Kilimanjaro tulishaambiwa tusubir kwanzam
Subirini Lema na Mbowe watawaleteeni peoples na nyie muendelee kuzungusha mikono powerKilimanjaro tulishaambiwa tusubir kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kilimanjaro tulishaambiwa tusubir kwanzam
Subirini Lema na Mbowe watawaleteeni peoples na nyie muendelee kuzungusha mikono powerKilimanjaro tulishaambiwa tusubir kwanza
Siwezi kuwa na mama kama huyo mwenye sura kama zimwi!Samia haitaji kupambwa maana tayari ni mrembo na mama yako hamfikii Kwa lolote.
Pili tunawaeleza tuu aliyofanikisha kwani Kuna ubaya?
Hakuna namna, watasubiri saaana hadi watakaposhtuka itakuwa too lateAisee nimejikuta nacheka sana mkuu 😂😂😂
Kibanda maiti1.Kizimkazi
Punguza upumbavu wako na usiwe una urgue na Mimi kama huna facts.Punga Nini Rungwe Kuna lami gani inajengwa huko?
utakuwa mtu mfupi wewe sio Bure.
😁😁😁😁 Wivu ,mama Yako hamfikii Samia Kwa Sura,cheo Wala pesa ndio maana umejaa chuki za kindeziSiwezi kuwa na mama kama huyo mwenye sura kama zimwi!
Wewe ni ZEZETA,ZWAZWA,TAHIRA,ZUMBUKUKU,LIMBUKENI, na ZUZU!😁😁😁😁 Wivu ,mama Yako hamfikii Samia Kwa Sura,cheo Wala pesa ndio maana umejaa chuki za kindezi View attachment 2758732
Niwasemee kwani mnanilipa? Nawasemea Watanzania Ili kuweka sawa upotoshaji kenge nyie.Usitusemee sisi watu wa mwanza
🗑️🗑️🗑️🗑️Wewe ni ZEZETA,ZWAZWA,TAHIRA,ZUMBUKUKU,LIMBUKENI, na ZUZU!
Kamjengee choo kama hicho mama yako huko kijiji kwenu siyo kumsifia huyo mzururaji Zumbukuku wewe!
Mimi lazima wanikwepe maana Nina facts Hadi huko kwao wanakopotosha 😁😁Hapo hawezi kurudi kukujibu, sana sana labda aje na njia ya matusi tu lkn kwa hoja ushampiga chini tayari.
Kwenye hiki
Kamjengee choo kama hicho mama yako huko kijiji kwenu siyo kumsifia huyo mzururaji Zumbukuku wewe!
Hakuna upinzani Tanzania, kisha ikifika uchaguzi wizi wa kura ndio Kinga pekee ya ccm! Kwa taarifa yako nchi hii hakuna chama tawala, bali Kuna kundi la majizi kwenye koti la chama Cha siasa.Mbeya hawapendeki hao na ninwajuaji sio sehemu sahihi kimkakati sana sana anamsaidia Spika Tulia tuu maana bila huyo huo Mkoa wangeshautelekeza una watu jeuri wajuaji na wabishi wanaotaka Ligi mda wote ndio maana ujenzi wao ni hovyo hovyo Bora liende.
Kuna Mikoa ni ya CCM hakuna Cha Upinzani kama Ruvuma,Manyara,Tabora,Katavi,Rukwa,Njombe,Iringa, Morogoro,Pwani,Tanga ,Lake zone yote kasoro Mara.
Kiufupi Tanzania hakuna upinzani labda ccm wakosee kuchaguana
Samia anapeleka mradi ana pesa gani? Chawa mnaendekeza sifa za siasa za bei rahisi. Pesa ni za umma sio za Samia.Hakuna Mkoa ambao Samia hajapeleka mradi,juzi tuu hapa kina Mwigulu walikuwa wanamkabidhi mkandarasi ujenzi wa lami,anajenga Barabara ya kutoka Singida kwenda Mbeya,Singida kwenda Tanga na miradi Mingine ya size ya kati hiyo haihesabiki.
Harufu ya wivu 🤣🤣🤣🤣Samia anapeleka mradi ana pesa gani? Chawa mnaendekeza sifa za siasa za bei rahisi. Pesa ni za umma sio za Samia.
Hili dude ndilo lilikutoa marinda hadi kujikuta umekuwa shoga wa mzururaji!
Endelea kupiga domo wakati ndugu zako na mama yako wanalala njaa Gasho wewe!Harufu ya wivu 🤣🤣🤣🤣
Na Bado mtapelekewa moto sana.Taja Mkoa wako nikutajie maelfu ya miradi iliyopoo hata Kwa Lema Samia anamimina Upendo View attachment 2758756
Kati yangu na wewe nani analalama njaa humu jf bila Msaada? 😁😁Endelea kupiga domo wakati ndugu zako na mama yako wanalala njaa Gasho wewe!
Wahi milembeHili dude ndilo lilikutoa marinda hadi kujikuta umekuwa shoga wa mzururaji!
Vitu ninavyomiliki wewe na ukoo wako na mashoga wenzio mtatumia miaka 1000 kuvipata kenge mwitu wewe!Kati yangu na wewe nani analalama njaa humu jf bila Msaada? 😁😁