antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Angalia vizuri, post #1 saa 9:28am na post #2 saa 9:29am.Uzi na post zilizoanzishwa muda huo huo ziko wapi?
Una kapicha kidogo tafadhali?Nyie kobazi mnakuja na stori za kinafiki mnakuja vistori eti mkuu wajeshi la israel Hervi Halev ameuawa mbona yupo hai kaonekana kutembelea kambi ya jeshi
Angalia vizuri, post #1 saa 9:28am na post #2 saa 9:29am.
Siyo realistic.
Itakuwa aliandaa zote kwanza halafu aka post kutumia I'd 2 kwa pamoja!
Jana Hezbollah walifanya shambulio la ndege isiyotumia rubani (drone) huko kwenye kambi ya jeshi la Israel (IDF) na kufanikiwa kuuwa askari kadhaa!
Tetesi zinasema walikuwemo watu wazito humo wakipanga mikakati! Jeshi la Israel limekiri askari wake kuuwa kwenye shambulio hilo! Swali: Hii drone ni ya aina gani mpaka imeweza kupenye mitambo yote ya kutungulia??
Drone attack kills four Israeli soldiers and injures 58
Israel: Four soldiers killed and over 60 injured in Hezbollah drone attack
Hezbollah claimed responsibility for the attack, saying it was in response to Israeli strikes in Lebanon.www.bbc.com
Israel says 4 soldiers killed in Hezbollah drone attack
1 hour ago1 hour ago
Middle East: Israel strikes Al-Aqsa Hospital complex in Gaza – DW – 10/14/2024
Hospitals in Gaza said an Israeli airstrike killed at least 20 in Nuseirat before another strike on the Al-Aqsa Hospital compound, where displaced people were sheltering, killed 4 more people. DW has more.www.dw.com
Four soldiers killed in Hezbollah drone attack on Israeli military site
Four soldiers killed in Hezbollah drone attack on Israeli military site
Hezbollah says it launched a ‘swarm of drones’ at an Israeli military camp in Binyamina, northern Israel.www.aljazeera.com
Israeli soldiers killed in drone strike on army base – IDF
Israeli soldiers killed in drone strike on army base – IDF
The Israel Defense Forces has confirmed at least four fatalities and seven “severely injured” among its personnel in a Hezbollah UAV attackwww.rt.com
Majibu yameanza kupatikana!
Hezbollah was either lucky or knew how to inflict maximum damage - either way it's deeply worrying for Israel
The drone strike deep into Israel marks a major security failure for Prime Minister Benjamin Netanyahu - and a sign of the enemy raising its game.
Somehow Hezbollah's drone penetrated Israel's defences without warning and hit the building when it would have been at its busiest. That will be deeply worrying for Israelis.
Monday 14 October 2024 07:08, UK
Hezbollah was either lucky or knew how to inflict maximum damage - either way it's deeply worrying for Israel
The drone strike deep into Israel marks a major security failure for Prime Minister Benjamin Netanyahu - and a sign of the enemy raising its game.news.sky.com
Nb: Muda utaamua!
Hakika mkuu"Kupinga kitu kinacho make sense ni dalili ya ugonjwa wa Afya ya akili" - WHO
Ndiyo maana kumeombwa facts.
Middle East kinachoendelea ni mauaji ya halaiki
Kwamba unaendelea kuandika uzi huku unasoma muda huo huo na ku post pia?!!!Kwani mtu hawezi kuwa alikuwa kwenye process ya kuandika uzi akaona mwingine wa kufanana akaamua wake kuufanya comment?
Kwani wenye Taabu na hilo wangependa muda gani tofauti?
Mnajifanyaga kujuaaaa! Hapo sasa umeandika nini? Dollar 2 kutrain soldier ndiyo ilete mabilioni?2010 Taliban iliua 14 SEAL TEAM at once,katika shambulio moja,inachukua $2 kutrain one SEAL SOLDIER,hapo unazungumzia Billion dollars of American Tax payers
Mbona na wewe umeandika kidini sana?Kitu kimoja ambacho hawakijui pro-Israel wa kiafrica,wanadhani hii vita inapigwana kati ya ukristo na uislam😀😃😄😆😅😅,MAJINGA NA MAPUMBAVU
Hii vita inapigwana kati ya east and west--------thus why Lebanon hawawezi shambulia raia hata iweje,why?,ingawa Wana huo uwezo------sababu kuna ndugu zao kule,Israel ina waislamu wengi mara 9 ya wakristo,............kwa nini Russia hawezi shambulia raia hata iweje,pale Ukraine,sababu Ukraine ni nchi imejitenga from Russia,Wana ndugu zao kule?
Ilichukua miaka 20,average kila mwezi Taliban waliua wanajeshi 10 wa U.S,.........iliwafanya vilema wanajeshi takriban 100 kila mwezi kwa miaka 20......gharama za vita sio mchezo,2010 Taliban iliua 14 SEAL TEAM at once,katika shambulio moja,inachukua $2 kutrain one SEAL SOLDIER,hapo unazungumzia Billion dollars of American Tax payerszinatembea fro no reasons,baada ya vita kuisha umeona Taliban imeenda shambulia nje ya Afghanistan?,kusambaza hio dini?😄😁,hakuna vita ya dini,Kuna vita ya rasilimali/ardhi.....watu wameona KAMIKAZE drones zinavoharibu vifaru kule Ukraine?,
----si tunaaminishwa waislamu mambumbumbu hawasomi?---iweje Iran irushe missiles thousands kilometers zihit target ndani ya Israel?,iweje Iran iisaidie Russia na shahed drones, ambapo 60% ya population yake ni orthodox Christians?😀😃,
---------Iweje Jana Hezbollah irushe drones,200Km ndani ya Israel hakuna technology iliyodetect hadi kuua wanajeshi ndani ya Kambi Yao?
Hii ni vita between U.S influences against non-U.S/non capitalists,ndio maana umeona U.S anaisaidia Israel the same as Ukraine,..kwa mwaka U.S anatoa $6 Billion kuiadia Israel kwenye military pekee,hapo unazungumzia trillion 15 Tsh,hio hela hasta wangepewa JWT,wangeacha kuvunjua matofali😀😁....,sasa lipambavu Limoja limetoka kuliwa sadaka na Nabii wake feki ,linakuja kusema mungu wa Israel ndio anafanya watu washinde vita😃
Nyie kobazi mnakuja na stori za kinafiki mnakuja vistori eti mkuu wajeshi la israel Hervi Halev ameuawa mbona yupo hai kaonekana kutembelea kambi ya jeshi
mbona yasemekana kesha vutaNa mkuu wa jeshi la Israel alikuwa eneo hilo kipindi shambulizi linafanyika na inasemekana ni miongoni mwa walio jeruhiwa.
Ndo Ivo mkuu,kuotewaKwma alivyootewa Nasrallah, au?