mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Hakika namba ngumu!
1. SSH kakosea!
2. Mleta mada kako
3. Nawe pamoja na kujitahidi kuelimisha lakini pia umekosea kwa sababu umeongea kile kile alichoongea mleta mada ambae nae amekosea!
Dola Trillion 6 Tanzania tuitolee wapi? SSH alimaanisha $ milion elfu 6; yaani $ 6000x 10000000 = $6 Billion
Hakuna popote niliposema trilioni 14.
Tatizo ni kwamba,yamepita masaa mangapi hata wasaidizi wake kitaasisi hawajafanya usahihi wa habari?Rais ajifunze upya hisabati na asahihishe makosa hadharani. Huo ni uungwana. Kutojua au kukosea jambo ni ubinadamu, tatizo ni pale tunapoacha kujifunza na kujisahihisha
Yale hayakuwa makosa Bali Ni uongo wa kukusudia aka ulaghai aka propaganda ...Katika marais waliokuwa na makosa wakati wa hotuba Jpm alikuwa namba 1
Ameandika trilioni elfu kumi na nne(14,000).Ebu Soma maelezo yako hayo.
Kama hamna trilioni 14.
Ndo maana nikasema mbona hyo hesabu siielewiiView attachment 2065328
Katika kipande kifupi cha video hapa chini ni Rais Samia akihutubia jana kuelekea siku ya mwaka mpya.
Katika kipande hiki cha video Rais anadai kuwa nchi ina akiba za fedha za kigeni kiasi cha dola za kimarekani 6253 bilioni Kitu ambacho siyo sahihi wala siyo kweli kwa sababu hii ni zaidi ya trilioni 14,000 kwa fedha za Kitanzania.
Kinachotia kichefuchefu na kukasirisha ni kwamba alieandaa hotuba hii alipaswa kuihariri kisha kumpa Rais.Rais nae alipaswa kuihariri hotuba yake ndipo apande nayo hewani.
Assumption hapa ni kwamba kwa hotuba kubwa na muhimu kama hiyo kutoka kwa Rais wa nchi hayo yote yalifanyika.Lakini cha kushangaza hotuba hiyo imesomwa na Rais ikiwa na makosa kama hayo.
Makosa haya yanaweza kuwa na maana moja kati ya maana hizi mbili.Kwanza inawezekana hotuba hii alieiandika hakuihariri kabisa na pia alipopewa Rais nae hakuihariri kabisa hadi anapanda hewani,kitu ambacho ni ngumu kuamini.
Lakini maana ya pili inawezekana kuwa wote wawili, yaani Rais pamoja na alieandika hotuba hii kusoma namba iliwapiga chenga.Yaani alieandika hotuba namba zilimchanganya akasema iende hivyo hivyo tuuu na Rais nae namba zikamchanganya akasema iende hivyo hivyo tuu.Hii inaleta maana zaidi kwa sababu kwa point ya kwanza ni ngumu Rais kusoma hotuba ambayo yeye mwenyewe hajaipitia.
Hotuba kama hii ambayo mamilioni ya watanzania walikuwa wanaenda kuisikiliza ilipaswa iandikwe kwa makini ikiwa ni pamoja na kuhaririwa na mtu zaidi ya mmoja ikiwa ni pamoja na Rais mwenyewe.
Kitendo cha hotuba hii kwenda hewani ikiwa na makosa ya kizembe namna hii inaonyesha wazi kwamba system nzima ya uongozi katika nchi hii kuanzia Rais hadi wasaidizi wake imeoza.
Makosa ya kijinga kabisa katika hotuba hii yanaibua maswali yafuatayo ambayo yanatia mashaka:
1.Wasaidizi wa Rais wanajua kusoma na kuandika?
2.Wasaidizi wa Rais wapo serious na kazi yao?
3.Rais anajua kusoma na kuandika?
4.Rais yupo serious na kazi yake?
