Makirita Amani
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 1,915
- 3,422
- Thread starter
-
- #81
Uwekezaji kwenye bond ni kuanzia Tsh Milioni 1.P
unaweka mzigo wa kiasi gan ili ulipwe asilimia 15 kwa miaka 25?
Tatizo jingine linafanya hii nchi inazama kwenye umasikini ni hizi akili za kutishana kijinga.Ngoja tukunyang'anye hicho cheti,umeshavunja Sheria
BOT wanayo calculator ya kukokotoa marejesho ya bond kwa kiasi na muda utakaowekeza.Haya kwa mfano pale minimum ni 1,000,000 na addition ya 100,000 as par face au value na pale bonds zinakuwa matuared kwa vipindi 6..,kwa miaka 2, 5,7, 10, 15 na 20...fanya calculation kwa investment ya one milion kwa miaka 15 mpaka 20 na percent ya 15..
Sasa mbona umeshangilia kukipata kama unalijua hilo?Tatizo jingine linafanya hii nchi inazama kwenye umasikini ni hizi akili za kutishana kijinga.
Hivi unafikiri mimi cheti hiki ndiyo kitaamua maisha yangu?
Mkuu, nina cheti cha udaktari, daktari wa binadamu, MD.
Iwe unatania au unamaanisha, nikuambie hapa umeandika ujinga sana.
Na hayo yote ni madhara ya umasikini.
Hivyo karibu darasani upate elimu sahihi ya fedha ili uachane na huu ujinga.
Mkuu, huku kukaza shingo ndiyo kunakufanya uwe masikini na utakufa na huo umasikini kama hutaacha huu ubishi usio na maana.Hakuna namna hiyo idea yako inaweza fanya kazi katika ulimwengu halisiwa nje ya makaratasi
Tatizo mnapoga hesabu rahisi sana.Why easy money,Ukae na hela yangu for 25 years unipe 15%. ?
Inflation ni 4.6 to 6 kwa mwaka. Mnaakili nyie?
Hongereni sana kwa hatua hii mnayochukua ya kuhakikisha maarifa yanawafikia wengi zaidi.Jambo zuri sana. Elimu ya masuala ya uchumi binafsi inapaswa kutolewa sana. Hasa mashuleni. Sisi(App ya Maktaba Sauti) huwa tunafasiri vitabu. Watu wanatuuliziaga sana vitabu vya Dr. Amani.
Moja ya kitabu chetu kinachopendwa sana ni Tajiri wa Babeli(The Richest Man in Babylon). Hiki kinafaa sana juu ya elimu ya uchumi binafsi.
Tajiri wa Babeli-Tiba saba dhidi ya pochi tupu.
View attachment 3012251
Sitaweka hadharani, lakini kama utakuwa tayari wewe kunionyesha yako na mimi nitakuonyesha yangu.We akaunti yako ina kiasi gani hadi sasa?
Ugoro mwingine ni huu hapa.Huyu itabidi siku nmchkue nmpeleke ruangwaa lindi huko
Au hombolo dodoma tukamuoneshe namna gani watu wanavyozisaka pesa
Akirudi atapata kitu cha kujazia kwenye vitabu vyake
Ova
Hongera sana mkuu, umemfafanulia vizuri, tatizo wengi hawapigi hesabu cummulatively, bali wanaangalia mara moja.15% ni Kila mwaka na unaweza kuuza bond yako anytime ukitaka, biashara chache sana Kwa bongo za kukupa 15% net profit, hata Kwa hiyo inflation rate & taxes bado utakuwa net on green, wala usiwe na wasiwasi tumezungukwa na nchi nyingi kuanzia Zambia,Kenya, Uganda etc kama wewe ni hustler wa bond market hizo nchi zote zina top 20% Kwa 10 years, lakini angalia sana taxes na inflation rates, wahindi na wachina ndio biashara yao kubwa sana sasa Africa, hizi serikali zetu ni ovyo lakini likija swala la kulipa hizi security wako vizuri sana
Kwa kusoma reply zako unaonekana mtu mwenye kiburi fulaniTatizo jingine linafanya hii nchi inazama kwenye umasikini ni hizi akili za kutishana kijinga.
Hivi unafikiri mimi cheti hiki ndiyo kitaamua maisha yangu?
Mkuu, nina cheti cha udaktari, daktari wa binadamu, MD.
Iwe unatania au unamaanisha, nikuambie hapa umeandika ujinga sana.
Na hayo yote ni madhara ya umasikini.
Hivyo karibu darasani upate elimu sahihi ya fedha ili uachane na huu ujinga.
Motivation speakerHongera Ila ngoja mie niongee kinyume na emotions zako. Why usiwe tajiri kwanza ndio watu wakaja kwako kutaka uwape maarifa Mana uelewe vitendo ni gharama mno kuliko maneno.
Kila mtu anaweza akaongea na akafundisha Ila sio kutenda.
Actions are strong than words hata wanao wafundishe kwa kufanya ama ku behave unavyotaka wao waji behave.
Binadamu tunaelewa kwa kuona kuliko kwa kusikia.
