sahihi kabisaKabisa lissu kwa issue za magu kweli alikuwa ana uhakika zaidi ya 100%....Source wake ni mkweli sana ,hata kukamatwa bombadier hakutulisha tango pori ,hata kabla ya kushambiliwa alilitaja gari ambalo lilikuwa linamfatilia kila anapoenda.
Namshauri lissu akiwa anawasiliana na source wake asitumie voice ya kawaida au namba yake ya simu...Maana system za "KUTREPU" simu bado zipo.(LIN).