Kilimahewa sehemu gani mkuu?Hahaha we acha tu ndugu, Kuna mama mmoja mchanganyiko wa muhaya upande wa mama yake na msukuma upande wa baba yake loooooh! Nilikumbana naye kilimahewa Mwanza pale aseeee ni shida kubwa! Halafu anajua kutifuana maana amekaa sana na wazaramo na wamakonde, yaani mtu utadhani kashushwa tu toka juu
Humu wanaume huwa wanadaganya Sana na ukibeba la kubeba bila kychaganya na za kwako utalia mwenyewe familia ikishakushinda, na ni vinara wa kulaumu wanawake humu sanaYaanii ukisomaga threads humu unajisemea kumejaa wavulana. Unakuta wanajifaraguaaaaaa utasema Malaika Mkuu na kopo lake[emoji23] sijui Gabriel sijui mikael sijui nani. Yaan wanaharisha kwlei ili wapate support. Yakiwarudi baasiii ndo hivi..
Na ujiandae wanawake huwa wakimya Tena tusio na Mambo mengi siku tukiamua tuna mzidi Hadi ibilisiKwahiyo nijipange?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]ana learn in hard wayImekula kwake kibwengo huyu
Hata kama nimebadilika?Na ujiandae wanawake huwa wakimya Tena tusio na Mambo mengi siku tukiamua tuna mzidi Hadi ibilisi
Mbona mnajidanganya sana kwahiyo asitafute pesa? Mnaishi maisha ya kuigiza, sasa bila fedha unawezaje kuwahudumia familia yako watoto mkeo mavazo, chakula, ada, bili za maji umeme nk, ila pia shida mnatafuta pesa eti ili kila mwanamke akupende hii ni mambo ya ajabu, hela ni lazima itafutwe kwa misingi iweze kumudu mahitaji yako na oia ndugu zako na pia familia yako, sio hela yako utumie kwenye uzinzi sioni tija hapo
Swala si fedha, unaweza kutafuta fedha na ndoa yako haina furaha na amani, amwombe mungu ampe mke mwemaMbona mnajidanganya sana kwahiyo asitafute pesa? Mnaishi maisha ya kuigiza, sasa bila fedha unawezaje kuwahudumia familia yako watoto mkeo mavazo, chakula, ada, bili za maji umeme nk, ila pia shida mnatafuta pesa eti ili kila mwanamke akupende hii ni mambo ya ajabu, hela ni lazima itafutwe kwa misingi iweze kumudu mahitaji yako na oia ndugu zako na pia familia yako, sio hela yako utumie kwenye uzinzi sioni tija hapo
Umemjibu kistaarabu sana, ningekuwa mm ningempa jibu ambalo lingemfaa kabisa.Your right japo nafasi hio sidhani kama unaweza kupata.
Ila jua sisi ni wakristo inapotokea mwenzako anasema ametoka nje ya ndoa sababu kutafuta faraja kwakua si mjali (kumtoa date) na yeye ana uhitaji mkubwa wa pesa or kwa sababu yeyote ile kutoka nje ya ndoa tunaamini si suluhisho.
Nilimwambia aande nyumbani kwao apumzike akasema hapana atapanga kumbe shida aendelee na hawara wake waishi pamoja kama sasa wanavyoishi
Eeh, yaan kama hujachanga na zako umeisha. Jueni mbinu zenu za kizamani wanaume zimepitwa na wakati. Sema KARMA iheshimiwe sana. Inakujaga muda hata hutegemei na hujajiandaa. Ukiwaona wanavyotukandia na kutusimanga sasa.. mxieew.Humu wanaume huwa wanadaganya Sana na ukibeba la kubeba bila kychaganya na za kwako utalia mwenyewe familia ikishakushinda, na ni vinara wa kulaumu wanawake humu sana
Sisi huwa hatusemi yaukweli. Huwa tunatumia maneno matamu kwako ya kukuvutia wewe mchepuko ili uingie king. Mengi ni ya uongo.Mbona hata nyie wanaume huwa mnaongea madhaifu ya wake zenu majumbani ni nadra mwanamke kutaja madhaifu ya ex wake
Kumbee kudadeki.Mi nadhani wanaume sometimes tuwajibike kwa madhambi yetu pindi na wenzetu wanapoamua kurudisha mashambulizi.
