XII Tz
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 4,345
- 7,076
Upepo tu ulimwendea vyema mechi iliyopitaMwasibu yupo sahihi. [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upepo tu ulimwendea vyema mechi iliyopitaMwasibu yupo sahihi. [emoji23]
Huko kwenu Ukoloni hamna upepo mpaka mshindwe kupata ushindi hata match moja Kimataifa kati ya NNE mlizocheza?Upepo tu ulimwendea vyema mechi iliyopita
Hamna kitu. We angalia tu mpira utajionea mambo yalivyo. Ushindi nje nje.Huwezi jua mkuu, huu ni mpira sio drafti.
Alafu msimu huu hao jamaa wamekuja kivingine.
Huyo Kagere ana goli ngapi msimu huu na kacheza match ngapi mpaka uone ana uwezo wa kumfunga Yanga leo hii?Deus kaseke acha mamb yako unafanya makusudi kabisa kumnyima pasi kagere ili asilifunge timu lako la zamani na unajua kabisa kagera hachekagii na churaaaaaaa
Shwainiiiiii kasekeeewwwwwwww
jinga sanaSKUDU BANA [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Atakua yupo bize anaangalia wale walima alizeti wanavochezea kichapoShadeeya kaenda wapi kwenye hilo kundi
Af kuna watu wanakwambia eti jamaa flop [emoji23]SKUDU BANA [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anajua mpaka anakeraet waziri wa raha
wajingAf kuna watu wanakwambia eti jamaa flop [emoji23]