Naughty by nature
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 2,123
- 2,359
Ije mmakalioni mwako?safi sana
hii ije mpaka huku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ije mmakalioni mwako?safi sana
hii ije mpaka huku
This is a new dawn for Africa.Tawala zote kandamizi ambazo zimeibia watu wao rasilimali wakae chonjo,I mean zote,without exception,ikiwemo Tanzania.Kikundi cha Wanajeshi 12 kimechukua uamuzi huo ikiwa ni siku chache tangu Tume ya Uchaguzi kutangaza kuwa Rais Ali Bongo ameshinda tena Kiti cha Urais
Wanajeshi hao wametangaza kupitia Televisheni ya Taifa kuwa wanafuta matokeo yaliyoyangazwa na kuzifuta Taasisi zote za Umma pamoja na kulinda amani, kuondoa utawala usiowajibika uliochangia kuvuruga umoja katika jamii
Mapinduzi haya yatakuwa yanamaliza Utawala wa familia ya Bongo iliyotawala Nchi hiyo kwa takriban miaka 53.
==========
Jeshi la nchi hiyo limesema limechukua madaraka baada ya tume ya uchaguzi kumtangaza Ali Bongo kama mshindi kwa kipindi cha tatu.
Katika tangazo hilo maafisa wa jeshi waliojitokeza kwenye televisheni ya taifa walisema wamefuta uchaguzi uliofanyika Jumamosi ambao ulizusha malalamiko na wamefunga mipaka yote ya nchi hiyo pamoja na kusimamisha utendaji wa kazi wa taasisi zote za kiserikali.
--
Television announcement came shortly after state election body announced incumbent Ali Bongo had won a third term as president.
A group of senior military officers have gone on national television in Gabon saying they have seized power because elections held over the weekend were not credible.
The officers, appearing on Gabon24 in the early hours of Wednesday morning, said they had cancelled the elections, dissolved all state institutions and closed the country’s borders.
They said they represented all security and defence forces of Gabon.
The announcement came shortly after the state election body said President Ali Bongo Ondimba had won a third term in office in Saturday’s disputed elections.
“In the name of the Gabonese people … we have decided to defend the peace by putting an end to the current regime,” the officers said.
The Gabonese Election Centre said Bongo had secured 64.27 percent of the vote compared with 30.77 percent for his main challenger Albert Ondo Ossa, after a process beset by delays.
On Saturday, the opposition camp said the election was a “fraud orchestrated by Ali Bongo and his supporters” after the internet was cut and a curfew imposed. French media outlets France 24, RFI and TV5 Monde were also banned, accused of “a lack of objectivity and balance … in connection with the current general elections”, the government said.
Bongo was the candidate for the Gabonese Democratic Party (PDG), the party founded by his father, Omar Bongo, who ruled Gabon with an iron fist from 1967 to 2009. After his death, his son, then the defence minister, took his place as president and has been in power ever since.
Tensions had been running high amid Saturday’s vote with the opposition pushing for change and an end to the Bongo family’s dominance of Gabon.
Following the military announcement, the Reuters and AFP news agencies reported the sound of gunfire in the Gabonese capital, Libreville.
Source: Gabon military officers claim power, say election lacked credibility
Mkuu, yale ya akina Patrice Lumumba na siasa za 1970s ndio zinajirudia sasa. The USSR is back my brother.Hakika unawaza kama mimi . Ni kama historia zinajirudia
Kweli hili limetia doa ingawa bado tuna nafasi ya kulirekebisha Ndugu yangu.Kwa utawala uliopo kesho yako wewe unaijua? 😂 😂 😂 Watu wanauza maeneo kwa wajomba
Africa inapitia kipindi kizuri mnooo FRANCE [emoji632] analia lia hukoAfrika tutapitia kipindi kigumu ila kuna neema mbele
Daah huyu mwamba namkubali sana na ngoma zake kama jina lake ila wacha huyo Bongo na yeye wampitishe kwenye tanuru alilompitisha mwambaJUSTICE FOR OLIVER NGOMA ipatikane.
hao bongos wanajua walichomfanyia
Kwann wagalatia mnafurahia mapinduzi ya kijeshiKupinduliwa kwake kutakomesha utawala wa familia yake iliyodumu kwa miaka 53 madarakani nchini Gabon.[emoji419][emoji375]
😅😅😅 eeeh! wanatembea na mabomu sasa hivi yanayo count dk tu.. ili kulupuka..Hahahahahah hawajui siku wala saa? 😂
kabisa . Hata ile kauli ya jeshi la polisi kuhusu uhaini na sakata la kina mwabukusi. Kuna kama namna ujumbe ulikuwa unatumwa mahali fulani tofauti na wengi tulivyoelewa.kwetu kwenyewe kuna tension kubwa hata kama jeshi ni makada watupu
ukiona jeshi linaanza kufuatilia masempele wanayovaa raia kisa yana mabaka yanayofanana na yao ujue jeshi limekosa kazi za kufanya ikabidi liingie mitaani kusaka mitumba yenye mabaka kama yaoHuku kwetu wanawapiga watanzania wenzao kisa sare za jeshi na kuacha kufanya mambo ya msingi Kwa ajili ya mustakabali zaidi wa Taifa!!
Ufaransa na ECOWAS yake wa napitia kipindi kigumu mnoooVibaraka was ufaransa wanazidi kuondolewa
mnagwagwa kaingia juzujuzi tu hawajamchoka, labda chama chake cha zanu pf wamekichokaZimbabwe is next
Wagalatia mnahamasishana kkuhusu mapinduzi,hivi mnayajua kweli! jeshi likichukua nchi hata huo ugali wa kula na wanao utausikia kwa jirani mbuzi weweMungu sisi huku tumekosa nini? Hebu fanya jambo kama hili kwa Tanzania
Nimesoma mahala kuwa Samia kwa miaka miwili is worth more than $4B!!! Incredible !! Ndio maana ana jeuri ya kuwaambia wananchi ameziba masikio!!nimestuka kuona jaama ana $2B net worth, Biden akiwa na $8m