Uyu mtoa mada alikua mchepukaji mzuri Sana,
Bahati mbaya mwenzie nae alipoanza kuchepuka IMEMUUMA MNO mpaka anatangaza kuvunja Ndoa.
Kisingizio anacholeta Ni pesa, WAKATI UHALISIA anaujua.
This is KARMA
cc: mawardat, Extrovert, financial services, RReigns, Evelyn Salt, @mbalizi1View attachment 1827299View attachment 1827300
Sasa ukae na familia yako huna hata kumi mnaishije sasa, wanaume tujitahidi kutafuta maana hata mwanamke anaweza kukuvumilia kwa miaka mingi sana akachoka na wewe unaona ni kawaida, sio lazima uwe tajiri ila pesa ya kuwafanya mkaishi maisha standard na familia yako ni muhimu sanaSwala si fedha, unaweza kutafuta fedha na ndoa yako haina furaha na amani, amwombe mungu ampe mke mwema
Ogopa sana technology hahahaha umefukua makaburi mkuu, kumbe jamaa analelewa mke wake ana maduka ndiyo yalikua yanamlisha mbaya zaidi anachepuka, huyu jamaa nimemdharau sana mjingaMi nadhani wanaume sometimes tuwajibike kwa madhambi yetu pindi na wenzetu wanapoamua kurudisha mashambulizi.
Uyu mtoa mada alikua mchepukaji mzuri Sana,
Bahati mbaya mwenzie nae alipoanza kuchepuka IMEMUUMA MNO mpaka anatangaza kuvunja Ndoa.
Kisingizio anacholeta Ni pesa, WAKATI UHALISIA anaujua.
This is KARMA
cc: mawardat, Extrovert, financial services, RReigns, Evelyn Salt, @mbalizi1View attachment 1827299View attachment 1827300
RevengeππππHahahahahah huyo dem ni devil aisee! Yani kanunua uwanja mumewe hajui aisee? Mi lazma ningemchapa kwenye ujenzi hapo mamaye π π π si aliniacha kiboya namie nampiga tu mifuko ya simenti.. sema kanaonekana kanakumiss sana hako ka mmbwa, endelea kukapa adhabu za kiakili manina
Karma is a real bitch.....Jamaa angu mmoja kipind tunaishi nae mtaani nae alkua mwalimu katafuna sana mabinti wa watu na anajisifia.
Bahat mbaya mungu kamtunuku mabint 3 na dume 1.
Hao watatu hakuna alievuka form 4, wote wamepigwa mimba wamezalia nyumbani kwake.
Unafikiria sisi huwa tuna buy huo uongo sie Lengo huwa hela na pleasure tunayopata basi aisee.Sisi huwa hatusemi yaukweli. Huwa tunatumia maneno matamu kwako ya kukuvutia wewe mchepuko ili uingie king. Mengi ni ya uongo.
Wewe dada nimekupenda mbaya unatoa comments boraMbona hata nyie wanaume huwa mnaongea madhaifu ya wake zenu majumbani ni nadra mwanamke kutaja madhaifu ya ex wake
Umetapikwa bara bara....Daah, what a sad story..
Yaani huwa naamini 95% ya migogoro ya kifamilia huwa mwanaume ndo muasisi. Yaan lazima alishapiga matukio ya kutosha mke anaangalia tu. Sasa ukomo wa uvunilivu ukifikaga ndo mbaya. Yaani mwanamke anakua jeuri haijapata tokea.