Ndio yake kishimba anasema wewe unakuja na Cheti chako na tai yako Halafu unataka usimamie hela zangu kweli.
Yaani Cheti tu na tai u trade na hela zake. Aliongea kuhusu benki waliyotaka kufungua wao wametoa pesa nyingi zaidi ya 500M jumla 2bn benki ifunguliwe Ila Sasa eti bot wakasema kuwa mtu asiye na Cheti cha masuala ya pesa ama iyo elimu asiwepo katika bodi ya wakurugenzi.
Kupata pesa ni kitendo, hela ziishi kwako ama zisiondoke kwako ni tabia yako na hela kuzidi kuzaliana ni suala la maarifa na ujuzi.
Sasa hapo kwenye tabia ni kazi mno kufundisha mtu tabia. Ni sawa useme utamfundisha mzinzi qache uzinzi, Malaya aachane umalaya,
Mwizi aache wizi, mvivu awe na nguvu ama bidii za kazi,mlevi ama mvuta sigara aachane na hizo tabia.
Kuongea ni rahisi mno na unayoyaongea sio kuwa sio ukweli unakuta ni ukweli Ila utendaji ni ishu nyingine hata wewe unayeyaongea huwezi yafanya.
Samahani kwa kwenda kinyume na wewe Ila nakupongeza kumiliki Cheti cha CFA.
Ila jitahidi na ninakuombea uwe like abood watu watakuwa wanaelewa mno masomo yako hata Yule wa Kijijini atakuelewa.
Sasa unaandika kitabu namna ya kumiliki pesa Halafu unakiuza badala ya ugawe bure Mana tayari umeshatumia hizo mbinu kumiliki hela.
Kuna jamaa alienda kuomba hela akachape kitabu chake how to make money akaenda kuomba hela bana si akaambiwa akasome hicho kitabu apate hela akakichape.
Talk is cheap but actions are fuckin expensive.
Elimu inabidi ijikite katika vitendo na sio theory tu.
Mana ya elimu ni actions Ila ni kazi mno kufanya kazi. Kuna engineer hajui ratio ya materials kutoa 37MPA
Watu kama hawa tushakutana nao sana 😄Kwa kusoma reply zako unaonekana mtu mwenye kiburi fulani
Yeye anafikiri watu wanaishi kwa theoriesHongera Ila ngoja mie niongee kinyume na emotions zako. Why usiwe tajiri kwanza ndio watu wakaja kwako kutaka uwape maarifa Mana uelewe vitendo ni gharama mno kuliko maneno.
Kila mtu anaweza akaongea na akafundisha Ila sio kutenda.
Actions are strong than words hata wanao wafundishe kwa kufanya ama ku behave unavyotaka wao waji behave.
Binadamu tunaelewa kwa kuona kuliko kwa kusikia.
Ndio yake kishimba anasema wewe unakuja na Cheti chako na tai yako Halafu unataka usimamie hela zangu kweli.
Yaani Cheti tu na tai u trade na hela zake. Aliongea kuhusu benki waliyotaka kufungua wao wametoa pesa nyingi zaidi ya 500M jumla 2bn benki ifunguliwe Ila Sasa eti bot wakasema kuwa mtu asiye na Cheti cha masuala ya pesa ama iyo elimu asiwepo katika bodi ya wakurugenzi.
Kupata pesa ni kitendo, hela ziishi kwako ama zisiondoke kwako ni tabia yako na hela kuzidi kuzaliana ni suala la maarifa na ujuzi.
Sasa hapo kwenye tabia ni kazi mno kufundisha mtu tabia. Ni sawa useme utamfundisha mzinzi qache uzinzi, Malaya aachane umalaya,
Mwizi aache wizi, mvivu awe na nguvu ama bidii za kazi,mlevi ama mvuta sigara aachane na hizo tabia.
Kuongea ni rahisi mno na unayoyaongea sio kuwa sio ukweli unakuta ni ukweli Ila utendaji ni ishu nyingine hata wewe unayeyaongea huwezi yafanya.
Samahani kwa kwenda kinyume na wewe Ila nakupongeza kumiliki Cheti cha CFA.
Ila jitahidi na ninakuombea uwe like abood watu watakuwa wanaelewa mno masomo yako hata Yule wa Kijijini atakuelewa.
Sasa unaandika kitabu namna ya kumiliki pesa Halafu unakiuza badala ya ugawe bure Mana tayari umeshatumia hizo mbinu kumiliki hela.
Kuna jamaa alienda kuomba hela akachape kitabu chake how to make money akaenda kuomba hela bana si akaambiwa akasome hicho kitabu apate hela akakichape.
Talk is cheap but actions are fuckin expensive.
Elimu inabidi ijikite katika vitendo na sio theory tu.
Mana ya elimu ni actions Ila ni kazi mno kufanya kazi. Kuna engineer hajui ratio ya materials kutoa 37MPA
Yaani anajiita coach akijibiwa asivyopenda anasema huo ni ugoro! Kwa style hiyo atamcoach mtu kweli😃Watu kama hawa tushakutana nao sana 😄
Ova