FT | Yanga SC 2-0 Singida Fountain Gate | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 27.10.2023

Mwanangu sio kuwa nakupangia ila umekosa hela hivi hivi kwa utabiri wako mzuri na imekuwa hivyo, next time bashiri please [emoji120]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Cha ajabu sasa, kila nikibet napigwa tu, sijui kwa nini?
 
Simba wa nini tena? Umesema Kama Azam alifungwa Singida hawezi kaza nikakuambia Singida kwa Yanga hata Azam angeshinda historia inaonyesha asingekaza.
Poa mkuu pumzika, maana hii imeisha kihivyo.
Tungoje ya kesho itakuaje.
Je Ihefu wanaikazia Yanga tu ama vipi?.... majibu yote ni hapo kesho.
 
Diara Leo Tena ameleta utani wake uliosababisha ihefu wasawazishe .

Kama anataka kucheza ndani aache kudaka.

Yao performance yake ni nzuri lakini anapamba sana na kujisahau kusaidia right back line kuna hatari mbili zimetokea zingeleta madhara .

Kwa uchezaji wa Leo inaonyesha yanga wali relax kutokana na aina ya mpinzani Hata aziz ki hakuonyesha makali ya juzi , lakini hawatakiwi kufanya hivyo Hata mpinzani akiwa hafifu.
 
Bashte!!!!
Nimeanzana nao huko juu....
Wanataka kujilinganisha na Giant...
Kwani giant maanake nini katika ulimwenguni wa mpira wa miguu? Maana nasikia tu giant, giant ndio maanake nini katika soka?
Ili uwe giant kwenye mpira wa miguu unatakiwa uwe na vigezo vipi?
 
Reasonable updates
 
Mbinguni kwenu? Are you sure?

Mbinguni hawaendi waongo, watungaji, wafitinishaji na waongeao wasilolijua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…