Hezbollah wanapigana kwa maslahi ya Nani? Mbona wanawaumiza raia wa Lebanon

Kuna wale suni naona haziivi kabisa na hao shia.
 
Na wananchi wamepewa masa 72 kuhama maeneo hezb wanatumia

Shida iko na wao watabaki??si watawafata wananchi

Kwa ujumla wanaoteseka na hili n wananchi ona gaza
Sijajua nyuma yuko nan akifadhili a kufurahia vifoo
 
ninachojua
Hakuna hezboklaj mjinga
Wala hamas wajinga

Mwisho kuondoaa ujinga kama huo hapojuu lazima baadhi ya wananchi watangulie

Gaza
kunamzigoo uliishushwa kwenyemkundi ya watu awakusema tyu hamas walikatika vipande vpande kama wote

huzuni watoto walipitiwa sana na huumzigoo
 Rip
 
Ndiommaana wameamua kufa na wananchi walipo wananchi nq wao wapo

So only way kuwanyosha walipowaoo watapitiwa. Na wananchi wao hakuna jinsi
 
Israel akiendelea kupiga sehemu za raia, Hezbollah pia ana makombora kupiga sehemu yeyote ile Israel, tukiacha ushabiki nadhani Israel haiwezi kukabiliana na Hezbollah.
Bora uendelee kudhani.
 
Yeah sunni na shia kuna mkanganyiko wa kiitikadi.
Japo siku hizi kidogo mkanganyiko umepoa angalau wanakaa meza moja.
Zamani dooh walikua haziivi.
Hivi ni nani unaweza kumwamini kirahisi?
Hezbollah akiongea kuhusu vifo vya walebanon.
Israeli akiongea kuhusu vifo vya waisrael.
 
Hivi ni nani unaweza kumwamini kirahisi?
Hezbollah akiongea kuhusu vifo vya walebanon.
Israeli akiongea kuhusu vifo vya waisrael.
Mimi ninaamini nikihakikisha taarifa sahihi tu.
Japo nisidanganye za Israel nitachukua muda kuzihakiki.
Za hizbollah huwa wao wakilipuliwa lazima uone wametangaza na wanatangaza na msiba unafanyika hadharani.
Na kama ni raia basi itatangaza serikali kuu ya Lebanon sio Hizbollah.
Ila ukija kwa Israel mbaka kuhakiki taarifa ni mbinde.
 
Hizbollah anaogopa tension ya mabwana wa Ulaya na Marekani.
Ila sio kwamba haina huo uwezo mkuu.
Israel ishukuru hawa mabwana wakubwa wanamlea sana.
Ashukuru hilo.
Sijasema hana uwezo.
Tukiacha ushabiki, hivi unaamini Israel hana uwezo wa kupambana na Hezbollah?
Kama hezbollah ana siraha nzito nzito anazopewa na Iran, vipi kuhusu Israel?
Unaamini hezbollah ina uwezo wa kuiangamiza Israel yenye nuclear power.?
 
Huoni hezbollah kutangaza kirahisi ni kutafuta sympathy kwa watu, ili ipate uungwaji mkono na washirika na raia kwa kuonyesha wanaonewa?
 
Sijasema hana uwezo.
Tukiacha ushabiki, hivi unaamini Israel hana uwezo wa kupambana na Hezbollah?
Kama hezbollah ana siraha nzito nzito anazopewa na Iran, vipi kuhusu Israel?
Unaamini hezbollah ina uwezo wa kuiangamiza Israel yenye nuclear power.?
Tukisema asiingiliwe mtu mkuu Israel inaweza isitoboe.
Labda ikitumia nuclear kama unavyodai.
Na hadi ifikie hatua ya kutumia nuke basi imezidiwa sana.
Kwasababu tuki refer vita ya 2006 pale Bint jubeir Israel ilichapika na kipindi hiko Hizbollah ni kundi dogo lenye silaha duni.
 
Huoni hezbollah kutangaza kirahisi ni kutaguta sympathy kwa watu, ili ipate uungwaji mkono na washirika na raia kwa kuonyesha wanaonewa?
Hizbollah inatangaza members wake wanaouawa na kufanya mazishi na hiyo mi desturi yao mtu akifa vitani sawa kafa shahidi.Basi hutangazwa na kuzika.
Hapo kivipi kaka mtu anatafuta sympathy!??
Kuhusu hao raia wa Lebanon waliofariki aliyetangaza ni wizara ya afya ya Lebanon sio Hizbollah.
Na anastahili kutangaza huwezi ukaacha kupambana na wanamgambo ukaenda kulipua raia mkuu.
 
Hezbolla wame advance sana ki siraha na maarifa.
Ina maana Israeli yenyewe haija advance since 2006?

Halafu vita inategemea na lengo husika, hii ya sasa unaona Israeli hasikii lolote kwa vile hao wapatanishi hawakabiliwi na hatari anayokabiana nayo. Kuhusu US, UK na Germany wataioiga mkwara tu ili kuilidhisha jamii ya kimataifa, but kiuhalisia wanampa Go ahead na siraha, fedha wanampa unconditionally.
 
Na anastahili kutangaza huwezi ukaacha kupambana na wanamgambo ukaenda kulipua raia mkuu.
Wanamgambo wanaiishi mji wa peke yao? Hawachamgamani na raia?
Hao waliopigwa leo waliambia waondoke kwa kuwa hezbollah wanaficha siraha kwenye makazi ya raia. Na hii ni strategic wanayotumia middle east kufanya raia ngao yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…