Hii akiba ya fedha za kigeni dola Bilioni 6,253 aliyosema Rais Samia kiboko, deni la Taifa lingekuwa hela ya peremende

Ili bilioni ibadilike iwe trilioni inatakiwa ziwe bilioni ngapi?
 
Rais ajifunze upya hisabati na asahihishe makosa hadharani. Huo ni uungwana. Kutojua au kukosea jambo ni ubinadamu, tatizo ni pale tunapoacha kujifunza na kujisahihisha
 

Watanzania wengi nimegundua wana matatizo kwenye hili hata magazeti yanakosea sana. Inabidi mwandishi apewe ovyo. Lakini hata wakati wa Magufuli walikuwa wanakosea hivyo tusilaumu kama vile imeanza leo
 
Mwandishi atakuwa Francophone. Wafaransa ndio wanatumia koma kwenye nukta. Yaani kwa Kifaransa bilioni 6,253 = bilioni 6.253. Lakini kusema ukweli Ikulu yetu ni jumba bovu. Nyaraka za Ikulu km vile press release za uteuzi zimejaa typos!!
Nakubaliana na wewe. Niliandikiwa bill na Indian asee nilitaka changanyikiwa, kumbe wao wanatumia koma Instead of nukta.

Pia TZ haiwezi kuwa na reserve nyingi kiasi hicho. Wakati corona Inaanza China Ilikuwa na reserve ya $3,000 B ( USD Elfu tatu Bilioni) Kwa hali hii means TZ Ina mara mbili ya reserve compared to China??? Jibu ni haiwezekani hata miaka elfu 10 Ijayo.

Hiyo ni aina ya uandishi. Simply mama amekosea tu kusoma lakini uandishi upo sahihi. Ila angetakiwa apewe taarifa mapema maana aina hiyo ya uandishi hautumiki hapa TZ. Kosa linaenda kwa aliyeandika hiyo hotuba.

Happy New Year to you all.
 
Nimeandika TZS 14,000 trilioni.
Kukosoa , kuonesha makosa katika kazi iliyofanywa na mtu mwingine, ni miongoni mwa kazi rahisi duniani .
Taz.

"Katika kipande hiki cha video Rais anadai kuwa nchi ina akiba za fedha za kigeni kiasi cha dola za kimarekani 6253 bilioni Kitu ambacho siyo sahihi wala siyo kweli kwa sababu hii ni zaidi ya trilioni 14,000 kwa fedha za Kitanzania."
 
KOSA. hamna hela hyo
Ni sawa na Samia aliyesema Wana dola bilioni 6,000+.
Samia sahihi alitakiwa asema Wana akiba ya dola trilioni 6.
Hapo namaanisha Kama kweli walikusudia kusema Wana hyo akiba ya dola bilioni 6,000.
Ndo maana ninasema typing error kwenye uandishi mpaka kwenye matamshi wamekosea
Ameandika trilioni elfu kumi na nne(14,000).
 
Pamoja Na facts zote hizo bado unauliza? Kweli Tanzania kuna vilaza
Haupo makini tatizo, baada ya mimi kuuliza
Ndo wadau wamejaribu kufafanua hizo figure.
Sasa wewe ndo kilaza kumbe.
 
Kwanza Rais anafahamu kiasi cha akiba ya fedha zilizopo hata bila kuandikiwa, hivyo alipaswa kustuka hata kabla ya kutamka. Kwa kututamkia matango pori hakika tumepigwa!
Anafahamu yeye ndio anatunza pesa au anauliza waliopewa dhamana?
 
UMEMSOMA VIZURI? HIZO NAMBA UMEZIONA? Ameandika trilioni 14,000 na wala siyo trilioni 14. Trilioni 14,000 = trilioni 14,000,000,000,000,000.
Umemnukuu sawa aliposema "billion elfu 6000" lakini Billion Elfu 6 ni pesa mingi mno, na sio Trillion 14 ulizosema wewe! 14 Trillion kuna zero 12, wakati Dola Bilion Elfu kutakuwa na zero 15 ambayo itakuwa almost 14 QUADRILLION na sio TRILLION
^kwa sababu hii ni zaidi ya trilioni 14,000 kwa fedha za Kitanzania.^
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…