Hii akiba ya fedha za kigeni dola Bilioni 6,253 aliyosema Rais Samia kiboko, deni la Taifa lingekuwa hela ya peremende

Kumbuka Rais anapelekewa hotuba sio lazima aanze kuipitia,wasaidizi wanaweza kufanya makosa
Kuna kitu kinaitwa common sense. Uketewa taarifa unapaswa na wewe ushirikishe ubongo.
Kwa hiyo siku akiandikiwa kuwa shinyanga kuna bahari ma yeye atasoma Kama ilivyo?
 
Sasa Chifu mbona hata wewe mwenyewe unajichanganya?

Dola Billion 6000 ni = $6000x1000,0000,000 = $ 6 Trillion ambayo ni karibu na 14 QUADRILLION na sio 14 TRILLION uliyoisema wewe! Unaona sasa mambo ya namba yalivyo magumu? Mkosoaji nae anakosea!!! Tuache namba ziitwe namba!!!

Tukirudi kwenye hoja, bila shaka alitaka kumaanisha Dola Milion 6000 ambayo ni 6000x1000,000 = $6 Billion, ambayo ndiyo italeta hiyo 14 Trillion unayoisema! Hiyo figure inaweza kuwa sahihi! Kwa kawaida, Foreign Reserves yetu inakuwa in terms of Billion USD, na uchumi unataka uwe na akiba ya Foreign reserve inayoweza kutosheleza at least 6 months. Fuatilia hata wakati wa JPM na JK, ilikuwa haijawahi kupungua USD 4 Billion.
 
unaweza sema kwa jiwe tulipatikana alafu kwa maza tumekosekana, tofauti yao ni jinsia tu.
 
Kwa dhahabu iliyokuwwpo chini ya ardhi mambo hayo ya hifadhi za pesa za kigeni ilitakiwa iwe juu zaidi
 
Ni milioni 1.
1,000 zikifika 1,000 Ina badilika inakuwa milioni 1.
Ndo maana Mimi naona muandishi wa ile hotuba alikosea..
Kama alitaka kumaanisha Wana dola bilioni 6,000
Sahihi alitakiwa aandike Wana dola trilioni 6.
Nadhani Mimi ninavyoona walitaka kuandika dola milioni 6,00 hapo kidogo hesabu inakuwa sawa
Zitakuwa elfu elfu moja!Wigwa?
 
Katika ile hesabu ya Jana Kuna typing error.
sidhani Kama alikuwa anataka kusema dola bilioni 6,000+
Badala yake wangesema Wana dola trilioni 6.
Okay.Hoja ni kwamba,kweli kuna akiba ifikiayo kiasi hicho?Kweli?Kuna haja gani tukope.Hoja ndiyo hiyo.Waandaaji na msomaji wa "risala" hawako makini.
 
Hongera kwa maswali muhimu.
Kitu cha kujiuliza pia ni wahusika kushindwa kuishtukia namba hata kama kulikuwa na makosa.
Kuna ile ukifanya hesabu zako, unaona kabisa hii namba ninayoipata sio yenyewe.
Yaani impossible number, wao wakachukulia ip.
 
Hakuna mfumo mzuri. Urais ni kama sandakalawe atakaebahatika ndio huyo huyo.
Kazi inaendelea
 
Katika ile hesabu ya Jana Kuna typing error.
sidhani Kama alikuwa anataka kusema dola bilioni 6,000+
Badala yake wangesema Wana dola trilioni 6.
Hakika namba ngumu!
1. SSH kakosea!
2. Mleta mada kako
3. Nawe pamoja na kujitahidi kuelimisha lakini pia umekosea kwa sababu umeongea kile kile alichoongea mleta mada ambae nae amekosea!

Dola Trillion 6 Tanzania tuitolee wapi? SSH alimaanisha $ milion elfu 6; yaani $ 6000x 10000000 = $6 Billion
 
Hakuna popote niliposema trilioni 14.
 
Nimekosea kitu gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…