Hii akiba ya fedha za kigeni dola Bilioni 6,253 aliyosema Rais Samia kiboko, deni la Taifa lingekuwa hela ya peremende

Hii akiba ya fedha za kigeni dola Bilioni 6,253 aliyosema Rais Samia kiboko, deni la Taifa lingekuwa hela ya peremende

Hapana mzee, naamini tatizo la waandishi! Nakumbuka siku moja kule twitter kulitokea tatizo kama hili! Baada ya watu kukosoa, ile taarifa wakierekebisha lakini wakaendelea kuikosea! Tusisahau education backgrounds za hawa waandishi wa hotuba!! Majority kama sio wote ni watu wa HGL/HKL/HGK ambao wao na namba ni vitu viwili tofauti
HGL, HGK anakuwaje ye na namba tofauti Ili Hali geography Ina hesabu
 
Kwamagu nadhani labda walikosea kitu kingine, sio hesabu Magu kwenye hesabu alikuwa vizuri.
Truth be told, JPM was doing his homework! Huwezi kukaa kwenye taasisi ile nyeti, then utegemee tu kupewa ripoti na kuimeza na kuitema nzimanzima. Ndiyo maana alikuwa akirudia tena na tena kwamba ^wanadanganya sana kwenye ripoti zao.^
 
Haupo makini tatizo, baada ya mimi kuuliza
Ndo wadau wamejaribu kufafanua hizo figure.
Sasa wewe ndo kilaza kumbe.

Hao waliofafanua Ina maana walielewa, basi Na Mimi nilielewa
 
Na mimi nilipokukosoa, ilikuwa kwa mantiki ileile kwamba hukuwa na sababu ya kumkosoa mleta-mada kwa vile yuko sahihi ^car-bee-sir!^ Umeelewa sasa makosa yako? Niliposema una-spin, ni kama sasa unapotambua umekosea, then unakimbilia kusema nakuza mambo. FYI: Sina magnifier yoyote hapa ya kukuzia mambo. Naomba uthibitisho, tafadhali.
Duh! Sasa ulikuwa na sababu zipi za msingi za kuendelea kunikosoa na kusema nime-spin wakati tayari nilishasema nili-overlook figure ya Behaviourist, na kwamba nilikosea kumkosoa? Nini kilianza kati ya mimi kukiri nilikosea kumkosoa na wewe kung'ang'ania kwamba na-spin?

Wewe ndo una-spin kwa sababu nilisema wazi nilikosea kumkosoa mleta mada! Spin yako ukadai nimesema SIMPLY 14, nami nikakuambia nimesema SIMPLY 14 kwa sababu niliweka in terms of QUADRILLION! Sasa nilicho-spin hapo ni kipi?! Seems hata wewe ulikuwa hujui kwamba 14K Trillion = 14 Quadrillion vinginevyo usingesema nime-spin! Kimsingi figure aliyoandika mleta mada ni ile ile niliyoandika mimi lakini nili-overlook 14K aliyoiandika in terms of trillions, nikaichukulia kama 14 plain in terms of trillions! Sasa spinning ipo wapi hapo?
 
HGL, HGK anakuwaje ye na namba tofauti Ili Hali geography Ina hesabu
Hahahahahahahahahahahahahahahahhahahaha!!! Kaka tuache masihata bhana! Wala sisemi kwa lengo la kukashifu bali nafahamu namba sio field yao, and there's nothing wrong with that!!
 
Nani alikuwa na jeuri ya kumpangia mwendazake. Nitajie mmoja nani ntakuonesha nguzo ya umeme inayozaa papai

Na unaweza kuniambia ni lini na wapi mwendazake aliyasema hayo?
Alisema mwenyewe, kamati kuuwalimchokea wakati aliposhinda Kura ya kuteuliwa kugombea uraisi kwa tiketi ya ccm, angekuwa mwendazake yupo ikulu hasinge mchagua Mama kuwa makamu wake sema walimchomekea wakati ana presha ya kuteuliwa na chama , magufur angekuwa yupo ikulu angepelekewa jina la makamu wa rais ange kataa hasinge Kubali na hakubali vimemo
 
Naona wewe ^uli-overlook,^ ila hukukosea! Hatari na nusu!

Duh! Sasa ulikuwa na sababu zipi za msingi za kuendelea kunikosoa na kusema nime-spin wakati tayari nilishasema nili-overlook figure ya Behaviourist, na kwamba nilikosea kumkosoa? Nini kilianza kati ya mimi kukiri nilikosea kumkosoa na wewe kung'ang'ania kwamba na-spin?

