Gabon: Jeshi limechukua madaraka baada ya Ali Bongo kutangazwa mshindi wa Urais

Gabon: Jeshi limechukua madaraka baada ya Ali Bongo kutangazwa mshindi wa Urais

Mkuu acha kabisa usiombee mapinduzi ya kijeshi yatokee huku kwetu yaani ni kitu kibaya kabisa, hakuna cha rule of law kwenye nchi yenye mapinduzi ya kijeshi na hujui kesho yako itakuwaje. Ni bora tuendelee kurekebishana hivi hivi kwa kutumia majadiliano. Kwa kweli Mungu apishie mbali!
Watu wanachoka kuona vigogo na watoto wao wanakula nchi huku watoto wa walalahoi wanatupiwa maneno ya dhihaka tu.
 
Ya hapa kwetu mkuu ni bure kabisa mpaka bandari inataka kuchukuliwa kwa mkataba wa ovyo yamelala tu.
🤣🤣🤣🤣Na jeshi lenyewe limeingia mkataba na waarabu. Washalambishwa asali za waarabu ndio maana wako bize kutafuta soksi zenye rangi ya jeshi 🤣


 
Acheni kufananisha izo nchi zilizofanya mapinduzi na tanzania yetu.
Wao wamefanya kwa kua ilibidi iwe ivo na sababu muhim wanazo
Sasa hapa bongo tunasababu gani ya kushabikia mapinduzi?
Utawala ni mzuri demokrasia iko sawa maendeleo tunaona kila cku
 
kwa niger kwenyewe ECOWAS wamenywea, Gabon ndio imewavuruga mazima. Soon ukanda wao yatatokea tena mapinduzi mengine tena na watazidi kuvurugikiwa washindwe waingie wapi na kubaki kila mmoja akijipambania nchini mwake. Mapinduzi yanazidi kupamba moto na kuonekana ni mtindo mpya wa kuleta mageuzi ya kisera na uongozi kwa haraka. Kwa mtindo huu zipo nchi ukiziangalia tawala zao unaona ni dhahiri mapinduzi ya kijeshi kutokea wakati wowote. Nchi kama Cameroun, Uganda, Rwanda na zingine zenye demokrasia za magumashi kuna dalili za kutokea mapinduzi ya kijeshi au raia wakaungwa mkono na jeshi kutwaa madaraka
Kiukweli Vuguvugu Hilo na litue Africa ya mashariki Kuna watu wapo madarakani kama figures tu lakini Hamna la maana linaloendelea zaidi ya kutuongezea umasikini tu kiukweli tumechoka
 
Itokee kwa Paul Biya wa Cameroon, Yoweri Museven wa Uganda, Paul Kagame wa Rwanda....then tuhaikishe inatokea Nyashiland kwa kuitoa Chachamaa madarakani, tushachoka na lichama la kijani sie.
Chama cha kipuuzi sana kile. Kimejaza watoto wa vigogo tu wanakula nchi jinsi wanavyopenda. Mawazo yako yapo kama yangu.
 
Prigozhin the White Nelson Mandela?

Yevgeny Prigozhin in the Central African Republic shortly before he left for Russia.

Yevgeny Prigozhin, or as he is called on the African continent by many, "the second/white Nelson Mandela," stands surrounded by a crowd of Africans, to whom, like many people in other countries, he gave hope for freedom and change.

You will NEVER see globalist liberals like Macron or Biden embraced like this in Africa.

African people are not stupid. They know who their honest friends are and who use them for exploitive and cynical ends.

This is why they love the Wagner Group.

Be True to Yourself! [emoji123][emoji2526]
IMG_20230830_145946.jpg
 
Back
Top Bottom