Gabon: Jeshi limechukua madaraka baada ya Ali Bongo kutangazwa mshindi wa Urais

Gabon: Jeshi limechukua madaraka baada ya Ali Bongo kutangazwa mshindi wa Urais

Ujue hawezi kutembea yule jamaa bila fimbo. Tangu nilipoona anazuia jaribio mwaka 2019 akiwa anatibiwa Saudi Arabia nikajua huyu hakai sana.
Jaribio la 2019 liliandaliwa na wasiojipanga wenye vyeo vidogo na wachache. Hili wamejipanga wengi, wamekubaliana na hawana mgawanyiko hivyo angalau nina imani nao kuliko mapinduzi mengine yote yaliyotokea kwenye 2020s.
Yeah ,mapimduzi haya yamekua well organized ,wamewasubiri kuona tume itafanyaje, maana hali yake ya kiafya ilikua hovyo,ila uroho wa madaraka

Acha astaafishwe ki lazima
 
Kikundi cha Wanajeshi 12 kimechukua uamuzi huo ikiwa ni siku chache tangu Tume ya Uchaguzi kutangaza kuwa Rais Ali Bongo ameshinda tena Kiti cha Urais

Wanajeshi hao wametangaza kupitia Televisheni ya Taifa kuwa wanafuta matokeo yaliyoyangazwa na kuzifuta Taasisi zote za Umma pamoja na kulinda amani, kuondoa utawala usiowajibika uliochangia kuvuruga umoja katika jamii

Mapinduzi haya yatakuwa yanamaliza Utawala wa familia ya Bongo iliyotawala Nchi hiyo kwa takriban miaka 53.

==========

Jeshi la nchi hiyo limesema limechukua madaraka baada ya tume ya uchaguzi kumtangaza Ali Bongo kama mshindi kwa kipindi cha tatu.


Katika tangazo hilo maafisa wa jeshi waliojitokeza kwenye televisheni ya taifa walisema wamefuta uchaguzi uliofanyika Jumamosi ambao ulizusha malalamiko na wamefunga mipaka yote ya nchi hiyo pamoja na kusimamisha utendaji wa kazi wa taasisi zote za kiserikali.

--
Television announcement came shortly after state election body announced incumbent Ali Bongo had won a third term as president.

A group of senior military officers have gone on national television in Gabon saying they have seized power because elections held over the weekend were not credible.

The officers, appearing on Gabon24 in the early hours of Wednesday morning, said they had cancelled the elections, dissolved all state institutions and closed the country’s borders.

They said they represented all security and defence forces of Gabon.

The announcement came shortly after the state election body said President Ali Bongo Ondimba had won a third term in office in Saturday’s disputed elections.

“In the name of the Gabonese people … we have decided to defend the peace by putting an end to the current regime,” the officers said.

The Gabonese Election Centre said Bongo had secured 64.27 percent of the vote compared with 30.77 percent for his main challenger Albert Ondo Ossa, after a process beset by delays.

On Saturday, the opposition camp said the election was a “fraud orchestrated by Ali Bongo and his supporters” after the internet was cut and a curfew imposed. French media outlets France 24, RFI and TV5 Monde were also banned, accused of “a lack of objectivity and balance … in connection with the current general elections”, the government said.

Bongo was the candidate for the Gabonese Democratic Party (PDG), the party founded by his father, Omar Bongo, who ruled Gabon with an iron fist from 1967 to 2009. After his death, his son, then the defence minister, took his place as president and has been in power ever since.

Tensions had been running high amid Saturday’s vote with the opposition pushing for change and an end to the Bongo family’s dominance of Gabon.

Following the military announcement, the Reuters and AFP news agencies reported the sound of gunfire in the Gabonese capital, Libreville.

Source: Gabon military officers claim power, say election lacked credibility
Makoloni ya Ufaransa ni very unstable na mbaya zaidi watu kama hao kina Ali Bongo wako madarakani Kwa miaka Mingi sana Kwa hiyo naunga mkono washughulikiwe ila Jeshi liandae uchaguzi haraka sana.

Huwa sitaki kabisa tawala za Kijeshi Wala wanajeshi kuchukua Uongozi wa Kiraia,waandae uchaguzi haraka iwekezekanavyo Ili kurudisha Utawala Kwa raia maana kinyume na hapo wataishia kuwa madikteta na kukandamiza Wananchi wanaowakosoa.

Mwisho Paul Byiya wa Cameroon ajiandae kisaikolojia.
 
Kwa nini kikosi cha watu 12 tu kipindue na jeshi lote kutii? Wanatumia mbinu zipi?
Hili swali najiulizaga na sijawahi pata jibu, kwa mfano nchi nzima inaweza kuwa na wanajeshi 400k lkn utasikia wanajeshi kumi au kumi na mbili ndo wameipindua nchi nzima hii imekaaje? Je ni kweli kwamba wanajeshi wote nchi nzima nakuwa wanaunga hayo mapenduzi? Sidhani!

Je kwa hao wanajeshi wanaokuwa hawaungi mkono mapenduzi huchukua hatua Gani?? Msaada jamani kwa wajuvi
 
Kweli hili limetia doa ingawa bado tuna nafasi ya kulirekebisha Ndugu yangu.
How,na watu wenyewe wameziba masikio wala hawaoni hawasikii. Hata hivyo kwangu mapinduzi yanayokea Africa is a new dawn.Nadhani tawala zote kandamizi ambazo zimeibia watu wao rasilimali wakae chonjo,I mean zote,without exception,ikiwemo Tanzania.

