Hii akiba ya fedha za kigeni dola Bilioni 6,253 aliyosema Rais Samia kiboko, deni la Taifa lingekuwa hela ya peremende

Hii akiba ya fedha za kigeni dola Bilioni 6,253 aliyosema Rais Samia kiboko, deni la Taifa lingekuwa hela ya peremende

Nilidhani sijasikia vyema ikabidi nimfuate kule tube kusikiliza Tena nikajirithisha kuwa masikio yangu ni mazima!
Huenda ni kweli BoT wanazo hizo dollar bilioni elfu sita. Basi walipe deni lote la taifa ili nchi isidaiwe Tena. Au mnasemaje ndugu zangu?
Kama hicho kiwango alichotaja hakipo basi huu ni mkwaju au bakora nyingine Tena tumechapwa nayo wananchi!
Hivi inawezekana kufanya editing kwenye hotuba iliyokwisha ruka hewani?
Nimshauri bi mkubwa kuwa, kabla ya kuisogelea mimbari yoyote asome alichokabidhiwa kwanza ajiridhishe vinginevyo Kuna siku atawekewa barua ya posa ya bintiye naye atatusomea Kama hotuba! Bi mkubwa ajiri waandishi na wanahabari wazalendo na watiifu kwako achana na hao waandishi michongo unaoletewa watakuangushia gari bovu!
Watatoa press release kuiboresha baada ya maoni ya wananchi! Ha ha ha. Kuna watendaji hawako serious kabisa.
 
Leo Rais Samia wakati akitoa hotuba ya kufunga mwaka 2021 ameitaja akiba ya fedha za kigeni dola za kimarekani bilioni 6,253. Nikajua labda lafudhi ya kizanzibari imenichanganya au kosa la usomaji.

Kumbe ndivyo alivyoandikiwa kwenye hotuba yake, najiuliza mchakato wote wa maandalizi ya hotuba na kwenye mikono iliyopita wameshindwa kung'amua tofauti kubwa hivi ya fedha.

Hizi hela ni zaidi ya trilioni 14,000 za kitanzania, yaani lile deni la trilioni 70 wanalogombania na Ndugai ingekuwa hela ya peremende na sio mboga.

View attachment 2064430
kwa hesabu zaharaka ni kuwa nchi ina akiba ya tshs 1,426,934,600,000,000/=
 
Nilidhani sijasikia vyema ikabidi nimfuate kule tube kusikiliza Tena nikajirithisha kuwa masikio yangu ni mazima!
Huenda ni kweli BoT wanazo hizo dollar bilioni elfu sita. Basi walipe deni lote la taifa ili nchi isidaiwe Tena. Au mnasemaje ndugu zangu?
Kama hicho kiwango alichotaja hakipo basi huu ni mkwaju au bakora nyingine Tena tumechapwa nayo wananchi!
Hivi inawezekana kufanya editing kwenye hotuba iliyokwisha ruka hewani?
Nimshauri bi mkubwa kuwa, kabla ya kuisogelea mimbari yoyote asome alichokabidhiwa kwanza ajiridhishe vinginevyo Kuna siku atawekewa barua ya posa ya bintiye naye atatusomea Kama hotuba! Bi mkubwa ajiri waandishi na wanahabari wazalendo na watiifu kwako achana na hao waandishi michongo unaoletewa watakuangushia gari bovu!
Hakuna kulipa
Tuzitumie kujenga nchi.

Deni haliui wala kufunga mtu
 
Sasa mkuu, kama haiwezi kuzilipia deni inawezaje kuzifanyia matumizi ya kununulia chakula?
Unapotaka kuagiza gari japani au manunuzi yeyote nje wanachukua hela zako za madafu kisha wanalipa kutoka kwenye hizo dola kwenda japan na kwingineko
 
Naona umeamua kumlisha maneno mama samia.
Sio kumlisha kama unafahamu kitu kinaitwa balance of trade na payment. Hutashindwa kujua reserve of foreign currency.

