miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Ndiyo mkuu[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kuna ela unaiskilizia eeh?
Kama nick wa pili tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo mkuu[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kuna ela unaiskilizia eeh?
Mungu atusamehe, ila tuna la kujifunza kwa mtoa mada.Yes. Na sijisikii vizuri kumcheka kwa kweli[emoji26] Mungu anisamehe kwa hili. Ni shule tosha kwetu sote. Kila jambi ktk jamii liwe negative ama positive ni shule kwetu sote.
Ubaya sasa, mwanamke akasema baasi ni anamaanisha kweli kweli...
Lazimaaa. Halaf ni mtu mzima kabisa huyu[emoji23][emoji23][emoji85]aibu nimeona mimi
Hapana dada anguBaasi bwana... ungeleta mahati chaap. Na wewe usichepuke lkn[emoji23] usivue huku kimya kimya
Hongera sana sana sana sana ndugu yangu. Huyi ndo ndugu yako. Mpende sana na mjali sana. Epukeni kuwapa nafasi walimwengu.Umeongea ukweli mtupu, Binafs uliyoyaongea nayaona kwa mke wangu.
Mungu ampe maisha marefu japokua chagamoto za hapa na pale zipo tunapamban nazo
Nashangaa leo siyo siku ya ibada na simwoni[emoji23]Kakimbia uzi wake mwenyewe
Jamaa kavuna alichopanda.Mwanamke mkweli ni mama tu I belive it, sijawahi kuacha kulikumbuka hilo
Wanawake ni wavumilivu sanaAiseee. Asante sana kwa kuwa balozi mzuri. Mungu ni mwema sana tunashukuru umerudi kundini. Wanawake tinaonaga sana na tunajua sana mambo ni vile tinakaushaga tu
Heshima zote kwa mke ni lazimaMkuu mimi kwa wifi yako nakuwa mnyenyekevu balaa,hata akikosea namwelekeza kwa upole naogopa hikihiki uchosema
Mkuki kwa nguruwe...,
Sijamuumbua mkuu,
Nimemwambia ukweli kua usichokipenda ufanyiwe, usimfanyie mwenzio.
Mkuki kwa nguruwe
Na kibaya zaidi revenge za wanawake anakufanyia ukiwa huna ela ili ikuume zaidi kama ilivotokea kwa mtoa mada.Anakuz00m tu kwa sasa, usipobadilika atakutandika revenge moja ya hatari hadi ushangae. Na ke wengi siku hizi ukiwazingua akiamua kusepa hana time na watoto ni anaondoka zake kuhusu watoto ataugulia maumivu yao mbele kwa mbele
What goes around comes around, sio!Mungu atusamehe, ila tuna la kujifunza kwa mtoa mada.
Ata mama samia anasema,
Historia yako itakuandama.
Ni kama yaliyomtokea P.funk kwa binti yake.
P.funk akiwa producer maarufu alikua anamkula kajala akiwa mwanafunz mpk akampachika ujauzito (mimba ya paula) shule ikamshinda akawa mdangaji maarufu.
Sahivi na mwanae paula wahuni wamemkula akiwa mwanafunzi na shule imemshinda.
Na kibaya zaidi wanamkula na kumrushia video mitandaoni.
P.funk amebaki kutoa laana zisizo kichwa wala miguu kwa paula na mama yake akisahau nae kaanzia huko huko walikofikia wenzie.
ExactlyNakumbuka kisa chako ulishea humu kama sijakosea
Hapana mkuu, na wala hatufahamiani.Mkuu ni wewe nini unayemkomesha ndugu yetu huyu
Hili halina ubishiWanawake ni wavumilivu sana
DeepPond in actionMkuu utamuua, inatosha hahahah, daah ila karma ni balaa, nitatulia na ndoa yangu siku zote
Daah, what a sad story..Mungu atusamehe, ila tuna la kujifunza kwa mtoa mada.
Ata mama samia anasema,
Historia yako itakuandama.
Ni kama yaliyomtokea P.funk kwa binti yake.
P.funk akiwa producer maarufu alikua anamkula kajala akiwa mwanafunz mpk akampachika ujauzito (mimba ya paula) shule ikamshinda akawa mdangaji maarufu.
Sahivi na mwanae paula wahuni wamemkula akiwa mwanafunzi na shule imemshinda.
Na kibaya zaidi wanamkula na kumrushia video mitandaoni.
P.funk amebaki kutoa laana zisizo kichwa wala miguu kwa paula na mama yake akisahau nae kaanzia huko huko walikofikia wenzie.
Hamna kitu hapo, mtoa mada alikua mchepukaji mzoefu.Aisee ndoa ndoano