5.Hotuba hii imeibua aina ya Rais tulienae pamoja na wasaidizi wake?
6.Wananchi waliosikiliza hotuba hii wanamchukuliaje Rais wao?
7.Rais ana uwezo wa kuongoza?
8.Je,Tanzania ina kiongozi kipofu ambae anaongoza vipofu wenzake?
9.Nani anastahili lawama kubwa katika hotuba hii zaidi ya Rais mwenye hotuba yake?
10.Kama nchi tuna mfumo mzuri wa kupata viongozi sahihi?
Kwa makosa haya Rais hawezi kukwepa lawama zote hata kidogo kwa sababu yeye ndiye alikuwa mtoa hotuba na alipaswa kuhakikisha kuwa hotuba yake ipo safi kabla hajaenda hewani.Makosa ya kijinga kabisa katika hotuba hii yamewanyima wananchi kupata habari muhimu kabisa juu ya akiba yetu ya fedha za kigeni.
View attachment 2065193
View attachment 2065245
Nakubaliana na wewe. Niliandikiwa bill na Indian asee nilitaka changanyikiwa, kumbe wao wanatumia koma Instead of nukta.Mwandishi atakuwa Francophone. Wafaransa ndio wanatumia koma kwenye nukta. Yaani kwa Kifaransa bilioni 6,253 = bilioni 6.253. Lakini kusema ukweli Ikulu yetu ni jumba bovu. Nyaraka za Ikulu km vile press release za uteuzi zimejaa typos!!
Kukosoa , kuonesha makosa katika kazi iliyofanywa na mtu mwingine, ni miongoni mwa kazi rahisi duniani .Nimeandika TZS 14,000 trilioni.
Ameandika trilioni elfu kumi na nne(14,000).
Nchi ya Ajabu sana hii. Urais kuwa ni sandakalawe.......Hakuna mfumo mzuri. Urais ni kama sandakalawe atakaebahatika ndio huyo huyo.
Kazi inaendelea
Haupo makini tatizo, baada ya mimi kuulizaPamoja Na facts zote hizo bado unauliza? Kweli Tanzania kuna vilaza
Kwanza Rais anafahamu kiasi cha akiba ya fedha zilizopo hata bila kuandikiwa, hivyo alipaswa kustuka hata kabla ya kutamka. Kwa kututamkia matango pori hakika tumepigwa!Wewe unaona huo mfano unaendana na unachosema?
Umemnukuu sawa aliposema "billion elfu 6000" lakini Billion Elfu 6 ni pesa mingi mno, na sio Trillion 14 ulizosema wewe! 14 Trillion kuna zero 12, wakati Dola Bilion Elfu kutakuwa na zero 15 ambayo itakuwa almost 14 QUADRILLION na sio TRILLIONNimekosea kitu gani?
Anafahamu yeye ndio anatunza pesa au anauliza waliopewa dhamana?Kwanza Rais anafahamu kiasi cha akiba ya fedha zilizopo hata bila kuandikiwa, hivyo alipaswa kustuka hata kabla ya kutamka. Kwa kututamkia matango pori hakika tumepigwa!
^kwa sababu hii ni zaidi ya trilioni 14,000 kwa fedha za Kitanzania.^Umemnukuu sawa aliposema "billion elfu 6000" lakini Billion Elfu 6 ni pesa mingi mno, na sio Trillion 14 ulizosema wewe! 14 Trillion kuna zero 12, wakati Dola Bilion Elfu kutakuwa na zero 15 ambayo itakuwa almost 14 QUADRILLION na sio TRILLION
Afadhali atujulishe yeye muhasibu mkuu wa serikaliHaya tuambie akiba ni shilingi ngapi.
Ziwe Elfu 1, yaani 1,000,000,000 x 1000 = 1,000,000,000,000Ili bilioni ibadilike iwe trilioni inatakiwa ziwe bilioni ngapi?