Taifa lililo fitinika. Kila mtu ataongea lugha ambazo hawata elewana. Huku Mama, kule Mgogo huku Slow slow kule Kasim yaani hadi raha. Ccm mtachelewa sana kufika mbinguniBinafsi naamini mheshimiwa Rais alighafirika tu kutamka kwamba tunayo akiba ya US $ 6253 Bl.
Kurugenzi ya mawasiliano Ikulu vitu vinginevyo ni muhimu kuvisemea mapema ili kuondoa sintofahamu zisizo na mashiko.
Tatizo sio Ikulu , tatizo ni Katiba ya mwaka 1977 ndio sababu Ikulu imepiga kimyaBinafsi naamini mheshimiwa Rais alighafirika tu kutamka kwamba tunayo akiba ya US $ 6253 Bl.
Kurugenzi ya mawasiliano Ikulu vitu vinginevyo ni muhimu kuvisemea mapema ili kuondoa sintofahamu zisizo na mashiko.
wakitoa hiyo press release kuweka sawa kadili tunavyoona bado hatutakosa neno la kuongea..
Wakikaa kimya bado pia tutaongea..huwa hatuna jema sisi..
wakitoa hiyo press release kuweka sawa kadili tunavyoona bado hatutakosa neno la kuongea..
Wakikaa kimya bado pia tutaongea..huwa hatuna jema sisi..
Mimi shida yangu mwandishi hajui nukta na koma???Umeshaambiwa tatizo ni ile comma badala ya nukta!
Waache kuchafua vyoo ikulu waje kuwapatia fafanuzi wananchi [emoji849][emoji849]wewe itakuwa ujui maana ya nchi kuwa chini ya WAHUNIBinafsi naamini mheshimiwa Rais alighafirika tu kutamka kwamba tunayo akiba ya US $ 6253 Bl.
Kurugenzi ya mawasiliano Ikulu vitu vinginevyo ni muhimu kuvisemea mapema ili kuondoa sintofahamu zisizo na mashiko.
Sawa, ubabe ubabe asipokuja kurekebisha nini kitatokea??
Si kweli. Wamezoea kuongea uongo ndio maana tunapata shida kujua kama ni kuteleza au ni sehemu ya uongo ule ule.
Ni kosa la kibinadamu tu.Mimi shida yangu mwandishi hajui nukta na koma???
Pengine walikuwa wanamaanisha Zim $ badala ya US $. Kwa kuwa wanavyopenda kujificha nyuma ya takwimu ili kutafuta kiki, labda walifanya marejeo kwa dola za Zimbabwe.Binafsi naamini mheshimiwa Rais alighafirika tu kutamka kwamba tunayo akiba ya US $ 6253 Bl.
Kurugenzi ya mawasiliano Ikulu vitu vinginevyo ni muhimu kuvisemea mapema ili kuondoa sintofahamu zisizo na mashiko.
Ya Tundu Lisu!Hotuba ya mchongo.
Hayo yamesemwa na Nani?Umeshaambiwa tatizo ni ile comma badala ya nukta!
Jema ni kusema ukweli tu na sio kutoa taarifa za michongo.wakitoa hiyo press release kuweka sawa kadili tunavyoona bado hatutakosa neno la kuongea..
Wakikaa kimya bado pia tutaongea..huwa hatuna jema sisi..
Kwani akiba ya pesa ya nje halisi ni kiasi gani?Si kweli. Wamezoea kuongea uongo ndio maana tunapata shida kujua kama ni kuteleza au ni sehemu ya uongo ule ule.
Ni kosa la kibinadamu tu.
Ndo mnayotumia kuaminisha Dunia kwamba mna akiba ya dola trilioni 6.253?Ni kosa la kibinadamu tu.
Ni kweli tutaongea lakini tutajadili tumefikaje hapo badala ya sasa tunajadili ukilaza wa mtu!wakitoa hiyo press release kuweka sawa kadili tunavyoona bado hatutakosa neno la kuongea..
Wakikaa kimya bado pia tutaongea..huwa hatuna jema sisi..