Kama anazingua atemwe tuSahani moja na urusi sawa, ila kutendea vyema nchi yake hiyo hapana, sahizi anagari lake la kioo anavokagua gwaride la kijeshi inamaana hana imani pia na baadhi ya wanajeshi
Asilimia kubwa ya nchi za Africa zilishika silaha ili kumuondoa mkoloni and the same will apply in fighting these demonic leaders. Arms struggle kama akina Mzee Mandela.Mabadiriko Africa hayawezi Kuja Kwa uchaguzi na kupiga kura.
Viva Gabon Army
Ikiwa kuna wanaonufaika kuna wanaokosa fursa pia na inawauma. Hao ndio chachu ya mapinduziNajaribu kufikiria hizi nchi zote zinazofanya mapinduzi, mkuu wa majeshi anakuwa hayupo; ile 'power' yake inakuwa imedhibitiwaje?, ingawa jeshini wapo wanaonufaika na mfumo na hawatapenda mapinduzi yatokee.
Kanali anaweza kupindua nchi vizuri tu kama ataweza kuikwepa mifumo ya ulinzi ya ndani ya jeshi yenye lengo la kunusa harufu ya coup staging.Mkuu unadhani CPL ,CPT au SGT ndiyo wanaopindua nchi? Top Layers ndiyo wanaokula maisha....Rejea kauli ya MABETO siku ya kuapishwa Chief Hangaya.
Ujinga wake upo wapi?Kwa hiyo unataka na wakwetu wafanye Mapinduzi.
Wewe ni ndezi na Mjinga sana
Sawa, sasa wanadhibitije ile 'power' ya mkuu wa majeshi na jeshi lote kutii? Kwa sababu kama mapinduzi yangefeli, hawa wangenyongwa.Ikiwa kuna wanaonufaika kuna wanaokosa fursa pia na inawauma. Hao ndio chachu ya mapinduzi
na endapo russia atashinda vita ukraine dhidi ya mataifa ya magharibi basi ussr inaibuka upya. Maana huo muungano utazirudisha nchi zake zote kwa hiari au kwa lazima. Huku afrika ussr itajipatia makoloni yake kimtindo kwa kuwafurusha wafaransa na waingereza plus wareno na wahispania ongeza na italia bila kusahau ujerumani. Ni zama mpya wababe wa dunia kugombea rasimali za ulimwenguThe USSR is back. Haya yalitokea sana miaka ya 1970s wakati wa vita baridi. Kufikia 1991 yakasimama baada ya USSR kusambaratika na Russia kuanza kujijenga upya. NATO imetamba samba kuanzia hapo ila naona sasa USSR inarudi kupitia mother Russia.
KulikoniπMcheki Kitenge na Zembwela
Huu upepo huu sio π π πsafi sana
hii ije mpaka huku
Anafata NIGERIA [emoji1184] akijaribu tu kuongoza jeshi dhidi ya Niger [emoji1183] shughuli ya Nigeria [emoji1184] itakua Imeishia hapoKwangua woteee hao freeze cash na asset zao zote.Waje mtaani tubangaize wote kama wanavyohubiri kwenye majukwaa.Nani anafata?
Amehamua kwa njia ambayo so ya moja kwa moja.enyi wachambuzi wa mambo, mnataka kusema putin ameamua kumfurusha mfaransa katika makoloni yake afrika?
Mkuu acha kabisa usiombee mapinduzi ya kijeshi yatokee huku kwetu yaani ni kitu kibaya kabisa, hakuna cha rule of law kwenye nchi yenye mapinduzi ya kijeshi na hujui kesho yako itakuwaje. Ni bora tuendelee kurekebishana hivi hivi kwa kutumia majadiliano. Kwa kweli Mungu apishie mbali!halafu huku kwetu bado wapo wapo tu wamelala mguu juu. Tuna safari ndefu kuwafikiwa hao wa Gabon kwa kweli- kwa hisani ya "amani yetu"-mama Tanzania
huo sasa ni uasiYaonekana ni makamanda wa vikosi vyote vya jeshi.zimamoto,magereza,ffu na mpaka mgambo.
Hapo kuna mkono wa mamluki wa Wagner. Wakizingua wanakula kipigo cha Iskander.Sawa, sasa wanadhibitije ile 'power' ya mkuu wa majeshi na jeshi lote kutii? Kwa sababu kama mapinduzi yangefeli, hawa wangenyongwa.
Kwa utawala uliopo kesho yako wewe unaijua? π π π Watu wanauza maeneo kwa wajombaMkuu acha kabisa usiombee mapinduzi ya kijeshi yatokee huku kwetu yaani ni kitu kibaya kabisa, hakuna cha rule of law kwenye nchi yenye mapinduzi ya kijeshi na hujui kesho yako itakuwaje. Ni bora tuendelee kurekebishana hivi hivi kwa kutumia majadiliano. Kwa kweli Mungu apishie mbali!
Hahahahahah hawajui siku wala saa? πHuu upepo huu sio π π π
Watu wa manyumba meupe.. wakiona hizi habari, nya inagonya chupi na kurudi..
Maneno ya mtu aliyeshiba.Asante Mungu sisi bado tunapasua matofali vifuani[emoji122][emoji122][emoji122]
Nimeshiba wali na denguManeno ya mtu aliyeshiba.