Usishindwe, jaribu kumwelewa alivyo. Ni nguli wa sheria na amebobeka huko. Isitoshe ni mwanasiasa anayejua kosoma nyakati.
Sidhani kama ni woga, kwani naamini hata woga ni ujasiri.
Maslahi ya watoto? ni Wakubwa au bado ni wadogo? sijui, kwani nnayemjua alipandishwa jukwani jimbo la kawe kama sikosei na huyu ni Kijana mkubwa tu Unamlinda vipi mwanasiasa mwenzako? sina jibu ila nafikiri hilo la mjadala mwingine.
Ninachojua ni CCM haijakuwa bila ya 'power strugle' au vigenge genge Cleopa na genge lake nafikiri hawakuwa na nia ya muendelezo wa "Nyerereism" na hili ni mwono tu wa siasa za nyakati nafikiri wakina Salim A.S na Warioba alike waliona mikanganyo ndani yao yalikuwa hayana tija nje ya Siasa za Chamani hivyo wakajitunzia heshima zao kuepuka kuigaragaza CCM... kisiasa na hata kulinda heshima ya Chama na sio kibinafsi... ni mwono wangu wa wakati huo.
Hilo la Bashite, binafsi naona tu "Wenyewe"baada ya kuonja asali, nderemo za vyama vya upinzani wa kiaiasa ilibidi wazime Katiba and who had the guts? pamoja na Nguvu za "Wenyewe" You guessed right!! Kama alivyotumika Hayati JPM kupunguza nderemo za vyama vya upinzani kisiasa pamoja na ujangiri uliokithiri ndani mwao na kurudisha heshima kwenye Chama na Nchi Warioba ilikuwa vile kwenye Katiba.
"Wenyewe" watajijiju😁
Hivyo basi, sio woga, sio heshima kibinafsi, sio kulinda watoto-huu mjadala mwingine- bali Heshima ya nchi yake na heshima ya Chama. Kama nilivyosema juu, Ni nguli wa Siasa za nyakati. Strategic.