Wewe ndo una-spin kwa sababu nilisema wazi nilikosea kumkosoa mleta mada! Spin yako ukadai nimesema SIMPLY 14, nami nikakuambia nimesema SIMPLY 14 kwa sababu niliweka in terms of QUADRILLION! Sasa nilicho-spin hapo ni kipi?! Seems hata wewe ulikuwa hujui kwamba 14K Trillion = 14 Quadrillion vinginevyo usingesema nime-spin! Kimsingi figure aliyoandika mleta mada ni ile ile niliyoandika mimi lakini nili-overlook 14K aliyoiandika in terms of trillions, nikaichukulia kama 14 plain in terms of trillions! Sasa spinning ipo wapi hapo?
 
Alisema mwenyewe, kamati kuuwalimchokea wakati aliposhinda Kura ya kuteuliwa kugombea uraisi kwa tiketi ya ccm, angekuwa mwendazake yupo ikulu hasinge mchagua Mama kuwa makamu wake sema walimchomekea wakati ana presha ya kuteuliwa na chama , magufur angekuwa yupo ikulu angepelekewa jina la makamu wa rais ange kataa hasinge Kubali na hakubali vimemo
Huo ni uchaguzi wa kwanza. Vipi awamu ya pili ambapo yeye ndo alishakuwa jiwe na hakukuwa na wa kumpangia. Kwanini hakumpiga chini mama akatupa makamu mzuri?

Pili hujasema hayo maneno aliyasema lini na wapi?
 
Nani alikuwa na jeuri ya kumpangia mwendazake. Nitajie mmoja nani ntakuonesha nguzo ya umeme inayozaa papai

Na unaweza kuniambia ni lini na wapi mwendazake aliyasema hayo?
Tafuta video yake mkutano mkuu mwenyewe kwa kinywa chake alitamka makamu wa raisi aliyekuwa ana penda kufanya nae kazi alimtaja kabisa Hussein mwinyi
 
Hahahahahahahahahahahahahahahahhahahaha!!! Kaka tuache masihata bhana! Wala sisemi kwa lengo la kukashifu bali nafahamu namba sio field yao, and there's nothing wrong with that!!
Hapana, nimeshangaa kuandika namba kwa ufasaha kwamba yahitaji Hadi usome hesabu kwA kiwango cha shahada hahahahahahaha

Nafikiri kuna tatizo mahari, hata kama umesoma HKL, KLF, HKG hujui hesabu za kawaida Basi kuna tatizo
 
Tafuta video yake mkutano mkuu mwenyewe kwa kinywa chake alitamka makamu wa raisi aliyekuwa ana penda kufanya nae kazi alimtaja kabisa Hussein mwinyi
Awamu ya Pili ya uongozi wake angeweza na alikuwa na nafasi ya kufanya hivyo. Kwanini hakufanya?

Unajua Kikwete aliwahi kufanya hivyo? Unajua Dr. Shein alikuwa makamu wake wa awamu ya kwanza, awamu ya Pili akamteua Dr Bilal na Dr. Shein akaenda kuwa Rais wa Zanzibar??

Unajua?
 
Kweli hawa Marais wachunguzwe vizuri. Kuna mmoja aliowahi kusema rais Saddam wa Kuwait halafu akasema who are you
 
Uchaguzi ujao nafasi ya VP asimikwe mtu makini, competent na anayejielewa bila kuconside jinsia yake au uzanzibari/ubar

Essentially VP ni President in waiting na hatuwezi tena kupachika jiwe au kivuli chochote ili kutick box. Kifo cha Magufuli liwe somo zuri kwetu sote.
 
Truth be told, JPM was doing his homework! Huwezi kukaa kwenye taasisi ile nyeti, then utegemee tu kupewa ripoti na kuimeza nzimanzima. Ndiyo maana alikuwa akirudia tena na tena kwamba ^wanadanganya sana kwenye ripoti zao.^

Yes, kiongozi mkuu kwanza kabisa lazima wewe kama wewe uwenauwezo mkubwa kuchambua na kuelewa kila unacholetewa na wasaidizi.

Mzeebaba hata waliokuwa wanampelekea tarifa nadhani walikuwa wanajikagua mara kumikumi ili kujiridhisha.
 
