chikambabatu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,339
- 1,318
Ila mie nampenda hayo ni error ndogo, hatupaswi kushupalia, inaonyesha namna gani mama kafanikiwa kiuongozi, hivyo tunakosa ajenda zenye nguvu/mashiko!Kile kimama ni hovyo mnoo.
Kinapenda sana msesereko tu.
Hata kukariri hakiwezi sembuse kufikiri hivyo kinapewa kisome hotuba hivyo hivyo, na kutapika vitu vya ajabu.