My Name is J
Member
- Jul 10, 2021
- 45
- 83
Upo sahihiSasa hapo ni dola bilioni 6253
Au dola trilioni 6 na bilioni 253?
Dola bilion 6000 ni sawa na kusema dola trillion 6. Ambayo ukiweka kwenye fedha za kitanzania ndio hizo trillion 14000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sahihiSasa hapo ni dola bilioni 6253
Au dola trilioni 6 na bilioni 253?
Hivi unataka kueleza nini?Mbona hutaki maharage lakini mchuzi wake unakunywa?
Kuna kitu kinaitwa common sense. Uketewa taarifa unapaswa na wewe ushirikishe ubongo.Kumbuka Rais anapelekewa hotuba sio lazima aanze kuipitia,wasaidizi wanaweza kufanya makosa
Zitakuwa elfu elfu moja!Wigwa?Ukiwa na 1,000 ziwe 1,000
Utasema una shilingi ngapi?
Hivi unataka kueleza nini?Mbona hutaki maharage lakini mchuzi wake unakunywa?
Sasa Chifu mbona hata wewe mwenyewe unajichanganya?Katika kipande kifupi cha video hapa chini ni Rais Samia akihutubia jana kuelekea siku ya mwaka mpya.
Katika kipande hiki cha video Rais anadai kuwa nchi ina akiba za fedha za kigeni kiasi cha dola za kimarekani 6253 bilioni Kitu ambacho siyo sahihi wala siyo kweli kwa sababu hii ni zaidi ya trilioni 14,000 kwa fedha za Kitanzania.
Kinachotia kichefuchefu na kukasirisha ni kwamba alieandaa hotuba hii anapaswa kuihariri kisha kumpa Rais.Rais nae anapaswa kuihariri hotuba yake ndipo apande nayo hewani.
Wewe unaona huo mfano unaendana na unachosema?Kuna kitu kinaitwa common sense. Uketewa taarifa unapaswa na wewe ushirikishe ubongo.
Kwa hiyo siku akiandikiwa kuwa shinyanga kuna bahari ma yeye atasoma Kama ilivyo?
Zitakuwa elfu elfu moja!Wigwa?
Okay.Hoja ni kwamba,kweli kuna akiba ifikiayo kiasi hicho?Kweli?Kuna haja gani tukope.Hoja ndiyo hiyo.Waandaaji na msomaji wa "risala" hawako makini.Katika ile hesabu ya Jana Kuna typing error.
sidhani Kama alikuwa anataka kusema dola bilioni 6,000+
Badala yake wangesema Wana dola trilioni 6.
Hongera kwa maswali muhimu.Katika kipande kifupi cha video hapa chini ni Rais Samia akihutubia jana kuelekea siku ya mwaka mpya.
Katika kipande hiki cha video Rais anadai kuwa nchi ina akiba za fedha za kigeni kiasi cha dola za kimarekani 6253 bilioni Kitu ambacho siyo sahihi wala siyo kweli kwa sababu hii ni zaidi ya trilioni 14,000 kwa fedha za Kitanzania.
Kinachotia kichefuchefu na kukasirisha ni kwamba alieandaa hotuba hii alipaswa kuihariri kisha kumpa Rais.Rais nae alipaswa kuihariri hotuba yake ndipo apande nayo hewani.
Assumption hapa ni kwamba kwa hotuba kubwa na muhimu kama hiyo kutoka kwa Rais wa nchi hayo yote yalifanyika.Lakini cha kushangaza hotuba hiyo imesomwa na Rais ikiwa na makosa kama hayo.
Makosa haya yanaweza kuwa na maana moja kati ya maana hizi mbili.Kwanza inawezekana hotuba hii alieiandika hakuihariri kabisa na pia alipopewa Rais nae hakuihariri kabisa hadi anapanda hewani,kitu ambacho ni ngumu kuamini.
Lakini maana ya pili inawezekana kuwa wote wawili, yaani Rais pamoja na alieandika hotuba hii kusoma namba iliwapiga chenga.Yaani alieandika hotuba namba zilimchanganya akasema iende hivyo hivyo tuuu na Rais nae namba zikamchanganya akasema iende hivyo hivyo tuu.Hii inaleta maana zaidi kwa sababu kwa point ya kwanza ni ngumu Rais kusoma hotuba ambayo yeye mwenyewe hajaipitia.