Hiyo pesa sidhani hata wamarekani wenyewe wenye Dola wanayo [emoji23][emoji23][emoji23]
1641057363403.png
 
Katika kipande kifupi cha video hapa chini ni Rais Samia akihutubia jana kuelekea siku ya mwaka mpya.

Katika kipande hiki cha video Rais anadai kuwa nchi ina akiba za fedha za kigeni kiasi cha dola za kimarekani 6253 bilioni Kitu ambacho siyo sahihi wala siyo kweli kwa sababu hii ni zaidi ya trilioni 14,000 kwa fedha za Kitanzania.

Kinachotia kichefuchefu na kukasirisha ni kwamba alieandaa hotuba hii alipaswa kuihariri kisha kumpa Rais.Rais nae alipaswa kuihariri hotuba yake ndipo apande nayo hewani.

Assumption hapa ni kwamba kwa hotuba kubwa na muhimu kama hiyo kutoka kwa Rais wa nchi hayo yote yalifanyika.Lakini cha kushangaza hotuba hiyo imesomwa na Rais ikiwa na makosa kama hayo.

Makosa haya yanaweza kuwa na maana moja kati ya maana hizi mbili.Kwanza inawezekana hotuba hii alieiandika hakuihariri kabisa na pia alipopewa Rais nae hakuihariri kabisa hadi anapanda hewani,kitu ambacho ni ngumu kuamini.

Lakini maana ya pili inawezekana kuwa wote wawili, yaani Rais pamoja na alieandika hotuba hii kusoma namba iliwapiga chenga.Yaani alieandika hotuba namba zilimchanganya akasema iende hivyo hivyo tuuu na Rais nae namba zikamchanganya akasema iende hivyo hivyo tuu.Hii inaleta maana zaidi kwa sababu kwa point ya kwanza ni ngumu Rais kusoma hotuba ambayo yeye mwenyewe hajaipitia.

Hotuba kama hii ambayo mamilioni ya watanzania walikuwa wanaenda kuisikiliza ilipaswa iandikwe kwa makini ikiwa ni pamoja na kuhaririwa na mtu zaidi ya mmoja ikiwa ni pamoja na Rais mwenyewe.

Kitendo cha hotuba hii kwenda hewani ikiwa na makosa ya kizembe namna hii inaonyesha wazi kwamba system nzima ya uongozi katika nchi hii kuanzia Rais hadi wasaidizi wake imeoza.

Makosa ya kijinga kabisa katika hotuba hii yanaibua maswali yafuatayo ambayo yanatia mashaka:

1.Wasaidizi wa Rais wanajua kusoma na kuandika?

2.Wasaidizi wa Rais wapo serious na kazi yao?

3.Rais anajua kusoma na kuandika?

4.Rais yupo serious na kazi yake?

5.Hotuba hii imeibua aina ya Rais tulienae pamoja na wasaidizi wake?

6.Wananchi waliosikiliza hotuba hii wanamchukuliaje Rais wao?

7.Rais ana uwezo wa kuongoza?

8.Je,Tanzania ina kiongozi kipofu ambae anaongoza vipofu wenzake?

9.Nani anastahili lawama kubwa katika hotuba hii zaidi ya Rais mwenye hotuba yake?

10.Kama nchi tuna mfumo mzuri wa kupata viongozi sahihi?

Kwa makosa haya Rais hawezi kukwepa lawama zote hata kidogo kwa sababu yeye ndiye alikuwa mtoa hotuba na alipaswa kuhakikisha kuwa hotuba yake ipo safi kabla hajaenda hewani.Makosa ya kijinga kabisa katika hotuba hii yamewanyima wananchi kupata habari muhimu kabisa juu ya akiba yetu ya fedha za kigeni.

Imagine hawa ndiyo viongozi wanaosimamia miradi mikubwa ya mabilioni ya fedha za walala hoi kama vile SGR na Stigler gorge.Tutawaamini vipi hawa?!
View attachment 2065193
View attachment 2065245
Sasa Mkuu kama Wasomi wenyewe wa CCM ni akina Dr.Musukuma unatarajia nini
 
Yes, kiongozi mkuu kwanza kabisa lazima wewe kama wewe uwenauwezo mkubwa kuchambua na kuelewa kila unacholetewa na wasaidizi.

Mzeebaba hata waliokuwa wanampelekea tarifa nadhani walikuwa wanajikagua mara kumikumi ili kujiridhisha.
Mbona hata huyo Mzee baba alikuwa mwongo tu, kwani si amewahi kusema siku ina masaa 48?
 
Back
Top Bottom