Tatizo hasa lipo wapi? Naomba kujulishwa, maana hapo nature still took it course mlichoshindwa kupata ni habari kwawakati tu, ambayo hiyo still isingemsaidia huyo mzee. Kutulia peke yako kunaamani na utulivu fulani ambao hata ukirudi likizo baada ya mwaka still bado unaitamani kuirecreate ukiwa hukohuko likizoni maana social life inakera na it's very annoying. Sio kila mtu anapenda maongezi au kelele.Kuna jirani yangu nae Dingi flani hivi nae alikuwa akiishi kivyakevyake tulimkuta amekata moto na tuligundua siku ya nne...kuishi alone ni tatizo kubwa.
I'm crossing my fingers and eagerly waiting for this to happen 😘😘 But how Mdogo Mdogo.?? Nisije subiri for weeksAll things considered.. Sijawahi kuwa na tatizo na wewe from the first day... Tunaweza anzia hapo ila lazima nijihoji nia yangu na energy kama ninayo ya kufanikisha hili. Okay okay... Mdogo mdogo si ndio????
Those are part and parcel of life Deaf Gal, Enjoy her presence to the fullest. We die once we live foreverMy friend is still here aisee! Infact amenifundisha vitu vingi, vitu vingine si vya muhimu lakini ndivyo vinafanya maisha yawe maisha. Mfano tabia za kike zile za kugossip bila sababu za msingi etc. 😀Tunasonga mbele maisha yanakuwa very enjoyable!
I won't be or choose to be an Arse. I can't imagine myself to be such kind of PopeNi kweli siku ukiwa na mtoto utafahamu yote aliyokwambia mama, utajua how it feels, but..... if you won't choose to be an AS*🤣😉
😅😅😅sijaolewaWe umeolewa?
Msaada ambao angepewa ni kuzikwa kwenye kaburi na kufukiwa. We huon ameinjoi kukaa kwake miaka minne juu ya kitanda chake
Kwa leo ngoja tuishie hapa sawa? 😅 Nimefurahi kuchit chat with you.... Haya kila sehemh nikikuona kuanzia sasa nitakwambia nimekumiss, hadi upende na ujisikie kawaida kusikia hivyo.. How about that!I'm crossing my fingers and eagerly waiting for this to happen 😘😘 But how Mdogo Mdogo.?? Nisije subiri for weeks
Those are part and parcel of life Deaf Gal, Enjoy her presence to the fullest. We die once we live forever
I won't be or choose to be an Arse. I can't imagine myself to be such kind of Pope
I like to keep my hands on myself. Sio vitu viwe public, Just Us and our souls. If you won't care.😟Kwa leo ngoja tuishie hapa sawa? 😅 Nimefurahi kuchit chat with you.... Haya kila sehemh nikikuona kuanzia sasa nitakwambia nimekumiss, hadi upende na ujisikie kawaida kusikia hivyo.. How about that!
ustedes me hacen arrepentirme por qué no fui serio en mi clase de españolte extraño también.
como va tu fin de semana?
Narudia nafasi ya mke au mme kwenye moyo wa mtu haiwez kuwa replaced na kitu chochote kile au mtu yeyote yuleUkiendekeza mapenzi matunda yake ni hayo.
Kila mtu ana mtu wake tofauti kabisa na huyo mchumba sijui kitu gani.
Ukijua umuhimu wako utajua ni nani anafaa kua rfk kwako ni nani mnaheshimiana sana, Mtu huyo haoni msahada, ushauri kwingine tofauti na ww.
Hapo ndipo unafaa kuwa kwa sabb ya unafuu wa moyo,
Ukisema mpenzi 😊😊 kuna namna huyo mpenzi yupo hapo kama sio kipesa basi lipo lingine la zaid.
Narudia nafasi ya mke au mme kwenye moyo wa mtu haiwez kuwa replaced na kitu chochote kile au mtu yeyote yule
Is all about nature hata kama hutaki na huwezi shindana na natureMtazamo wako sawa lkn wangu mim hapana
Lo siento por eso.ustedes me hacen arrepentirme por qué no fui serio en mi clase de español
no hay problema, la muchacha!Lo siento por eso.
no hay problema, la muchacha!
Kama kufa ni kufa chukua sumu unywe alafu ufeHiv shida ni kufa ukiwa peke yako au kufa ukiwa na watu .. coz kufa ni kufa tuh no matter watu wajue au wacjue maana hamna kitu watakacho ongeza, kupunguza au kuzuia na pia ukiona mtu amefariki bac tambua huyo mtu ilitakiwa lazima afe tuh, hata kama kuna uzembe umefanyika kwenye kifo chake bac jua huo uzembe ndio sababu ya yeye kufa coz things happen for a reason