King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Endorsement ndio muhimu kuliko Mshahara!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si namna ya kiungwana ya kutoa ya moyoni!! Ila ninahisi Manara kashikwa pabaya na amekata tamaa!! Hatufai!Naona yupo sahihi kwa kuwa katoa ya moyoni
Tropic closeKwahiyo kwa kipindi chote hiki Bugatti anafanya kazi kama day worker.
Ni popote pale, hii ina conflict of interest! Asaini sehemu moja.Kinachoonekana wazi ni kuwa, viongozi wa Simba wakiongozwa na MO na bodi nzima, hawapendezwi na Manara kufanya kazi na GSM pamoja na Azam Ltd.
Na hicho ndicho kimemponza.
Manara alichokosea tu ni kuwa kamkaripia CEO wake. Na kumtishia kuwa atamuondoa Simba. Sawa, ataondoka lakini si kwa matakwa ya Manara.
Ngoja tuone, how will the sagga end!.
Simba tukifungwa, ndo zogo litakuwa tamu balaa.
Afanye lakini sio yenye conflict of interest na muajiri wake.Milioni 4 kisha usifanye kazi za nje za kipato cha ziada huo ni utani, masiakhala na dhiaka.
Sasa subiri afukuzwe Simba ndy atajua kama kweli hy endorsement ni mhm, maana atakuwa unfollowed na wengi watapoteza interest kwake, ataomba hata apewe mshahara wa laki moja.Endorsement ndio muhimu kuliko Mshahara!!
acha wivu wa kikuda mkuu, hii simba sio yako wala ya babu yako, shabiki yoyote anaweza kuitumia kujitengenezea jina na hata kigonga madili wewe inakuuma nini kama sio chuki hiziAmepewa option ya kuchagua eidha awe mwakilishi wa Simba SC au Asas, GSM na Azam Ltd? Simple as that.
Hata mimi binafsi nilikuwa sipendezwi jinsi alivyotumia brand ya Simba kutengeneza brand yake ili kupata endorsements kama za Asas, GSM na Azam
Waongeze dau.Afanye lakini sio yenye conflict of interest na muajiri wake.
Sasa subiri afukuzwe Simba ndy atajua kama kweli hy endorsement ni mhm, maana atakuwa unfollowed na wengi watapoteza interest kwake, ataomba hata apewe mshahara wa laki moja.
Athari zakukulia maeneo kama karia kooKwa upande wangu regardless na tuhuma za Manara kwa Barbara, Manara njia aliyoitumia amekosea sana. It is very unprofessional kuleta mambo kama yale public halafu unarecord na voice note kabisa, kwa mtu wa caliber kama yake ule ni utoto na uswahili.
Sasa Azam au GSM ,Asas hawachezi Mpira ingekuwa anadhaminiwa na yanga sawa..kungekuwa na conflict of interest.
Tropic gani tena jamani? Si tulikubaliana ni TopicTropic close