwigulu unaharibu ligi braza ,najua unaipenda Sana yanga Ila iache yanga ipate ubingwa clear maana uwezo huo wanao Sana tu.
Maelekezo ni ujinga pia tunaua lig yetu kwa mapenz ya kitoto.
Leo hii kila mtu anajua Waz matokeo ya Singida na Yanga yatakuaje.
Sema nimembetia yanga na nilijua atashinda tu hata iweje .kwangu faida Ila kwa mpira wa bongo huu ni upuuz
Mkuu kunywa maji mengiKwa mpira huu wa Singida Sasa naammini kweli Hawa watu wanaachiana mechi kipuuz Sana.
Singida inayokutana na namungo ,Azam ,Simba na timu zingine sio hii inayokutana na Yanga .
Mpira wa bongo mgumu Sana ,Yale Yale ya Simba na Coast Union ingawa kwasasa huo upuuz coastal waliukataa miaka ya karibu.
Mwigulu unaharibu ligi braza ,najua unaipenda Sana yanga Ila iache yanga ipate ubingwa clear maana uwezo huo wanao Sana tu.
Maelekezo ni ujinga pia tunaua lig yetu kwa mapenz ya kitoto.
Leo hii kila mtu anajua Waz matokeo ya Singida na Yanga yatakuaje.
Sema nimembetia yanga na nilijua atashinda tu hata iweje .kwangu faida Ila kwa mpira wa bongo huu ni upuuz
Hv walivyopigwa 7 coastal ilikuwa mwaka gani?Kwa mpira huu wa Singida Sasa naammini kweli Hawa watu wanaachiana mechi kipuuz Sana.
Singida inayokutana na namungo ,Azam ,Simba na timu zingine sio hii inayokutana na Yanga .
Mpira wa bongo mgumu Sana ,Yale Yale ya Simba na Coast Union ingawa kwasasa huo upuuz coastal waliukataa miaka ya karibu.
Mwigulu unaharibu ligi braza ,najua unaipenda Sana yanga Ila iache yanga ipate ubingwa clear maana uwezo huo wanao Sana tu.
Maelekezo ni ujinga pia tunaua lig yetu kwa mapenz ya kitoto.
Leo hii kila mtu anajua Waz matokeo ya Singida na Yanga yatakuaje.
Sema nimembetia yanga na nilijua atashinda tu hata iweje .kwangu faida Ila kwa mpira wa bongo huu ni upuuz