Hotuba kama hii ambayo mamilioni ya watanzania walikuwa wanaenda kuisikiliza ilipaswa iandikwe kwa makini ikiwa ni pamoja na kuhaririwa na mtu zaidi ya mmoja ikiwa ni pamoja na Rais mwenyewe.
Kitendo cha hotuba hii kwenda hewani ikiwa na makosa ya kizembe namna hii inaonyesha wazi kwamba system nzima ya uongozi katika nchi hii kuanzia Rais hadi wasaidizi wake imeoza.
Makosa ya kijinga kabisa katika hotuba hii yanaibua maswali yafuatayo ambayo yanatia mashaka:
1.Wasaidizi wa Rais wanajua kusoma na kuandika?
2.Wasaidizi wa Rais wapo serious na kazi yao?
3.Rais anajua kusoma na kuandika?
4.Rais yupo serious na kazi yake?
5.Hotuba hii imeibua aina ya Rais tulienae pamoja na wasaidizi wake?
6.Wananchi waliosikiliza hotuba hii wanamchukuliaje Rais wao?
7.Rais ana uwezo wa kuongoza?
8.Je,Tanzania ina kiongozi kipofu ambae anaongoza vipofu wenzake?
9.Nani anastahili lawama kubwa katika hotuba hii zaidi ya Rais mwenye hotuba yake?
10.Kama nchi tuna mfumo mzuri wa kupata viongozi sahihi?
Kwa makosa haya Rais hawezi kukwepa lawama zote hata kidogo kwa sababu yeye ndiye alikuwa mtoa hotuba na alipaswa kuhakikisha kuwa hotuba yake ipo safi kabla hajaenda hewani.Makosa ya kijinga kabisa katika hotuba hii yamewanyima wananchi kupata habari muhimu kabisa juu ya akiba yetu ya fedha za kigeni.
View attachment 2065193
View attachment 2065245
Hakika namba ngumu!Katika ile hesabu ya Jana Kuna typing error.
sidhani Kama alikuwa anataka kusema dola bilioni 6,000+
Badala yake wangesema Wana dola trilioni 6.
Hakuna urais ambao haupatikani kwa kudra ya MUNGUUrais unaopatikana kwa kudra za mwenyezi Mungu kasoro kama hizo lazima ziwepo.
Hapanaa.Okay.Hoja ni kwamba,kweli kuna akiba ifikiayo kiasi hicho?Kweli?
Hakuna popote niliposema trilioni 14.Sasa Chifu mbona hata wewe mwenyewe unajichanganya?
Dola Billion 6000 ni = $6000x1000,0000,000 = $ 6 Trillion ambayo ni karibu na 14 QUADRILLION na sio 14 TRILLION uliyoisema wewe! Unaona sasa mambo ya namba yalivyo magumu? Mkosoaji nae anakosea!!! Tuache namba ziitwe namba!!!
Tukirudi kwenye hoja, bila shaka alitaka kumaanisha Dola Milion 6000 ambayo ni 6000x1000,000 = $6 Billion, ambayo ndiyo italeta hiyo 14 Trillion unayoisema! Hiyo figure inaweza kuwa sahihi! Kwa kawaida, Foreign Reserves yetu inakuwa in terms of Billion USD, na uchumi unataka uwe na akiba ya Foreign reserve inayoweza kutosheleza at least 6 months. Fuatilia hata wakati wa JPM na JK, ilikuwa haijawahi kupungua USD 4 Billion.
Nimekosea kitu gani?Hakika namba ngumu!
1. SSH kakosea!
2. Mleta mada kako
3. Nawe pamoja na kujitahidi kuelimisha lakini pia umekosea kwa sababu umeongea kile kile alichoongea mleta mada ambae nae amekosea!
Dola Trillion 6 Tanzania tuitolee wapi? SSH alimaanisha $ milion elfu 6; yaani $ 6000x 10000000 = $6 Billion
Kwa nn unadhani figure zimekosewa!?
Kwa usahihi ilipaswa zisomekwe vipi?