Hatimaye ndoa yangu imevunjika

Sasa wwe mwenzako mwanzo mwisho kaandika Kiswahili,wwe unamjibu na kiswanglishi, au ndiyo unataka kututisha sisi tulio soma shule za Kayumba!?
 
Dah hawa mbuzi kwahio wanatulia timming tu!
 
Huyo mama lazma atakuwa ni mchaga tu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Dah wakuu mbona tunatishana aisee πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… nafikiria nikamlipie financial services mahari ila sasa mbona hivi tena?
 
Pole sana mkuu, kwenye matatizo ndipo unapowatambua watu wanao kujali, watu ambao ni muhimu kwenye maisha yako,

Bro hapo hukua na mke, wala usiwaze, hasira zako zihamishie kwenye kutafuta pesa na kuwapenda wanao,

Good luck brother.
 
Kaka uliowa Mdangaji, sema alikua kaficha tu makucha yake, shukhuru Mungu amekuokoa baada ya kupa kamtihani kadogo,je ungepewa mtihani wa maradhi ingekuwaje!?
 
Dah ni noma kweli mungu yupo katikati y giza nene huwa yupo macho!
 
Kitu Kama hichi kilimtokea afande sele, baada ya kushinda mfalme wa rhems, mama yake kajirud.
 
Hapana usioe kwa tamaa Mimi nilio shepu kumbe kichwani box tupu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ sasa kumbe we ulimaindi ma.tako mzee baba? Tushawaambia sana humu oa mwanamke mwenye tabia nzuri nyie mnachagua wenye matako makubwa ooh tabia tutarekebishanaπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… umeona kazi hio sasa?!!!
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ sasa kumbe we ulimaindi ma.tako mzee baba? Tushawaambia sana humu oa mwanamke mwenye tabia nzuri nyie mnachagua wenye matako makubwa ooh tabia tutarekebishanaπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… umeona kazi hio sasa?!!!
Sasa kuna maana gani ya kuoa mwanamke ambaye hana tako wakati wewe hicho ndicho upendacho?
 
kweli kabisa changamoto sio mwisho wa maisha ni safari tu unapitia
kuhusu kua na vyanzo vya mapato ni kumfungulia mke biashara ukiwa na maana apate maitaji yake na familia endapo baba atakwama ila iko tofauti kwa dada zetu akiwa na biashara umempa ww anaota mapembe na kiburi hawezi kukuvumilia hata miezi mitatu kipindi hauna kazi utasikia siwez kua baba katika hii familia wakati anaelewa unayopitia
ila nahisi tumeumbwa tofauti mwanaume anaweza ishi na mwanamke ambae hana biashara wala kazi maisha yote ila mwanamke miezi tu inamshinda cha ajabu anaringa na kitu ulicho mpa ww.
 
kosa hela ujue rangi halisi ya ndani ya ufedhuli wa hawa viumbe KE

japo hii ni stori ya upande mmoja
Story imekamilika niliposoma jamaa alipenda matako makubwa πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… wala haina haja ya mjadala mrefu wote tunajua akili za wanawake wenye matako makubwa sasa changanya na kufulia uone povu linatoka kwa kiwango gani πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Hashtag hyo nimeielewa snaa..na ndo msimamo wangu huo..nashangaa mtu yuko radhi akosane na ndugu zake.mama yake baba yake kisa mke wake hapend ndugu..mama.e...nasemaje....huo ni udhaifu
 
Usiseme huwezikuta mwanamke anamsema mme wake positively, wapo kama mimi hata kama mume wangu ana mapungufu ni lazima nimfunike kwa public, ntamsema vizuri, ntamfanya aonekane mwanaume kamili. I never speak negative about my husband, tatizo mnajumlisha jinsia yote!! Unaambiwa kama umekuta na aliyekengeuka ni huyo cyo wote!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…