Hii akiba ya fedha za kigeni dola Bilioni 6,253 aliyosema Rais Samia kiboko, deni la Taifa lingekuwa hela ya peremende

Na wewe una sadiki Kuna dola
Milioni 6,000?
ni sahihi kusema dola milioni 6,000?
Kwa kuangalia takwimu za miaka 10 iliyopita, nasadiki!! Chifu, sio ajabu kuwa na Shilingi Trillion 14 kama akiba ya fedha za kigeni
 
Ni dola milioni 6,000
Au dola trilioni 6?
Kwa kuangalia takwimu za miaka 10 iliyopita, nasadiki!! Chifu, sio ajabu kuwa na Shilingi Trillion 14 kama akiba ya fedha za kigeni
 
Niliposema ^rejea posti ya mwanzo,^ sikuwa na maana ya posti yako, bali bandiko la mleta-mada. Endelea kukosea tu, mwishoni utakosekana.
 
Sasa hakuna trilioni 14,000.
Unakuwa hauna tofauti na Samia aliyesema Ana
Dola bilioni 6,000+.
Sijui unanielewa tunapopishana?
Wewe ndiye ambae hujanielewa!Nilichomaanisha kwenye uzi wangu ni kwamba dola za kimarekani alizotaja Rais ukizibadili kuwa fedha za Kitanzania ni sawa na trilioni 14,000.Nimeyasema haya kuonyesha jinsi Rais alivyokosea.
 
Sasa hakuna trilioni 14,000.
Unakuwa hauna tofauti na Samia aliyesema Ana
Dola bilioni 6,000+.
Sijui unanielewa tunapopishana?
Aiseee! Hii mada inanikumbusha zile calculations za jamaa kilomita alizokimbia kutoka Kigoma hadi Dar kuja kushuhudia mechi ya Watani wa Jadi. Tanzania tuna safari ndefu sana. Nachelea, japo kinyonge sana, kusema, kwa mtaji huu, kuibiwa ni haki yetu ya kuzaliwa.
 
Quadrillion 14
Sio trilioni 14,000.
Sawa yote kwa yote Samia na wasaidizi wake wamekosea
Wewe ndiye ambae hujanielewa!Nilichomaanisha kwenye uzi wangu ni kwamba dola za kimarekani alizotaja Rais ukizibadili kuwa fedha za Kitanzania ni sawa na trilioni 14,000.Nimeyasema haya kuonyesha jinsi Rais alivyokosea.
 
Niliposema ^rejea posti ya mwanzo,^ sikuwa na maana ya posti yako, bali bandiko la mleta-mada. Endelea kukosea tu, mwishoni utakosekana.
Sasa wewe ndo unakuza mambo kwa sababu hapo juu nilishakiri kwamba nilikosea kumkosoa Behavorist lakini sikukosea figures zagu! Na pia nikasema wazi kwamba SSH amekosea ama yeye mwenyewe au waandishi! Nikaendeleakusema, kwa vyovyote itakuwa Dola Million Elfu 6 ambayo ni kiwango cha kawaida, na ndicho kiwango nilichokuambia kwamba kinaweza kuwa sahihi!!
 
Umemnukuu sawa aliposema "billion elfu 6000" lakini Billion Elfu 6 ni pesa mingi mno, na sio Trillion 14 ulizosema wewe! 14 Trillion kuna zero 12, wakati Dola Bilion Elfu kutakuwa na zero 15 ambayo itakuwa almost 14 QUADRILLION na sio TRILLION
Hakuna popote nilipoandika trilioni 14.Unaweza kunionyesha ni wapi nimeandika trilioni 14?
 
Mwendazake alisha semaga Hussein mwinyi ndiye alikuwa chaguo huyu Mama ali sukumiziwa tu
 
Huenda mkuu upo sahihi.Huenda sisi tunaosema kuwa amekosea tukawa wajinga!
Hapana mzee, naamini tatizo la waandishi! Nakumbuka siku moja kule twitter kulitokea tatizo kama hili! Baada ya watu kukosoa, ile taarifa wakierekebisha lakini wakaendelea kuikosea! Tusisahau education backgrounds za hawa waandishi wa hotuba!! Majority kama sio wote ni watu wa HGL/HKL/HGK ambao wao na namba ni vitu viwili tofauti
 
Na mimi nilipokukosoa, ilikuwa kwa mantiki ileile kwamba hukuwa na sababu ya kumkosoa mleta-mada kwa vile yuko sahihi ^car-bee-sir!^ Umeelewa sasa makosa yako? Niliposema una-spin, ni kama sasa unapotambua umekosea, then unakimbilia kusema nakuza mambo. FYI: Sina magnifier yoyote hapa ya kukuzia mambo. Naomba uthibitisho, tafadhali.
 
Mwendazake alisha semaga Hussein mwinyi ndiye alikuwa chaguo huyu Mama ali sukumiziwa tu
Nani alikuwa na jeuri ya kumpangia mwendazake. Nitajie mmoja nani ntakuonesha nguzo ya umeme inayozaa papai

Na unaweza kuniambia ni lini na wapi mwendazake aliyasema hayo?
 
Watanzania wengi nimegundua wana matatizo kwenye hili hata magazeti yanakosea sana. Inabidi mwandishi apewe ovyo. Lakini hata wakati wa Magufuli walikuwa wanakosea hivyo tusilaumu kama vile imeanza leo

Kwamagu nadhani labda walikosea kitu kingine, sio hesabu Magu kwenye hesabu alikuwa vizuri.
 
Aisee!
 
... atoke mwenye hotuba yake arekebishe badala ya wapambe kumsemea. Rais wa nchi hakosei alitutaarifu mwenyewe!
 
Mwamba Kachiri on this one.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…