Haiwezekani baada ya miaka sitini na tatu ya Uhuru tukiwa na rasilimali nyingi kiasi hiki,bado watu wetu wengi hawana maji,na hata hao wachache wanaopata maji si safi na salama;watu wanakufa kwa sababu hawana huduma za afya;watoto wengine hawasomi kwa kuwa wazazi wao hawawezi kuwapeleka shule kwa kuwa hawana michango,madaftari na kalamu au uniform; Elimu inayotolewa ni chini ya kiwango,shule hazina mazingira mazuri ya kusomea na vitendea kazi;watu wetu hawana nyumba bora za kuishi ;watu wetu wanapata mlo mmoja tu kwa siku na wengine hawapati kabisa nk.nk..

No, lazima kama Watanzania tufike mahali tuseme hapana hii haivumiliki tena inatosha,na tufanye kitu ambacho kitatutoa kwenye uonevu huu
 
Najaribu kufikiria hizi nchi zote zinazofanya mapinduzi, mkuu wa majeshi anakuwa hayupo; ile 'power' yake inakuwa imedhibitiwaje?, ingawa jeshini wapo wanaonufaika na mfumo na hawatapenda mapinduzi yatokee.
Kuna utaratibu wa kufanya mapinduzi, ni maelezo marefu labda yapate uzi wake na ambao utafutwa.
Mapinduzi huwa ni rahisi sio kama watu wanavyodhani, ila yanahitaji mazingira ya kusababisha.
Changamoto huwa inakuja kwenye kulinda hayo mapinduzi dhidi ya counter-coups na isolation ya kimataifa
 
Kikundi cha Wanajeshi 12 kimechukua uamuzi huo ikiwa ni siku chache tangu Tume ya Uchaguzi kutangaza kuwa Rais Ali Bongo ameshinda tena Kiti cha Urais

Wanajeshi hao wametangaza kupitia Televisheni ya Taifa kuwa wanafuta matokeo yaliyoyangazwa na kuzifuta Taasisi zote za Umma pamoja na kulinda amani, kuondoa utawala usiowajibika uliochangia kuvuruga umoja katika jamii

Mapinduzi haya yatakuwa yanamaliza Utawala wa familia ya Bongo iliyotawala Nchi hiyo kwa takriban miaka 53.

==========

Jeshi la nchi hiyo limesema limechukua madaraka baada ya tume ya uchaguzi kumtangaza Ali Bongo kama mshindi kwa kipindi cha tatu.


Katika tangazo hilo maafisa wa jeshi waliojitokeza kwenye televisheni ya taifa walisema wamefuta uchaguzi uliofanyika Jumamosi ambao ulizusha malalamiko na wamefunga mipaka yote ya nchi hiyo pamoja na kusimamisha utendaji wa kazi wa taasisi zote za kiserikali.

--
Television announcement came shortly after state election body announced incumbent Ali Bongo had won a third term as president.

A group of senior military officers have gone on national television in Gabon saying they have seized power because elections held over the weekend were not credible.

The officers, appearing on Gabon24 in the early hours of Wednesday morning, said they had cancelled the elections, dissolved all state institutions and closed the country’s borders.

They said they represented all security and defence forces of Gabon.

The announcement came shortly after the state election body said President Ali Bongo Ondimba had won a third term in office in Saturday’s disputed elections.

“In the name of the Gabonese people … we have decided to defend the peace by putting an end to the current regime,” the officers said.

The Gabonese Election Centre said Bongo had secured 64.27 percent of the vote compared with 30.77 percent for his main challenger Albert Ondo Ossa, after a process beset by delays.

On Saturday, the opposition camp said the election was a “fraud orchestrated by Ali Bongo and his supporters” after the internet was cut and a curfew imposed. French media outlets France 24, RFI and TV5 Monde were also banned, accused of “a lack of objectivity and balance … in connection with the current general elections”, the government said.

Bongo was the candidate for the Gabonese Democratic Party (PDG), the party founded by his father, Omar Bongo, who ruled Gabon with an iron fist from 1967 to 2009. After his death, his son, then the defence minister, took his place as president and has been in power ever since.

Tensions had been running high amid Saturday’s vote with the opposition pushing for change and an end to the Bongo family’s dominance of Gabon.

Following the military announcement, the Reuters and AFP news agencies reported the sound of gunfire in the Gabonese capital, Libreville.

Source: Gabon military officers claim power, say election lacked credibility
Hizi habari za mapinduzi kwa nchi za africa sio nzuri kwa museven , kagame na yule wa congo.

Madaraka mazuri ukiwa nayo ila ukipinduliwa unavyotreatiwa kama choo tu..
 
Mkuu acha kabisa usiombee mapinduzi ya kijeshi yatokee huku kwetu yaani ni kitu kibaya kabisa, hakuna cha rule of law kwenye nchi yenye mapinduzi ya kijeshi na hujui kesho yako itakuwaje. Ni bora tuendelee kurekebishana hivi hivi kwa kutumia majadiliano. Kwa kweli Mungu apishie mbali!
Propaganda
 
Back
Top Bottom