KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Majinga tuTayari leo yamekataa goli la Aziz Ki! Pumbavu kabisa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majinga tuTayari leo yamekataa goli la Aziz Ki! Pumbavu kabisa!
Wanawez kupiga chenga hayo mapopoma yenu?Hawajacheza leo
Hahahaaa sisi ni pipo, tuko hapa b…Ukiona timu yoyote inaongoza kwenye Ligi Kuu ya Tanzania, basi ujue Simba bado haijacheza mechi yake ya ligi.
Ova
Leta na ya Simba dhidi ya Cost, tuone.Singida huwa hatoboi kwa Yanga sio mambo ya hisia ni uhalisia. Kaza yake ni droo.
View attachment 2794954
Kaumia katoka anachechemea, na alivyotoka nje akawa anatibiwa tena. Kapata kidondaVipi kaumia sana?
Mbona umewapendelea mkuu!!![emoji172][emoji169]
Yanga hana mpinzani [emoji91][emoji7][emoji91]
Kama hutaki,hamia burundi
Uchambuzi wako ni wa kutoka sayari nyingine!! Ulizichambua Al Ahly na Simba ukaona matokeo ni Al Ahly 6 - 0 Simba!! Na hakika uchambuzi wako ndivyo ulivyotokea!! hongera sana!! Mchambuzi gani ufanikiwe kuchambua kwa "usahihi" mechi kali ya CAF halafu ushindwe kuchambua pumba dhidi ya pumba?Mechi Kali sana hii....yenye ushindani halisi hapa Tanzania
Mimi kama mchambuzi nimeshindwa kutabiri mshindi ni nani coz itakuwa ni mechi ngumu sana na ya visasi
Lkn tuwaombee wananchi
Mpaka mtasemaAlizeti zimevunwa na mwenye shamba...
Tupo kwa mkapa kesho karibu ujioneeWanawez kupiga chenga hayo mapopoma yenu?
Nikiwa mwishoni mwa Dunia, naitakia Yanga ushindi wa goli 2 bila.
Lakini niseme ukweli tu, hii ni game ngumu sana kwa upande wetu, na ikitokea tukashinda leo basi tupewe tu kombe letu.
KabisaMbona umewapendelea mkuu!!!
Inabidi waamie Pelestina, kule ndio kunawafaa.
Dah, mungu amfanyie wepesi apone haraka.Kaumia katoka anachechemea, na alivyotoka nje akawa anatibiwa tena. Kapata kidonda
tuwaone mara ngapi na mpira wenu papatu papatu [emoji1787]Tupo kwa mkapa kesho karibu ujionee
Ndo tunaendelea kusema...hatudaiwi kodi mtani...Mpaka mtasema
Simba wa nini tena? Umesema Kama Azam alifungwa Singida hawezi kaza nikakuambia Singida kwa Yanga hata Azam angeshinda historia inaonyesha asingekaza.Leta na ya Simba dhidi ya Cost, tuone.