... hili sasa limevuka mipaka; ni suala la usalama wa taifa! Taifa litakuwa hatarini tukipoteza viongozi wengi kwa mpigo sijui hawa jamaa wanaliona hilo. Ifike mahali isiwe hiari kuchukua hatua stahiki kwa viongozi. Kama tulikosea mahali wajisahihishe; ni ujinga ku-risk usalama wa nchi kumfurahisha fulani ambaye kwa sasa hayupo!Aisee hivi kwann wasimantain social distance na kuvaa Barakoa.
Yaan if it true ntashangaa sana! Honestly
Hii kitu haiwapi tabu wanawakeHata huyo Samia akae chonjo upupu umeshawatembelea.
Ulivyoandika utadhani hautakufa wakati unaweza ukafa hata kabla ya Magu kuzikwa, YA MUNGU MENGI!. Ni wakati Wa kujihangaikia haswa na si kunyooshea vidole wengineKama akili zenu ndio hizi hamtaki kuamini kuwa covid is real.
Mtaisha wote hata huyo mama samia
... huwa sielewi inakuwaje binadamu wenye akili, utashi, hisia, tena viongozi wasomi wanafikia level hiyo ya uelewa? Nadhani kuna nguvu ya ajabu behind sio bure!Simbachawene alikuwa anazunguka na meko kwenye ile ziara ya mwisho
... hata kama tatizo halikuathiri wewe uungwana ni kumkinga mwingine; huo ndio ubinadamu. Vaa kinga kwa ajili ya wengine!Hii kitu haiwapi tabu wanawake
Imempaishaje? Acha kupenda kupita kiasi!Na ile imempaisha sana TL... Japo tulitarajia haya yatokee lakini TISS na PSU walitamani tubaki gizani tusijue kitu chochote!
South African Covid haikuwa imefika wakati uleKwani Lissu na Lema walikuwa wanavaa barakoa wakati wa kampeni?
Kama alikuwa anajua mbona alishindwa kujikwamua na ile mibunduki!?Kabisa lissu kwa issue za magu kweli alikuwa ana uhakika zaidi ya 100%....Source wake ni mkweli sana ,hata kukamatwa bombadier hakutulisha tango pori ,hata kabla ya kushambiliwa alilitaja gari ambalo lilikuwa linamfatilia kila anapoenda.
Namshauri lissu akiwa anawasiliana na source wake asitumie voice ya kawaida au namba yake ya simu...Maana system za "KUTREPU" simu bado zipo.(LIN).
... Jenister ni waziri wa nchi, ofisi ya waziri mkuu (Bunge). Hii issue kimsingi ni ya kwake; tukiweka ule mwongozo wa TLS pembeni kwa muda lakini kwamba mara baada ya Rais kuapa baraza la mawaziri lina vunjika.Ivi Jenister Mhagama ni nani kwenye huu msiba wakuu?
Kila kona yupo, kila location yupo anaonekana kuliko mawaziri wengine kwani yuko kamati ya mapokezi au vipi
Ndio mnavyopanua goli kua ilikua haijafika...South African Covid haikuwa imefika wakati ule
Pia Yasir Arafat alipata kuwavimbia wazungu kwa kuwaambia "this is my home land no one can kick me out" na alisanda.Tangu Lin Mwafrica akamzidi Mzungu ? Hyo ipo verified kabisa kwamba Africa ni underdog Kwa Wazungu , 🚶🚶🚶 ni vema tunapokabiliana na hawa watu tujue namna vyema ya Kula nao sahani moja maana ushindi kwetu ni minimal .......
Pote Tu Mwafrica alipoinuka kwenda direct against na hawa watu Mtu mweusi ndo aliishia kuumia ....
Wote akina Kijenkitile ngwale, Mkwawa , Martin Luther , Muamar Ghadafi, Mghabe na wanaharakat wote waliishia kuangukia Pua ......
Inahtaj smartness ya Hali ya juu kukabiliana na hawa watu......
Tutajidai kusema napigania Taifa huku hakuna tunachopata , mnaambulia Vifo na maisha magumu ...!!
JPM alikuwa na nia dhabiti na Taifa , Ila mikakati yake ilighubikwa na ukurupukaji mwingi, kukosa hekima na busara , uropokaji usio na tija , kukosa hekima ya kukabiliana na wanaokupinga na utumiaji wa nguvu wa wazi wazi ....na hiki ndo kimemwangusha ......
Halafu mpuuzi kama huyu unategemea aje kuwa kiongozi wa serikali, labda ya wahuniKaandiki hivi kupitia twitter ambapo pia ameambatanisha picha ya Simbachaweni katika tweet yake hiyo:
Yuko wapi Waziri Simbachawene? Vaeni Barakoa. Jilendeni na corona. Mtaisha mkifanya mzaha.
YKwasababu hawasikii, mimi nasema wacha yawakute na tena iwatandike kwelikweli.
Tukumbuke juzi walikuwa kwenye cabinet wakiwa wamejiachia tu.
Hata Hitler alitia hofu kubwa sana kwa wananchi wake... huwa sielewi inakuwaje binadamu wenye akili, utashi, hisia, tena viongozi wasomi wanafikia level hiyo ya uelewa? Nadhani kuna nguvu ya ajabu behind sio bure!
Akidi ya wanaotakiwa kumaliza mwendo labda bado haijatimia ndio maana wamewekewa moyo mgumu kama farao. Sio sahihi kumjaribu Muumba wako alafu mtuambie amependwa zaidi.Kaandiki hivi kupitia twitter ambapo pia ameambatanisha picha ya Simbachaweni katika tweet yake hiyo:
Yuko wapi Waziri Simbachawene? Vaeni Barakoa. Jilendeni na corona. Mtaisha mkifanya mzaha.