Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora anayeatack kwa maneno, Makonda aliatack kwa risasi.Lakini naona kama imekuwa too much kwake ,ana attack Sana
Ila mkuu Manara anajulikana hajajificha mitandaoni kama sie wengine huku tunaweza kuongea lolote na tusijulikane.Acha uoga. Mbona wenyewe walitesa watu hadharani?. Usizuie watu kuongea ukweli.
Bange na uchizi fresh wewe unamuona chidi ni mzima?Chid benzi aliwahi kumshauri Makonda kwamba aangalie pia na Magereza yaweze kukarabatiwa maana kule yeyote anaweza kwenda. (Sina uhakika kama nilimkariri vizuri Chid)
Wengi tulimpuuza tukajua labda ni bange ndiyo inaongea
Manara ni mjinga na vijana machawa wanaoamini kusifia au kuponda viongozi ni ujanaja ni wajinga.Leo hii Manara hawezi mgusa DAB
Na bado wanasikilizwa ngazi zoteManara ni mjinga na vijana machawa wanaoamini kusifia au kuponda viongozi ni ujanaja ni wajinga.
Unakuta mtu anamtukana Bashiru, Ndungai au Polepole..
Kumbe watu wanamishahara ya Usalama wa Taifa na wapo kwenye wanamipango/mikakati ya nchi
Makonda hata awe mjinga vipi hawezi kulinganishwa Kwa vyovyote na Manara. Makonda ana sapoti ya watu kibao, wakiwa ni watu wajinga ama la hiyo siyo issue. Ila Manara kuwa mjinga hiyo ni issue yake. Na Kwa kweli kijamaa hakina akili.Leo hii Manara hawezi mgusa DAB
Next levelOhhoooo bashite again
Tena anashtuka akisikia hilo jina linatajwa !!Leo hii Manara hawezi mgusa DAB
Wewe unayeuza K hapo sinza ni mzima?Bange na uchizi fresh wewe unamuona chidi ni mzima?
The killerLeo hii Manara hawezi mgusa DAB
Wewe ndiye mjinga na mpumbavu wa kutupwa.Manara ni mjinga na vijana machawa wanaoamini kusifia au kuponda viongozi ni ujanaja ni wajinga.
Unakuta mtu anamtukana Bashiru, Ndungai au Polepole..
Kumbe watu wanamishahara ya Usalama wa Taifa na wapo kwenye wanamipango/mikakati ya nchi
Bashite hana lolote zaidi ya kuondoa haki ya kuishi kwa wanadamu wasiyo na hatiaMzungu bila shaka sasa hivi atakua anajutia kauli yake ya kujipendekeza kwa tajiri,hii tabia ya ukinyonga na kuropoka ropoka ni mbaya sana.