Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye ile speech yake (full text) hebu c&p text inayosema hivyo kama ilivyo.Mh Rais kwenye hotuba yake hapo jana kwa wananchi amesema kuwa nchi yetu hadi leo ina akiba ya pesa za kigeni zaidi ya dola billion elfu sita miambili hamsini na tatu (Dola billion 6253)
Ukiangalia hiki kiasi kwa kukifanyia mahesabu utagundua Tanzania ina ukwasi mkubwa sana na tena tunaweza kuihudumia hata Marekani kibajeti na kwa hakika tunapaswa kulipa madeni yote hapo kesho kama kweli hichi kiasi cha pesa kipo chote na kweli kama alivyosema Mh Rais!
Mh Rais hizo hela ulizotaja hata USA awezi kuwanazo kwa haraka!
Ni kweli Mh Rais tuna dola trillion 6+ kama akiba?
Hakika kama ni kweli basi Marekani +China +Japani tunawakaribisha waje kukopa kwetu!
Ni kweli tuna akiba ya dolla billion 6253?
Typing error.
Ni sahihi kwani dola bil 6250 unajua ni shilingi ngapi? Si ni til.14 na huo ndio ukweli..Leo Rais Samia wakati akitoa hotuba ya kufunga mwaka 2021 ameitaja akiba ya fedha za kigeni dola za kimarekani bilioni 6,253. Nikajua labda lafudhi ya kizanzibari imenichanganya au kosa la usomaji.
Kumbe ndivyo alivyoandikiwa kwenye hotuba yake, najiuliza mchakato wote wa maandalizi ya hotuba na kwenye mikono iliyopita wameshindwa kung'amua tofauti kubwa hivi ya fedha.
Hizi hela ni zaidi ya trilioni 14,000 za kitanzania, yaani lile deni la trilioni 70 wanalogombania na Ndugai ingekuwa hela ya peremende na sio mboga.
View attachment 2064430
Sio typing error ni sahihi ila nyie hakuna mnachojua.Typing error.
Sio typing error ni sahihi ila nyie hakuna mnachojua.
Wewe unachojua ni kula na kulala juu ya papuchi ya Mkeo haya mambo yako nje ya uwezo wako kilaza mkubwa.Dola bilioni 6,253 maanake ni dola trilioni 6.253 sawa na mara mbili ya gdp ya uingereza ( UK)
Hakuna nani kasema au wewe ndio hujui? Huo ujinga mlioujaza vichwani ni mzigo mkubwa Sana mnao.Kwanza hakuna dola bilioni 6,000.kwenye uandishi wa mahesabu
Unajua Hilo?
Ina shida gani?Siyo waandishi wa hotuba kwani yeye kasuku?
Hiyo hata mtoto wa form four akiisoma anasituka anarudia tena, kusahihisha.
Hakuna nani kasema au wewe ndio hujui? Huo ujinga mlioujaza vichwani ni mzigo mkubwa Sana mnao.
Pili unakubali kwamba tuna akiba za kigeni til.14?
Naona umeamua kumlisha maneno mama samia.Hizo sio hela za umma tu ni pamoja na za sector bijafsi.
Stock ya dola ina maana wakichukua dola zote za serikali, na zile zinazomilikiwa na watu binafsi kwenye bank na bureau ndio unapata akiba ya fedha za kigeni. Kusema serikali ikazilipie deni sio sahihi maana sio hela zake
JPM hata hizi hotuba alikuwa hahutubii.Kawaida hasa tukiwa na watu incompetent. Hata enzi za JK kwani mmesahau hotuba zake hasa za English zilivyokuwa na makosa ya kiuandishi.
Speech imeandikwa kwa Kiswahili wala sio kwa Kifaransa. Speech ya juu kabisa katika nchi ni speech ya Rais; haitakiwi kuwa na makandokando ya aina yoyote!Mwandishi atakuwa Francophone. Wafaransa ndio wanatumia koma kwenye nukta. Yaani kwa Kifaransa bilioni 6,253 = bilioni 6.253. Lakini kusema ukweli Ikulu yetu ni jumba bovu. Nyaraka za Ikulu km vile press release za uteuzi zimejaa typos!!
Rais huwa hakosei acha ujuaji.Nadhani kwny B ilipaswa kusomeka M