Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Kama anazingua atemwe tuSahani moja na urusi sawa, ila kutendea vyema nchi yake hiyo hapana, sahizi anagari lake la kioo anavokagua gwaride la kijeshi inamaana hana imani pia na baadhi ya wanajeshi