Hii ndio mikoa ambayo Rais Samia amewekeza nguvu kubwa kuiletea maendeleo

Hii ndio mikoa ambayo Rais Samia amewekeza nguvu kubwa kuiletea maendeleo

Siwezi kuwa na mama kama huyo mwenye sura kama zimwi!
😁😁😁😁 Wivu ,mama Yako hamfikii Samia Kwa Sura,cheo Wala pesa ndio maana umejaa chuki za kindezi
20230912_082749.jpg
 
Mbeya hawapendeki hao na ninwajuaji sio sehemu sahihi kimkakati sana sana anamsaidia Spika Tulia tuu maana bila huyo huo Mkoa wangeshautelekeza una watu jeuri wajuaji na wabishi wanaotaka Ligi mda wote ndio maana ujenzi wao ni hovyo hovyo Bora liende.

Kuna Mikoa ni ya CCM hakuna Cha Upinzani kama Ruvuma,Manyara,Tabora,Katavi,Rukwa,Njombe,Iringa, Morogoro,Pwani,Tanga ,Lake zone yote kasoro Mara.

Kiufupi Tanzania hakuna upinzani labda ccm wakosee kuchaguana
Hakuna upinzani Tanzania, kisha ikifika uchaguzi wizi wa kura ndio Kinga pekee ya ccm! Kwa taarifa yako nchi hii hakuna chama tawala, bali Kuna kundi la majizi kwenye koti la chama Cha siasa.
 
Hakuna Mkoa ambao Samia hajapeleka mradi,juzi tuu hapa kina Mwigulu walikuwa wanamkabidhi mkandarasi ujenzi wa lami,anajenga Barabara ya kutoka Singida kwenda Mbeya,Singida kwenda Tanga na miradi Mingine ya size ya kati hiyo haihesabiki.
Samia anapeleka mradi ana pesa gani? Chawa mnaendekeza sifa za siasa za bei rahisi. Pesa ni za umma sio za Samia.
 
Samia anapeleka mradi ana pesa gani? Chawa mnaendekeza sifa za siasa za bei rahisi. Pesa ni za umma sio za Samia.
Harufu ya wivu 🤣🤣🤣🤣

Na Bado mtapelekewa moto sana.Taja Mkoa wako nikutajie maelfu ya miradi iliyopoo hata Kwa Lema Samia anamimina Upendo
Screenshot_20230922-190802.jpg
 
Back
Top Bottom