Chakula ni kipimo kitumikacho tu kuwakilisha manunuzi yote ya nje. Kinachoinganishwa hapa ni kwamba tunawwza kupata mahitaji muhimu kwa kipindi gani bila kuishiwa reserve ama tunaweza kuemdelea kuimport products za muda gani hadi hiyo reserve iishe. Hicho ndio kipimo cha tunahitaji kuwa na kiasi gani
 
umesoma shule ya wapi?
hesabu ikifika bilioni 1,000
Unatakiwa useme bilioni 1,000
Au trilioni 1?a a

umesoma shule ya wapi?
hesabu ikifika bilioni 1,000
Unatakiwa useme bilioni 1,000
Au trilioni 1?
Narudia tena kukwambia wewe ni kiazi na mjinga wa mwisho.Ukite nyie ndio machadema eti mnataka kuongoza na Nchi 😆😆😆..

Kwa akili zako fupi hujawahi sikia lugha hiyo? Kwa hiyo mtu akitamka mia tano elfu au elfu miatano wewe huelewi?

Narudia tena upende kujifunza lugha za fedha na namba na aina kadhaa za matamshi.

Ili ujione ulivyo mjinga nakusaidia kwa figures hizi hapa chini zote zimetoka kwa serikali.Sasa niambie kama Hawa wamekosea 🤭🤭

Screenshot_20220101-081138.png


Screenshot_20220101-081151.png


Screenshot_20220101-081038.png


Screenshot_20220101-080116.png


Screenshot_20220101-075916.png


Screenshot_20220101-075703.png
 
Sio kumlisha kama unafahamu kitu kinaitwa balance of trade na payment. Hutashindwa kujua reserve of foreign currency.

Chakula ni kipimo kitumikacho tu kuwakilisha manunuzi yote ya nje. Kinachoinganishwa hapa ni kwamba tunawwza kupata mahitaji muhimu kwa kipindi gani bila kuishiwa reserve ama tunaweza kuemdelea kuimport products za muda gani hadi hiyo reserve iishe. Hicho ndio kipimo cha tunahitaji kuwa na kiasi gani
Achana na wapumbavu hao,machadema yamebeba mavichwa hamna kitu ndio maana yanashikiwa akili na mke wa Amsterdam na Mbowe..

Kwanza hawajua forex reserves ni kwa ajili gani yanajua bidhaa huwa zinajileta,,ndio maana niliwahi kuwaambia watu kwamba mwendazake angeendelea Nchi ingeanguka kwa sababu pesa ya kigeni kuagiza bidhaa ilianguka Sana.

Saizi Sri Lanka yenye uchumi mkubwa kuliko bongo inastruggle kuagiza bidhaa za kigeni na Serikali imezuia kuagiza baadhi ya bidhaa kwa sababu forex reserves imepunguza Sana..
 
Hizo sio hela za umma tu ni pamoja na za sector bijafsi.

Stock ya dola ina maana wakichukua dola zote za serikali, na zile zinazomilikiwa na watu binafsi kwenye bank na bureau ndio unapata akiba ya fedha za kigeni. Kusema serikali ikazilipie deni sio sahihi maana sio hela zake
Unaelewa maana ya akiba?
 
Mwandishi atakuwa Francophone. Wafaransa ndio wanatumia koma kwenye nukta. Yaani kwa Kifaransa bilioni 6,253 = bilioni 6.253. Lakini kusema ukweli Ikulu yetu ni jumba bovu. Nyaraka za Ikulu km vile press release za uteuzi zimejaa typos!!
Mkuu, mteuaji huteua watu ambao uwezo wa akili wanafanana na yeye
 
Halafu inatosha kwa miezi saba...
.... huo mlingano ulitakiwa automatically um-alert! Dola za kimarekani bilioni 6,253 (more than UK, Japan, France, or India GDP) inatosha kwa miezi saba tu kwa Tanzania?
 
Kile kimama ni hovyo mnoo.
Kinapenda sana msesereko tu.
Hata kukariri hakiwezi sembuse kufikiri hivyo kinapewa kisome hotuba hivyo hivyo, na kutapika vitu vya ajabu.
 
Back
Top Bottom