Haji Manara: Paul Makonda ulinilaza Korokoroni, acha dunia izunguke kwenye Mhimili wake

Haji Manara: Paul Makonda ulinilaza Korokoroni, acha dunia izunguke kwenye Mhimili wake

Sasa naona hawa jamaa wanaitumia hii issue ya kiwanja kutafuta public sympathy of a certain kind.

Kwanza wakili Mgongolwa kujitokeza public kutoa clarification kuhusu mmiliki halali wa kiwanja, nikajiuliza wakili ofisi yake ni mahakamani, huyu Mgongolwa barabarani anatafuta nini? ni politics tu.

Then huyu Manara, muajiriwa wa GSM, anakuja mbio mbio nae anamlaumu Makonda, hapa sitaki unafiki, hata kama Makonda alikuwa na madhambi yake lakini huu mchezo unaochezwa hapa ni wa kishamba.

Kama vipi waende mahakamani, kutafuta uungwaji mkono na mashabiki wao kijanja kwa issue zao private ni mchezo wa kishamba uliopitwa na wakati.
Hapa kama vipi na malaika RC mstaafu aende tu mahakamani akadai haki yake na si kukimbilia huku kwa raia mtaani, sisi hatuna uwezo Wa kumsaidia
 
makonder na haji wote chawa wa jiesiemu
 
Sasa naona hawa jamaa wanaitumia hii issue ya kiwanja kutafuta public sympathy of a certain kind.

Kwanza wakili Mgongolwa kujitokeza public kutoa clarification kuhusu mmiliki halali wa kiwanja, nikajiuliza wakili ofisi yake ni mahakamani, huyu Mgongolwa barabarani anatafuta nini? ni politics tu.

Then huyu Manara, muajiriwa wa GSM, anakuja mbio mbio nae anamlaumu Makonda, hapa sitaki unafiki, hata kama Makonda alikuwa na madhambi yake lakini huu mchezo unaochezwa hapa ni wa kishamba.

Kama vipi waende mahakamani, kutafuta uungwaji mkono na mashabiki wao kijanja kwa issue zao private ni mchezo wa kishamba uliopitwa na wakati.
Manara ni mpambe wa tajiri, yani adui wa tajiri ata force awe ni adui yake
 
Huyu Makonda ni jambazi aliyekuwa analindwa na Magufuli, kinachomtokea sasa ni stahiki yake pambafu zake, And Magu alikuwa anajiita mzalendo!!!!!! Mzalendo gani alikuwa analinda wahuni?
Mama ameshamshitaki?

Au nae anawalinda wahuni?
 
Salaam Wakuu,

Baada ya Paul Makonda kuwalalamikia Polisi kwamba kuna baadhi ya Askari Polisi wanadhalilisha Jeshi la Polisi sababu wanatumiwa na Matajiri.

Haji Manara ambaye ni Msemaji wa Klabu ya mpira wa Miguu ya Yanga SC ya Tanzania, amesema atulie tuli kama ananyolewa.

Haji kadai Wakati Makonda akiwa Serikalini, alimlaza Korokoroni

Ipo hivi;
View attachment 2148311
Leo Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM iliyokutana jana Dodoma, chini ya Mwenyekiti wake Samia Suluhu, imeiagiza Serikali kuchunguza mwenendo wa Jeshi la Polisi baada ya wananchi kupoteza imani na Jeshi hilo.

Inadaiwa Maofisa wa Polisi hawaaminiki na wanaonekana kutenda majukumu yao bila kufuata Mwongozo wao wa kisheria (PGO).

Baada ya taarifa hiyo, Paul Makonda Aliandika hivi;



Baada ya kuandika Ujumbe huo, Haji Manara alijibu hivi;


Pia soma;

1). Wananchi kukosa imani na Polisi: CCM yaagiza Jeshi la Polisi lichunguzwe

2). Makonda: Baadhi ya Askari Polisi jijini Dar wanawalinda wafanyabiashara matapeli wanaodhulumu mali za watu

View attachment 2148285
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Uyu_Binadam_kama_angekuwa_Uwaziri_wa_Mambo_ya_ndani_au_Rais_Sijui_Tanzania_ingekuwaje_%3F_%F0%...jpg
JamiiForums-345777066_640x461.jpg
 
Haji wa kumsema Makonda leo?

Nimepata somo
Ukimsikiza Haji anavyoelezea maisha yake ndani ya Simba utagundua ni mtu aliyeishi kwa shida sana kiasi cha kuishi kwa unafiki ili maisha yaendelee. Hivyo yawezekana Haji hakuwa na ukaribu wala ushikaji na Makonda Bali kwa kuwa bashite alikuwa na nguvu na aliwatisha hadi kina Mo ikabidi aendane nae tu ndani ya Simba japo kinafiki
 
Sasa naona hawa jamaa wanaitumia hii issue ya kiwanja kutafuta public sympathy of a certain kind.

Kwanza wakili Mgongolwa kujitokeza public kutoa clarification kuhusu mmiliki halali wa kiwanja, nikajiuliza wakili ofisi yake ni mahakamani, huyu Mgongolwa barabarani anatafuta nini? ni politics tu.

Then huyu Manara, muajiriwa wa GSM, anakuja mbio mbio nae anamlaumu Makonda, hapa sitaki unafiki, hata kama Makonda alikuwa na madhambi yake lakini huu mchezo unaochezwa hapa ni wa kishamba.

Kama vipi waende mahakamani, kutafuta uungwaji mkono na mashabiki wao kijanja kwa issue zao private ni mchezo wa kishamba uliopitwa na wakati.
Tulia sindano ingie unajua kucheza draft wewe?

Kama hujui tafuta angalau uangalie linavyo chezwa

Zingatia yafuatayo kwenye draft :

1. Highway/Main Road/Njia Kuu
2. King/Mfalme
3. Kula
4. Kula Double/Triple na kuendelea
5. Kuliwa
6. Kuliwa Double/Triple na Kuendelea
7. Kufungwa
8. Kufunga
9. Kutoka Sare
 
Back
Top Bottom